Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Mkuu mbona nimeshakuelezea kwamba katika mazingira ambayo mke ni mama wa nyumbani na hamna watoto, mkiachana mke atapewa mali kwa hicho kigezo cha kufidia muda wake ambao alitakiwa atafute pesa kama wewe lakini akawa anatimiza hayo majukumu, sawa ni majukumu yake lakini ndio ukubali sasa kwamba siku mkiachana lazima mtagawana mali kwa hicho kigezo

Vinginevyo msiachane au usifanye makosa makubwa ya kumfanya yeye atake muachane, wangesema kila mtu aondoke na alichokuja nacho ingekuwa ni uonevu kwa wanawake ambao ni wamama wa nyumbani, kwa sababu huwezi kumkataza mtu asitafute pesa akae nyumbani akuhudumie halafu eti mkiachana usimpe chochote wakati ni wewe ndio ulimzuia asitafute pesa

Hayo ya mke kufanya kazi halafu asichangie pato la familia nalo haliwezi kuwa utetezi wa kuaminika, kwa sababu mwanaume yeyote tu anaweza akatumia huo utetezi hata kama ni uongo ili mradi tu mkewe asipate chochote, huwa wanaamini haiwezekani katika muda wote ambao mmeishi na huyo mke eti awe hajawahi kuchangia chochote kwenye familia lazima tu kuna sehemu naye alichangia

Kuhusu hayo ya wanawake kutokupendana nazo ni propaganda kama propaganda nyingine kwa sababu ukiangalia hali halisi mazingira ambayo yanafanya wanawake waonekane hawapendani, utakuta ni mazingira ambayo hata ingekuwa ni wanaume nao wangefanya hayo hayo ambayo wakifanya wanawake wanaonekana hawapendani, labda wewe uniambie ni katika mazingira gani ambayo wanawake hawapendani na ni kwa sababu ya kufanya vitu gani

Halafu siyo kwamba majukumu ya mwanaume hayahesabiki au hayana umuhimu ila kumbuka jukumu lenu pekee hasa wanaume wa kiafrika ni kutafuta pesa tu, sasa niambie ni pesa kiasi gani inayoweza kulingana na majukumu ya kufanya kazi za nyumbani, kutii mume, kubeba mimba, kuzaa, kunyonyesha, kulea watoto nk sasa hata kama utakuwa unamhudumia utakuwa unampa pesa kiasi gani ya kufidia majukumu yote hayo
Ndo ujibu sasa huo muda wa kumlipa mwanamke kama fidia una mantiki gani nahuku kiutamaduni ni jukumu lake kufanya kazi za nyumbani? Mbona umesema vzr tu jukumu letu ni kutafuta pesa, basi jukumu la mwanamke ni kazi za nyumbani, halafu unadharau hizo pesa anazotafuta mwanaume nahuku tunahudumia familia tatu, ya mke wangu, familia niliyotoka, pamoja na familia ya mke wangu mizinga napigiwa? Unahesabia mke tu?

Kwahiyo kwenye ndoa mwanaume hana mchango wowote mpaka mali zake zipokonywe na asipate fidia yoyote pale wanapoachana? Narudia tena usirejee sheria za kitapeli ambazo ni kandamizi kwa wanaume, ongea uhalisia, eti mwanamke anakazi kubwa kubeba mimba na kulea, kwahiyo ukitaka mwanaume ndo abebe mimba? Si ni asili Mungu kaumba watu hivyo?

Maswali hayo mawili kuhusu mantiki ya kumlipa mwanamke kisa kazi za ndani nahuku ndo jukumu lake ni lipi? Mchango wa mwanaume kwenye ndoa kwanini hauhesabiki? Aya hii ya mwisho ndo summary ya maswali niliyouliza tangu jana unakwepa hujibu, jibu sasa bila kuandika gazeti ambalo halina hoja za msingi.
 
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.

Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.

Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.

Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.

Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.

Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.

Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.

Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.

Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.

Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.

Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.

Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.

Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.

Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Ni kweli. Hapa solution ni kukataa ndoa tu.
 
Heshima na majukumu ya kimaadili kila upande unawajibika ilo sipingani nalo kabisa. Huwezi ukamtaka mmeo akutengee chakula maana inajulikana huo ni wajibu wa mwanamke vivyo hivyo yanapotokea majukumu yanayoitaji nguvu mfano gari ya familia imepata hitilafu labda tusemale pancha haiwezekani mume akamwambia mkewe abadilishe tairi maana inajulikana ilo ni jukumu la mwanaume au kaingia mwizi ndani ya nyumba haiwezekani mume akamwambia mkewe aende kupambana nae Gender roles sio utumwa ni wajibu ambao unakuja automaticaly tu kutokana na misingi ya jamii iliyokukuza., unachotaka kusema hakiwezekani kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba mume amtengee mkewe chakula.! msilazimishe mambo ambayo mnajua kabisa hayawezekani
We are challenging those stereotypes, nikutengee chakula maana yake nitoe vyombo nioshe. , don't you know this is TIME??? Kwa nini mnakataa mtu asilipwe 50 baada ya huu utumwa????? ..kubali hizo gender role zinamkandamiza mwanamke, and recognising this hence malipo ya 50/50 yanawekwa in place sasa ndio useme sasa ulitumia muda lini kufukuza mwizi na mara ngapi katika mahusiano yenu....

Anyway ulisema mwanamke kumtii mwanaume ni gender role nakuuliza ulikua unamaanisha nini, maana nilidhani umemaanisha wanawake ni weaker beings ila ukanirudisha ni respect nikakwambia ni reciprocal sasa hivi naona unanirudisha kwenye tamaduni za kiafrica, hizi zinazokandamiza wanawake all in the name of gender roles...????? Please ulikua unamaanisha nini unaposema mwanamke kumtii mwanaume ni gender role ili twende sawa.
 
We are challenging those stereotypes, nikutengee chakula maana yake nitoe vyombo nioshe. , don't you know this is TIME??? Kwa nini mnakataa mtu asilipwe 50 baada ya huu utumwa????? ..kubali hizo gender role zinamkandamiza mwanamke, and recognising this hence malipo ya 50/50 yanawekwa in place sasa ndio useme sasa ulitumia muda lini kufukuza mwizi na mara ngapi katika mahusiano yenu....

Anyway ulisema mwanamke kumtii mwanaume ni gender role nakuuliza ulikua unamaanisha nini, maana nilidhani umemaanisha wanawake ni weaker beings ila ukanirudisha ni respect nikakwambia ni reciprocal sasa hivi naona unanirudisha kwenye tamaduni za kiafrica, hizi zinazokandamiza wanawake all in the name of gender roles...????? Please ulikua unamaanisha nini unaposema mwanamke kumtii mwanaume ni gender role ili twende sawa.
Basi dada angu ishi na mumeo kwa namna utakayoona wewe ni sahihi
 
Uzi umeniumiza sana!

Kinachoniumiza ni kile sisi wanaume tunachopendewa na Hawa wanawake si kingine ni "hatma ya uchumi wetu"!!!

Unafanya mapenzi na mtu ambae unahisi anakuoendea kitu Fulani na si wewe kama wewe!hii inaumiza mno!!

Wanawake wengi hawajui kwanini tunapoteza mzuka nao,ni pale tunapoonekana maroboti yatumikayo kuwafanikisha kiuchumi lakini hakuna anaejali hayo maroboti!!
 
Uzi umeniumiza sana!

Kinachoniumiza ni kile sisi wanaume tunachopendewa na Hawa wanawake si kingine ni "hatma ya uchumi wetu"!!!

Unafanya mapenzi na mtu ambae unahisi anakuoendea kitu Fulani na si wewe kama wewe!hii inaumiza mno!!

