Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Tulikosea sana kuipokea hii sera ya 50/50 mbaya zaidi jukumu la kuieneza tukawaachia mafeminia vilaza wa type ya joyce kiria.
Hivi na yule mme wake ni shoga au,..yaani yy kila kitu kinachohusu mwanamke anatete meanwhile anakandia wanaume.
Alafu nimeamini ndege wafananao huruka pamoja, mwanamke mikucha mirefu mikono yote, mwanaume nae haeleweki anasuka, dreads au bleach😁
 
Ukiziangalia kwa undani hizi movements za 50/50, women empowerment and the likes utaona kinachoenezwa sio usawa bali ni ubinafsi na chuki za kijinsia. Siku moja niliona habari wanawake wanasema kiwanda chao wana sera ya kuajiri wanawake tu kama chachu ya kuaminisha jamii wanawake wanaweza na wapo proud kabisa kwa kufanya ivyo na watu wengi wanakawapongeza kwenye comments, ukiangalia kazi zinazofanyika hapo hazina uhusiano wa kijinsia, nikajiuliza hii ingekua kinyume chake kwamba wanaume ndio wanafanye je wasingesakamwa kwamba ni wabaguzi wa kijinsia? ndipo nikagundua hili suala la 50/50 kuna sehemu wanawake hawajalielewa. 50/50 maana yake wote mpewe access sawa sawa halafu mwenye uwezo apate shida ni kwamba wanawake wanataka usawa halafu katika kinyang'anyiro cha fursa wanataka waonewe huruma au wapewe upendeleo
Upendeleo usiwe na nafasi sehemu yoyote ile...., ila historically wenzetu / bibi zetu jamii iliwakandamiza vya kutosha...,
 
Patriarchy na feminism haviwezi kukaa pamoja

Tatizo hatuwezi kuchagua kimoja tukaacha kingine, siku hizi mambo ni kibishi bishi

Mwanaume unalalamika kutegemewa kiuchumi lakini kazi za ndani hutaki kufanya, mkeo akikuzidi hela unaogopa....

Mpaka itakapofika siku ambayo tofauti ya ke na me itakua ni kubeba mimba tu, huu mjadala hautoisha
 
Halafu huwa siamini kuna aliyeko top. Naamini kuna wajibu wa mwanaume na wa mwanamke.

Mwanaume kuwa kiongozi wa familia na mhusika wa kufanya maamuzi ya mwisho hakumfanyi kuwa top, ni jukumu lake tu.

Mwanamke kumlea mwanaume na watoto hakumfanyi kuwa weak, ni jukumu lake tu. Ts all about mgawanyo wa majukumu sio masuala ya kuwa top au weak.

Ni sawa na kusema shingo haina umuhimu kama kichwa.
You see right there hakuna aliyepo top, but in the end mwanaume ndio kichwa cha familia. But anakuwaje if mtoto wa kike ndio anapewa powers za kusimama kwneye hiyo nafasi huku mwanaume akiachwa apambane kivyake? It a bot unfair
 
wanaume wenyewe ndo tunajishusha tunakiwa marofa sana sikuhizi huna kuta familia mwanamke ndo anafanya maamuzi mwanaume yupo yupo tu
wanawake wakieenda kwenye semina zao ni kutukandia tu wanaume wanajadili ku take power tuliyo nayo
Mkuu jamii imempa mwanamke victim status ndipo wanawake wanaitumia iyo status kufanya abuse na ku-act childish to the extent that can't be tolereted but they will get along with it because systems zinawapa upendeleo. Mwanaume ukijifanya kuwa aggresive au violent ni rahisi sana kwa mwanamke kukupa kesi hata kama yeye ndie mwenye makosa kuanzia mwanzo
 
