Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,583
- 10,086
Tuiangalie dhana ya 50/50 katika nyanja ya uchumi kwenye mahusiano. Hapo zamani mwanamke akupewa access yoyote kiuchumi kuanzia ajira, elimu, kumiliki mali, uongozi n.k katika hali kama iyo ni sharti ahudumiwe na mwanaume. Mwanamke hana ajira, hana makazi, hana mali sasa ataishi vipi lazima mwanaume awajibike kuhudumia hapo, that was a fair game.
Baadaye yakaibuka mambo ya haki sawa mpaka kufikia leo hii mwanamke kapewa access zote za kujipambania sasa hapa hili game liwe fair maana yake ule wajibu wa mwanaume kumuhudumia mwanamke lazima uondolewe, hapa lazima mwanamke akubali usawa unakuja na wajibu.
Lakini ukiangalia mwenendo wa mahusiano pamoja na kwamba tupo kwenye zama za 50/50 ambapo kila mtu anawajibika kujipigania mwenyewe inaonekana bado kuna privileges ambazo mwanamke alikua anazipata kutoka kwa mwanaume katika zama za mfumo dume na hataki kuziachia kwenye zama hizi za 50/50 ikiwepo takwa la kuhudumiwa na mwanaume.
Tunaomba mawazo yenu wakina dada, mnataka 50/50 ili mpewe access zote za kujitafutia muwe mnatoka nyumbani kutafuta mkate na mna-share sawa sawa na mwanaume cost zote za kumantain mahusiano/ndoa kuanzia mitoko, mahitaji ya nyumbani, bata n.k au mnataka mfumo dume na muondolewe access zote za kuwawezesha kujitafutia mfano ajira,elimu, kumiliki mali n.k ili muwe mnashinda nyumbani na kuhudumiwa na mwanaume?
Baadaye yakaibuka mambo ya haki sawa mpaka kufikia leo hii mwanamke kapewa access zote za kujipambania sasa hapa hili game liwe fair maana yake ule wajibu wa mwanaume kumuhudumia mwanamke lazima uondolewe, hapa lazima mwanamke akubali usawa unakuja na wajibu.
Lakini ukiangalia mwenendo wa mahusiano pamoja na kwamba tupo kwenye zama za 50/50 ambapo kila mtu anawajibika kujipigania mwenyewe inaonekana bado kuna privileges ambazo mwanamke alikua anazipata kutoka kwa mwanaume katika zama za mfumo dume na hataki kuziachia kwenye zama hizi za 50/50 ikiwepo takwa la kuhudumiwa na mwanaume.
Tunaomba mawazo yenu wakina dada, mnataka 50/50 ili mpewe access zote za kujitafutia muwe mnatoka nyumbani kutafuta mkate na mna-share sawa sawa na mwanaume cost zote za kumantain mahusiano/ndoa kuanzia mitoko, mahitaji ya nyumbani, bata n.k au mnataka mfumo dume na muondolewe access zote za kuwawezesha kujitafutia mfano ajira,elimu, kumiliki mali n.k ili muwe mnashinda nyumbani na kuhudumiwa na mwanaume?