Wanawake wengi hawajui kwanini tunapoteza mzuka nao,ni pale tunapoonekana maroboti yatumikayo kuwafanikisha kiuchumi lakini hakuna anaejali hayo maroboti!!
Halafu mkiachana mwanamke anafidiwa kwa kupewa mgao wa mali huku wanaume tunafarijiwa kwa kuambiwa mwanaume kaumbiwa mateso
 
Kwahiyo kutolewa mahari ndo unarejea utamaduni, ila mke kuwa submissive kwa mume pmj na kufanya kazi za ndani, tukikwambia kuwa nao ni utamaduni wa kiafrika unapinga, unahoji eti ni nani anayeamua kuwa gender roles za mwanamke ni hizi na za mwanaume ni hizi.
Mimi najadili uhalisia sitoi mawazo yangu binafsi mimi kurejea utamaduni haimaanishi kwamba nasupport au napinga hakuna mahali nilipoonesha msimamo wangu, kuhusu gender roles nisome vizuri sijakataa kwamba jukumu la mwanamke ni kutii mume na kufanya kazi za nyumbani ila hoja yangu ni kwamba hayo majukumu mwanamke anatakiwa kufanya endapo tu mume wake anamhudumia, sasa inashangaza kuona wanaume wa leo wanalalamika kuhusu hilo jukumu wanataka eti wanawake nao watafute pesa halafu hapo hapo wawatii na wafanye kazi za nyumbani hilo unaliongelea vipi
 
Wewe unataka mashindano. Ndio maana nimeona nikuache labda hao wengine wanaweza kukuelewesha. Hivi unajua kwann hata wanawake hawajitokezi kwenye comments? Wanajua hoja imewapiga kwenye mshono hawana cha kuchangia vinginevyo wangeshakuja kutapika hapa.
Wewe unajuaje kama wameamua kukaa kimya kwa sababu hoja zimewapiga kwenye mshono na si kwa sababu nyingine tu, kama ulisoma na kuelewa comment yangu ya kwanza vizuri niliandika kwamba siku hizi wanawake wameacha kulalamika wameamua kujibu mapigo kimya kimya na matokeo yake wanaume ndio mnalalamika, sasa hata kuacha kubishana kwenye mada kama hizi mitandaoni nako ni ishara kuwa wanawake wa siku hizi wamepunguza kulalamika baada ya kuona wamelalamika kwa muda mrefu bila jamii kuwasikiliza
 
Ndo ujibu sasa huo muda wa kumlipa mwanamke kama fidia una mantiki gani nahuku kiutamaduni ni jukumu lake kufanya kazi za nyumbani? Mbona umesema vzr tu jukumu letu ni kutafuta pesa, basi jukumu la mwanamke ni kazi za nyumbani, halafu unadharau hizo pesa anazotafuta mwanaume nahuku tunahudumia familia tatu, ya mke wangu, familia niliyotoka, pamoja na familia ya mke wangu mizinga napigiwa? Unahesabia mke tu?

Kwahiyo kwenye ndoa mwanaume hana mchango wowote mpaka mali zake zipokonywe na asipate fidia yoyote pale wanapoachana? Narudia tena usirejee sheria za kitapeli ambazo ni kandamizi kwa wanaume, ongea uhalisia, eti mwanamke anakazi kubwa kubeba mimba na kulea, kwahiyo ukitaka mwanaume ndo abebe mimba? Si ni asili Mungu kaumba watu hivyo?

