mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,297
- 36,700
Tatizo jirani yangu ni yule bibi wa kizimkaziUanze Leo Leo Kwa Jirani yako WA karibu zaidi aliye mzanzibari
Tatizo jirani yangu ni yule bibi wa kizimkaziUanze Leo Leo Kwa Jirani yako WA karibu zaidi aliye mzanzibari
Huwa sibishana na waislam mi kwangu ni watu inferior sinaga muda kupoteza na watu wa jamiii hiyo huwa naamini hata akisoma elimu gani akili inakuwa mgando sababu ya mafundisho hatari kutoka kwenye qurankabla sijakupa Ukweli Naomba uniambie Ilikuwa lini maana ninao ushahidi wa ninacho kisema
Kwa Mujibu wa Katiba ya Zanzibar Ya mwaka 1984 toleo na marekebisho Ya Mwaka 2010 ibara ya kwanza na Ya pili Zanzibar ni Nchi yenye watu na "Raia"Lini Zanzibar imekuwa nchi? Pia toka lini Zanzibar ni nchi ya kiislam? We bwana acha kupotosha.
Mkuu Mimi sio Muislam mimi ni msomi Wa Dini na sina Ubaguzi kwenye Kutetea Ukweli endapo kama upo..Huwa sibishana na waislam mi kwangu ni watu inferior sinaga muda kupoteza na watu wa jamiii hiyo huwa naamini hata akisoma elimu gani akili inakuwa mgando sababu ya mafundisho hatari kutoka kwenye quran
Ndo maana unaona wenzio wanachapa watu wengine wanajilipua inshort you guys are inferior .....
Tulia kwenu rungwe huko na ule kitimoto na ujipakae mafuta hakuna atakaye kugusa,zanzibar ina wenyewe fuata taratibu na mila za wazanzibar,ukizingua bakora tu hakuna mjadala.Huo utamaduni haukubaliki, ni wa kupingwa kwa nguvu zote, watanganyika waingie huko kwa wingi na wakale mchana tuone kama watawakamata wote na kuwasweka ndani. Mbona bara watu wanakula mchana na hawabughudhiwi? Tena wanakula malangoni mwa misikiti yenye migahawa kwenye fremu zao
But zanzibar ilikuwa Nchi ya kiislmu kabla ya muungano kwanini Hilo mnashindwa kuliona?Nchi ikiwa Majorty Muslim/Christian sio kwamba ni Nchi ya Kiislamu/Kikristo.
Hapo nilipo elimu vizuri huwa najiepusha sana kuongea hoja wala mambo yeyote na waislam maana ukishajua walivyo unakuwa huna muda wa kupoteza inshort mimi siamini kama mungu yupo pia mambo ya dini huwa sifuatiliii sanaMkuu Mimi sio Muislam mimi ni msomi Wa Dini na sina Ubaguzi kwenye Kutetea Ukweli endapo kama upo..
Na kuanzia mwanzo nilipokujibu hakuna Sehemu hata moja Nimekutajia Fungu la Biblia Wala Quran wala Hadithi, Wala Tanakh wala Talmud wala Bhaghavad Gita..
Ila nimetaja Vitu halisi..
So I can see Huwezi kuArgue sio kwa sanabi Mimi nina Inferiority kwa sbabu huna cha Kuargue..
Means hauko well informed na unachokipinga thats The reason..
Waislam hawana Elimu Yeah ni kweli Ila wakristo hawana Elimu kabisa ila wanahisi wana elimu..
So wote huwa nawaona Mnatakiwa Mkasome tena kuhusu mambo msiyoyajua..
Sio kubishana
Lilikuwa colon la waarabu jombaa mbona unakua maamuma fulani hivi ...But zanzibar ilikuwa Nchi ya kiislmu kabla ya muungano kwanini Hilo mnashindwa kuliona?View attachment 2948066
Baada ya Mapinduzi Zanzibar iliachana na Usultani na kuwa Jamhuri Republic.But zanzibar ilikuwa Nchi ya kiislmu kabla ya muungano kwanini Hilo mnashindwa kuliona?View attachment 2948066
sawa ina wenyewe, ila iache kuingilia uhuru wa watu na kuwapangia cha kuamini na kuabudu, hiyo ni sawa na ibada ya sanamuTulia kwenu rungwe huko na ule kitimoto na ujipakae mafuta hakuna atakaye kugusa,zanzibar ina wenyewe fuata taratibu na mila za wazanzibar,ukizingua bakora tu hakuna mjadala.
Hata historia umesahau hapo zanzibar ukristo ulikuwepo miaka na huo mwaka unaoutaja ndio sultani alvamia zanzibar na kuwatoa wareno ambao walikimbilia msumbiji ndio ukawa mwisho wa utawala wa wa miaka zaidi ya 100 kwa wareno hapo visiwani..Ukristu uliingia Zanzibar rasmi mwaka 1879 ulipokamilika ujenzi wa kanisa la Anglikana, na wakiristu wamekua wakiishi vizuri mpaka miaka hii ya 2000 ambapo tulishuhudia padri akipigwa risasi ndani ya kanisa ambapo tukio hilo lilionekana kuwa la kawaida japo angepigwa risasi shehe dunia nzima ingejua Tanzania ilipo kwenye ramani.
Unao ubavu?? Jaribu uone. Anza na namba moja wa Tanzania.Tutawatimua wapuuzi wote wa kizanzibari walioko bara
Waarabu hawakuwahi kutawala Sehemu yoyote kama Kolon Mkuu..Lilikuwa colon la waarabu jombaa mbona unakua maamuma fulani hivi ...