Mimi naona dunia imemsikiliza mwanaume kwa muda mrefu imefika pahala acha sasa imsikilize na mwanamke kwa sababu mfumo dume umemkandamiza mwanamke vya kutosha, wake walipokuwa wanavumilia kukandamizwa miaka yote hiyo ilionekana sawa sasa wameamka baada ya kuchoka na kukataa kukandamizwa wanaume mnaanza kulalamika na mnaona kama mnaonewa, wanawake wamechoka kulalamika wameamua kujibu mapigo kwahiyo tulieni tu dawa iwaingie mpaka pale siku mtakapoongea nao lugha moja
 
Mimi naona dunia imemsikiliza mwanaume kwa muda mrefu imefika pahala acha sasa imsikilize na mwanamke kwa sababu mfumo dume umemkandamiza mwanamke vya kutosha, wake walipokuwa wanavumilia kukandamizwa miaka yote hiyo ilionekana sawa sasa wameamka baada ya kuchoka na kukataa kukandamizwa wanaume mnaanza kulalamika na mnaona kama mnaonewa, wanawake wamechoka kulalamika wameamua kujibu mapigo kwahiyo tulieni tu dawa iwaingie mpaka pale siku mtakapoongea nao lugha moja
Hakuna alielalamika
 
You see right there hakuna aliyepo top, but in the end mwanaume ndio kichwa cha familia. But anakuwaje if mtoto wa kike ndio anapewa powers za kusimama kwneye hiyo nafasi huku mwanaume akiachwa apambane kivyake? It a bot unfair
Unajua tumefikaje hapa?

1. Ongezeko la wanaume kuwa na nyumba ndogo na kuisahau familia, mke anakosa option anaanza kutoka kufanya jukumu la mwanaume wake. Huko nje anakutana na wenzake, wanajiongeza, vinaundwa vikoba, vikundi, mabank yanaona fursa, yanatoa mikopo mwishowe wanaibuka malkia wa nguvu.

2. Ongezeko la vijana wala kimasihara. Binti kashika mimba, kijana kakimbia, binti kaacha shule kulea mimba, kijana kaendelea na shule, kijana kamaliza shule, kachukua binti mwingine. Wazazi wa binti wamepewa jukumu la kulea binti na mjukuu. Jamii inaona, inajifunza kuwa binti anaweza kutelekezwa inapambana kumwinua, binti anaiunuka, malkia wa nguvu anaibuka.

3. Ongezeko la wanaume maboss waroho. Vijana na mabinti wamemaliza chuo, wameomba kazi, mabinti ni warembo, boss anavutiwa nao, anawapa ajira, mishahara mizuri vijana wanabaki mtaani. Malkia wa nguvu malaya wanaibuka.
Huko vyuoni kuna degree zinaitwa za chupi.
4. Ongezeko la wanaume six pac na gym ila mariooo. Obvious hapa mwanmke atahitaji kumlisha, kumvisha n.k

5. Uwepo wanaume wapenzi wa jinsia moja. Hapa sina la kusema.

KWA UFUPI, MWANAMKE KAINUKA BAADA YA MWANAUME KUMPA SABABU YA KUINUKA. OTHERWISE HAKUKUWA NA SABABU YA MWANAMKE KUTAKA KUWA MWANAUME. MWANAMKE NATURE TU ILIVYOMUUMBA ANAFURAHIA KUWA NA MUME ANAYEMHUDUMIA NA YEYE AMTUNZE YEYE NA WATOTO.
 
Usihofu, nature itajishape tu kubalance mambo, kila kitu kina matokeo yake.

Mfano, sasa hivi kuna idadi ya vijana wapo tu wanamaliza vyuo hawana kazi. Kazi zinashikwa na mabinti. Baada ya muda jamii inakuwa na wanaume masikini na wanawake wenye uwezo kiuchumi. Nini kinafata?

Uhaba wa wanaume wenye uwezo wa kumtunza mwanamke, uwepo wa vijana mlenda mlenda na legelege na tegemezi, ongezeko la single mothers, jamii itaanza kuona umuhimu wa uwepo wa wanaume.