Maswali hayo mawili kuhusu mantiki ya kumlipa mwanamke kisa kazi za ndani nahuku ndo jukumu lake ni lipi? Mchango wa mwanaume kwenye ndoa kwanini hauhesabiki? Aya hii ya mwisho ndo summary ya maswali niliyouliza tangu jana unakwepa hujibu, jibu sasa bila kuandika gazeti ambalo halina hoja za msingi.
Hakuna sheria kandamizi hapo bali wanaume mnataka tu muendelee kutumia mamlaka mliyopewa kuwaonea wanawake, kama huyo mwanamke angekuwa hajaolewa na wewe maana yake angekuwa anajitafutia pesa zake na anajiamulia maisha yake ila kwa sababu umemuoa inabidi aache hayo yote aje kutimiza majukumu mengine kwa ajili yako, sasa mnapoachana unategemea anaondoka na nini ambacho kitamsaidia kuenda kuanza maisha mengine na wewe kama mume unataka upewe nini maana kumbuka mwanaume ndio main provider of the family

By the way mali mnazogawana ni zile zilizopatikana ndani ya ndoa kwa vyovyote vile kila mmoja anahesabika ana mchango wake katika upatikanaji wa hizo mali hivyo mnahesabika mmechuma wote, halafu mbona unaandika kana kwamba mwanamke anaondoka na mali zote wakati mnagawana nusu kwa nusu sasa wewe unaposema kwamba mwanaume anapata nini kwa kutimiza majukumu yake, si ndio hiyo nusu ambayo unagawana na mkeo au wewe ulitaka iweje hebu fafanua vizuri maana hadi sasa naona unarukaruka tu

Mimi nimekujibu maswali yote ila wewe kwa sababu zako binafsi umeamua tu kukataa majibu halafu unasema eti sijakujibu sasa hapo tatizo ni la nani, hao walioweka hizo sheria siyo wajinga kuna mambo mengi sana wamezingatia halafu ninyi wanaume msiotaka kuwajibika mnakuja na visingizio eti ni sheria za kumkandamiza mwanaume, kwani hao waliopitisha hizo sheria ni wanawake na kama ni wanaume kwanini wapitishe sheria za kupendelea mwanamke wanafanya hivyo kwa faida ya nani
 
Ndio hivyo kwa tamaduni za jamii nyingi za kiafrika mahari ni kama fidia kwa familia ya mke kwa kulose ilihali ya mwanaume imegain, unaweza kuamua tu kukataa ila wewe kukataa haibadilishi ukweli wa hilo jambo, mahari siyo kumnunua mwanamke wala haihusiani na mwanamke kuwa mtumwa wa mumewe
Imelose nini ? Na ime gain nini ?

Kwa nini mtumwa alikuwa ana thaminishwa kwa pesa au mali ?

Kwamba unakataa kuwa mwanamke anunuliwi ? Process za ulipaji mahari mpaka kukamilika malipo wazifahamu ?
 
Imelose nini ? Na ime gain nini ?

Kwa nini mtumwa alikuwa ana thaminishwa kwa pesa au mali ?

Kwamba unakataa kuwa mwanamke anunuliwi ? Process za ulipaji mahari mpaka kukamilika malipo wazifahamu ?
Kama ulisoma vizuri ile comment yangu uliyoiquote basi usingeuliza maswali ya kipuuzi kama hayo, kwa sababu nilishafafanua familia ya mke inalose nini na ya mume inagain nini, au wewe ulitaka familia ya mke ipewe nini kwa kulose mtoto na ile heshima ya kuendeleza jina la ukoo
 
Kama ulisoma vizuri ile comment yangu uliyoiquote basi usingeuliza maswali ya kipuuzi kama hayo, kwa sababu nilishafafanua familia ya mke inalose nini na ya mume inagain nini, au wewe ulitaka familia ya mke ipewe nini kwa kulose mtoto na ile heshima ya kuendeleza jina la ukoo
Kama ni ya kipuuzi usinge jisumbua kuandika.

