Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Sasa mbona unajikaaanga, Men uim



Kwahiyo nikiwa namhudumia lakini yeye anafanya kazi nyumbani na hatuna watoto, inamaana hatutagawana mali?

Kama sababu ya kumlipa mwanamke 50% kisa wakati anafanya kazi za nyumbani nilimpotezea muda, kwamba nisingemuoa pengine angekuwa anafanya kazi mahala, angepata pesa, je namimi nisingemuoa si ningekuwa nina pesa nyingi tu? Kwasababu kala chakula changu, kavaa nguo zangu, katibiwa kwa pesa zangu, na bado mizinga ya baba mkwe na mashemeji, huoni kuwa sababu uliyoitoa haina mashiko?
Sasa ambacho hujaelewa ni nini wewe kumhudumia ni jukumu lako kama naye anavyotimiza majukumu yake sasa ulitaka hizo huduma apate wapi wakati umemuoa ni mama wa nyumbani, kwenye kugawana ni kwa sababu mnahesabika mmechuma wote yeye ametimiza majukumu yake kama mke ili wewe ufocus kwenye kutafuta hizo pesa tu, hivyo naye ana mchango wake na ndio maana mnagawana hachukui zote

Kama unaona hiyo ni hasara basi mruhusu naye atafute pesa kama wewe ili usiwe unamhudumia hapo hata mkigawana itakuwa afadhali, maana angalau naye alikuwa anachangia pato la familia lakini ndio ukubali kwamba majukumu ya nyumbani inabidi asifanye yeye tena bali muwe na msaidizi, au kama vipi muwe mnasaidiana wenyewe na pia ukubali kupoteza ile full authority kama mwanaume kwa sababu humhudumii

Waliotunga hizi sheria siyo wajinga waliona kwamba wasipoweka huu utaratibu wanawake watakuwa wanaachika sana huku wakiondoka mikono mitupu, kwa sababu jamii ilishajenga mtazamo kwamba mwanaume kuoa na kuacha mara kwa mara ni kawaida ila mwanamke kuolewa na kuachwa mara kwa mara ni umalaya, kwahiyo hili liliwafanya wanawake wajitahidi kuvumilia maovu ya wanaume na wapambanie ndoa ili wasiachike

Sababu wanajua wakiachika jamii itawatukana huku wanaume kwao kuacha siyo shida, muda wowote akijisikia kumuacha mkewe kwa sababu yoyote ile hata kama ni ya kijinga, anamuacha tu sababu anajua jamii haitamfanya chochote

Kama mnaona huu wanaofanyiwa wanawake ni upendeleo basi sidhani kama kuna jinsia iliyopendelewa kama yenu, maana enzi za wazee wetu wanaume mlipendelewa zaidi hata ya wanawake wanavyopendelewa leo hii, lakini mliona sawa na mlifurahia wanawake walipokuwa wanavumilia manyanyaso yenu sasa meza zimegeuka mnaona kama mnaonewa
 
Halafu mkiachana mwanamke anafidiwa kwa kupewa mgao wa mali huku wanaume tunafarijiwa kwa kuambiwa mwanaume kaumbiwa mateso
Mkuu mi nimegoma kiapo cha ndoa kabisa!!

Bora nizae nae tujenge nyumba na vitega uchumi halafu niwe huru TU kama upepo!!

Nikiona wenge limezidi napanga room la kutuliza stress za kila siku!.
Nakuja home mara Moja Moja tu kucheki watoto wanaendeleaje!!
 
Sasa ambacho hujaelewa ni nini wewe kumhudumia ni jukumu lako kama naye anavyotimiza majukumu yake sasa ulitaka hizo huduma apate wapi wakati umemuoa ni mama wa nyumbani, kwenye kugawana ni kwa sababu mnahesabika mmechuma wote yeye ametimiza majukumu yake kama mke ili wewe ufocus kwenye kutafuta hizo pesa tu, hivyo naye ana mchango wake na ndio maana mnagawana hachukui zote

Kama unaona hiyo ni hasara basi mruhusu naye atafute pesa kama wewe ili usiwe unamhudumia hapo hata mkigawana itakuwa afadhali, maana angalau naye alikuwa anachangia pato la familia lakini ndio ukubali kwamba majukumu ya nyumbani inabidi asifanye yeye tena bali muwe na msaidizi, au kama vipi muwe mnasaidiana wenyewe na pia ukubali kupoteza ile full authority kama mwanaume kwa sababu humhudumii