Ulinzi wa mtoto wa kiume utaongezeka. Semina za malezi ya mtoto wa kiume na kelele za muandae baba ajae zinashamiri, ajira zitamtazama mwanaume n.k n.k Ni suala la muda tu.
Huko magharibi wanawake wameanza kubembelezwa kuzaa watoto
 
Halafu huwa siamini kuna aliyeko top. Naamini kuna wajibu wa mwanaume na wa mwanamke.

Mwanaume kuwa kiongozi wa familia na mhusika wa kufanya maamuzi ya mwisho hakumfanyi kuwa top, ni jukumu lake tu.

Mwanamke kumlea mwanaume na watoto hakumfanyi kuwa weak, ni jukumu lake tu. Ts all about mgawanyo wa majukumu sio masuala ya kuwa top au weak.

Ni sawa na kusema shingo haina umuhimu kama kichwa
itategemeana na mtazamo unaotumia..Kwa sisi tunaoitizama familia kama a smallest political unit in a country ni lazima awepo ndani ya familia, mtu mwenye mamlaka ya juu kuliko wenzake ambae ndi kiongoz.
 
Huko magharibi wanawake wameanza kubembelezwa kuzaa watoto
Yap, hawataki tena hilo jukumu. Kwanini? Sababu yeye akibeba mimba miezi 9 wewe uliyempa mimba unafanya nn? Anakuzalia, anakulelea, and then? What do you do? Hilo swali hata sasa hivi mwanamke kabla ya kushika mimba akimuuliza kijana asiyejielewa kwanini abebe mimba yake na katika hiyo miezi 9 ni nini atakuwa anafanya kwa mama ili iwe win-win uwezekano ni jibu litakuwa la hovyo.

Sasa hivi kuna wanawake wanalipwa kubeba mimba za watu wengine. Unataka mtoto? Unanunua yai, zinachukuliwa mbegu zako na yai la mwanamke linatungishwa kwa mwanamke mwingine na unamlipa. Ndo tulipofikia hapo.
 
itategemeana na mtazamo unaotumia..Kwa sisi tunaoitizama familia kama a smallest political unit in a country ni lazima awepo ndani ya familia, mtu mwenye mamlaka ya juu kuliko wenzake ambae ndi kiongoz.
Mamlaka si uongozi. Mamlaka ni utawala. Na utawala ndo umetufikisha hapa tulipo sasa hivi kuna tishio la wanawake kutawala wanaume. Tungeongoza tusingefika huku.
 
Unapenda sana kujenga hoja kwa kufanya rejea kutoka uko magharibi. Mkuu jamii zetu ni tofauti kiuchumi, kimaadili na kielemu sio kila sera ya uko magharibi ita-fit hapa kwetu.
Mkuu yupo sawa. Tupo affected sana na wamagharibi. Ni kama tunafata nyayo zao kwa kuchelewa. Yaani wakimalizana na stage fulani baada ya miaka na sisi tunaanza kuipitia kwa kujifunza bila kujali iliwaumiza au la. Sisi tunaiga tu.
 
Mkuu yupo sawa. Tupo affected sana na wamagharibi. Ni kama tunafata nyayo zao kwa kuchelewa. Yaani wakimalizana na stage fulani baada ya miaka na sisi tunaanza kuipitia kwa kujifunza bila kujali iliwaumiza au la. Sisi tunaiga tu.
Ndipo hapo tunapokosea.
 
Mamlaka si uongozi. Mamlaka ni utawala. Na utawala ndo umetufikisha hapa tulipo sasa hivi kuna tishio la wanawake kutawala wanaume. Tungeongoza tusingefika huku.
Mtawala anaweza kuwa kiongozi at the same time, lakini kiongozi ni ngumu kuwa mtawala. Kwa mantiki hyo bac mtawala wa siasa ya familia anaweza kuwa kiongozi vilevile wa familia hyo ..
 
Back
Top Bottom