Turudi kwenye maswali yangu tufanye sio ya kipuuzi, naomba majibu
 
Sasa mbona unajikaaanga, Men uim
Mimi najadili uhalisia sitoi mawazo yangu binafsi mimi kurejea utamaduni haimaanishi kwamba nasupport au napinga hakuna mahali nilipoonesha msimamo wangu, kuhusu gender roles nisome vizuri sijakataa kwamba jukumu la mwanamke ni kutii mume na kufanya kazi za nyumbani ila hoja yangu ni kwamba hayo majukumu mwanamke anatakiwa kufanya endapo tu mume wake anamhudumia, sasa inashangaza kuona wanaume wa leo wanalalamika kuhusu hilo jukumu wanataka eti wanawake nao watafute pesa halafu hapo hapo wawatii na wafanye kazi za nyumbani hilo unaliongelea vipij

Mimi najadili uhalisia sitoi mawazo yangu binafsi mimi kurejea utamaduni haimaanishi kwamba nasupport au napinga hakuna mahali nilipoonesha msimamo wangu, kuhusu gender roles nisome vizuri sijakataa kwamba jukumu la mwanamke ni kutii mume na kufanya kazi za nyumbani ila hoja yangu ni kwamba hayo majukumu mwanamke anatakiwa kufanya endapo tu mume wake anamhudumia, sasa inashangaza kuona wanaume wa leo wanalalamika kuhusu hilo jukumu wanataka eti wanawake nao watafute pesa halafu hapo hapo wawatii na wafanye kazi za nyumbani hilo unaliongelea vipi
Kwahiyo nikiwa namhudumia lakini yeye anafanya kazi nyumbani na hatuna watoto, inamaana hatutagawana mali?
 
Hakuna sheria kandamizi hapo bali wanaume mnataka tu muendelee kutumia mamlaka mliyopewa kuwaonea wanawake, kama huyo mwanamke angekuwa hajaolewa na wewe maana yake angekuwa anajitafutia pesa zake na anajiamulia maisha yake ila kwa sababu umemuoa inabidi aache hayo yote aje kutimiza majukumu mengine kwa ajili yako, sasa mnapoachana unategemea anaondoka na nini ambacho kitamsaidia kuenda kuanza maisha mengine na wewe kama mume unataka upewe nini maana kumbuka mwanaume ndio main provider of the family

By the way mali mnazogawana ni zile zilizopatikana ndani ya ndoa kwa vyovyote vile kila mmoja anahesabika ana mchango wake katika upatikanaji wa hizo mali hivyo mnahesabika mmechuma wote, halafu mbona unaandika kana kwamba mwanamke anaondoka na mali zote wakati mnagawana nusu kwa nusu sasa wewe unaposema kwamba mwanaume anapata nini kwa kutimiza majukumu yake, si ndio hiyo nusu ambayo unagawana na mkeo au wewe ulitaka iweje hebu fafanua vizuri maana hadi sasa naona unarukaruka tu

Mimi nimekujibu maswali yote ila wewe kwa sababu zako binafsi umeamua tu kukataa majibu halafu unasema eti sijakujibu sasa hapo tatizo ni la nani, hao walioweka hizo sheria siyo wajinga kuna mambo mengi sana wamezingatia halafu ninyi wanaume msiotaka kuwajibika mnakuja na visingizio eti ni sheria za kumkandamiza mwanaume, kwani hao waliopitisha hizo sheria ni wanawake na kama ni wanaume kwanini wapitishe sheria za kupendelea mwanamke wanafanya hivyo kwa faida ya nani
Kama sababu ya kumlipa mwanamke 50% kisa wakati anafanya kazi za nyumbani nilimpotezea muda, kwamba nisingemuoa pengine angekuwa anafanya kazi mahala, angepata pesa, je namimi nisingemuoa si ningekuwa nina pesa nyingi tu? Kwasababu kala chakula changu, kavaa nguo zangu, katibiwa kwa pesa zangu, na bado mizinga ya baba mkwe na mashemeji, huoni kuwa sababu uliyoitoa haina mashiko?
 
Back
Top Bottom