Waliotunga hizi sheria siyo wajinga waliona kwamba wasipoweka huu utaratibu wanawake watakuwa wanaachika sana huku wakiondoka mikono mitupu, kwa sababu jamii ilishajenga mtazamo kwamba mwanaume kuoa na kuacha mara kwa mara ni kawaida ila mwanamke kuolewa na kuachwa mara kwa mara ni umalaya, kwahiyo hili liliwafanya wanawake wajitahidi kuvumilia maovu ya wanaume na wapambanie ndoa ili wasiachike

Sababu wanajua wakiachika jamii itawatukana huku wanaume kwao kuacha siyo shida, muda wowote akijisikia kumuacha mkewe kwa sababu yoyote ile hata kama ni ya kijinga, anamuacha tu sababu anajua jamii haitamfanya chochote

Kama mnaona huu wanaofanyiwa wanawake ni upendeleo basi sidhani kama kuna jinsia iliyopendelewa kama yenu, maana enzi za wazee wetu wanaume mlipendelewa zaidi hata ya wanawake wanavyopendelewa leo hii, lakini mliona sawa na mlifurahia wanawake walipokuwa wanavumilia manyanyaso yenu sasa meza zimegeuka mnaona kama mnaonewa
Kwahiyo unafikiri hiyo michango inafanana mpaka kila mmoja apewe nusu?
 
Hiyo sheria kandamizi ndo inafanya wanawake wawe majeuri, maana wanajua wakiachwa wanalipwa, hivi nimemkamata mke wangu kanichiti halafu nikimuacha nimlipe, upumbavu gani huo? Kwanini wasingeweka hata exception kwa kosa hilo tu?
 
TUELEWANE KIDOGO
SUALA LA MWANAUME KUPIGWA AU KUONEWA IKO HIVI

Mwanaume hupigwa kwa udogo wenye ukubwa ndani yake mfano bando mwanamke humuomba hela ya bando mmewe ila online huchat na watu 11 Kati yao nane ni Wanaume hao tatu ni wanawake wenzie na hizo chat hufutwa kingine wewe uliyeombwa bando hutumiwi hata text moja umepigwa na umenyanyaswa
Yupo aliyeomba picha akatumiwa yupo aliyeomba video call akapigiwa yupo aliyeomba na picha za utupu akatumiwa serious ila wewe ni ziro
Mwanaume huombwa kifurishi cha sms ila wewe utaambulia kuambiwa shida za hapo home tu hamna sabuni hamna unga dstv wamekata mtambo ila wapo wanaoambiwa wamemisiwa wapo wataambiwa waonane hiyo ni kupitia hela yako utasalitiwa kupitia hela yako atavaa nguo ulizomnunulia wewe kusuka kwa hela yako yaani atapendeza kwako na atakusaliti alafu ukijua utaambiwa shetani kampitia je? Hujapigwa? Hujanyanyaswa?

Ukisema umuache atadai mali mlizochuma hapo ndo utajua maana ya kunyanyaswa yaani kila kilicho chako atataka kiwe chake hana huruma na wewe kabisa

Ifike mahali mfumo haupo sijawahi kuuamini huo mfumo dume never
 
Hiyo sheria kandamizi ndo inafanya wanawake wawe majeuri, maana wanajua wakiachwa wanalipwa, hivi nimemkamata mke wangu kanichiti halafu nikimuacha nimlipe, upumbavu gani huo? Kwanini wasingeweka hata exception kwa kosa hilo tu?
Mkuu umenena Wanaume tunapigwa hapo tunanyanyaswa hapo jibu ni moja usiruhusu mwanamke akajua mali zako zote basi hamna lingine
 
Mpaka ukaamua kumiliki mali kwa siri maana yake sheria inakukandamiza kuweka wazi mali zako. Hata ivyo ulichoandika hapa kina mantiki sana, mwanamke anatakiwa kujua nyumba mnayoishi tu mali zingine zote ziwe siri wazijue ndugu wachache wa karibu sana ili zisipotee ukifa.
Ni bora ujikandamize mwenyewe yaani ni bora ununue gari upate nalo ajali ufe kuliko ugongwe njiani uwe kilema serious
 
