Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,596
- 10,111
- Thread starter
- #41
Na aliefanyiwa umafia akipona nae anamtafuta wa kumpiga na kitu kizito na uyo victim mpya nae anatafuta victim wake na cycle inaendelea. Ndio maana pale mwishoni nikasema ukiamua kujitoa/kusaidia basi fanya ivyo kwa kiwango ambacho unaweza kustahimili maumivu ya kukipotezaMadhara yake ni watu kuwafanyia umafia wenza waliokosana nao na kuwapeleka akhera