TUELEWANE KIDOGO
SUALA LA MWANAUME KUPIGWA AU KUONEWA IKO HIVI

Mwanaume hupigwa kwa udogo wenye ukubwa ndani yake mfano bando mwanamke humuomba hela ya bando mmewe ila online huchat na watu 11 Kati yao nane ni Wanaume hao tatu ni wanawake wenzie na hizo chat hufutwa kingine wewe uliyeombwa bando hutumiwi hata text moja umepigwa na umenyanyaswa
Yupo aliyeomba picha akatumiwa yupo aliyeomba video call akapigiwa yupo aliyeomba na picha za utupu akatumiwa serious ila wewe ni ziro
Mwanaume huombwa kifurishi cha sms ila wewe utaambulia kuambiwa shida za hapo home tu hamna sabuni hamna unga dstv wamekata mtambo ila wapo wanaoambiwa wamemisiwa wapo wataambiwa waonane hiyo ni kupitia hela yako utasalitiwa kupitia hela yako atavaa nguo ulizomnunulia wewe kusuka kwa hela yako yaani atapendeza kwako na atakusaliti alafu ukijua utaambiwa shetani kampitia je? Hujapigwa? Hujanyanyaswa?

Ukisema umuache atadai mali mlizochuma hapo ndo utajua maana ya kunyanyaswa yaani kila kilicho chako atataka kiwe chake hana huruma na wewe kabisa

Ifike mahali mfumo haupo sijawahi kuuamini huo mfumo dume never
Yaani katika uovu akitoka mwanamke ndo chini yake anafuatia shetani, kisha wanafuata mapepo na majini, kafanya umalaya kakuchiti afu ukimpiga chini unamlipa, sheria ya uonevu na ni upumbavu mkubwa, wanawake wengi ni malaya hata mbwa wana afadhali, tena utakuta ndo hao wanao pigia chapuo kugawana mali, ni tamaaa tu na umalaya uliokomaa
 
Usihofu, nature itajishape tu kubalance mambo, kila kitu kina matokeo yake.

Mfano, sasa hivi kuna idadi ya vijana wapo tu wanamaliza vyuo hawana kazi. Kazi zinashikwa na mabinti. Baada ya muda jamii inakuwa na wanaume masikini na wanawake wenye uwezo kiuchumi. Nini kinafata?

Uhaba wa wanaume wenye uwezo wa kumtunza mwanamke, uwepo wa vijana mlenda mlenda na legelege na tegemezi, ongezeko la single mothers, jamii itaanza kuona umuhimu wa uwepo wa wanaume.

Ulinzi wa mtoto wa kiume utaongezeka. Semina za malezi ya mtoto wa kiume na kelele za muandae baba ajae zinashamiri, ajira zitamtazama mwanaume n.k n.k Ni suala la muda tu.
Jamaa una akili sana
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwahiyo unafikiri hiyo michango inafanana mpaka kila mmoja apewe nusu?
Mkuu hata saikolojia inatambua kwamba mwanaume huwezi kufanya shughuli za kutafuta pesa kwa ufanisi kwa muda mrefu bila kuwa na mwanamke wa kukuliwaza na kukufariji, isitoshe wanaume wengi akili huwa zinaamka na kuongeza bidii ya kutafuta pale wanapojua kwamba wana wategemezi wewe unasema tu kwamba eti pengine usingeoa ungekuwa na pesa nyingi, unafikiri usingeoa ungekuwa na hiyo akili na bidii ya kutafuta hizo pesa nyingi wakati unajua huna wategemezi ingekuwa hivyo wanaume wengi wasiooa si wangekuwa matajiri lakini mbona wanaoongoza kwa utajiri ni wanaume wenye wake na watoto
Hiyo sheria kandamizi ndo inafanya wanawake wawe majeuri, maana wanajua wakiachwa wanalipwa, hivi nimemkamata mke wangu kanichiti halafu nikimuacha nimlipe, upumbavu gani huo? Kwanini wasingeweka hata exception kwa kosa hilo tu?
Hivi unafananisha cases za wanaume na wanawake kucheat haya tufanye hiyo sheria ya kugawana mali isingekuwepo wanaume si mngecheat mnavyojisikia, sababu mnajua wanawake hawawezi kuwaacha na wakiwaacha basi hawapati kitu kwahiyo wanaume mngekuwa hamna cha kupoteza, msilalamike kana kwamba sheria zingekuwa zinawafavour ninyi ndio mngetumia nafasi vizuri wakati mnajua ni jinsia gani inaongoza kwa kutumia nafasi inayopewa vibaya
 
Yaani katika uovu akitoka mwanamke ndo chini yake anafuatia shetani, kisha wanafuata mapepo na majini, kafanya umalaya kakuchiti afu ukimpiga chini unamlipa, sheria ya uonevu na ni upumbavu mkubwa, wanawake wengi ni malaya hata mbwa wana afadhali, tena utakuta ndo hao wanao pigia chapuo kugawana mali, ni tamaaa tu na umalaya uliokomaa
Hakika mkuu
 
Back
Top Bottom