Hivi shida ni nini? Kila mahusiano nikiingia nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza mpenzi wangu anakubali

Ilikua tabia yangu zaman nahisi ulikua utoto tu.. acha huo ujinga mkuu
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Utakuwa vocal Kali sana.
 
Basi hamna namna endelea kuumia na kuwaacha tu.. Maana inaonekana upo katika umri wa kutafuta mchumba.. Na katika umri huo ni wadada wachache sana wanaoweza kudate na mwanaume mmoja.. Wengi wanahofia kuwa na mwanaume mmoja anampotezea muda baadae anakuja kumuambia wewe sio type yangu.. Ndio maana hawakatai mtu.. Cha muhimu wewe tafuta mke uoe.. Huyo hata ukimtongoza kwa namba nyingine akakubali atakuwa na kesi ya kujibu.. Ila kwa hawa wa tuma na ya kutolea hakuna kesi wala tatizo.. Wao nao wanatafuta waume kama wewe unavyotafuta mwanamke.
Siwez nahisi kama ananicheat
 
Hawakuulizi wewe ni nani na umepataje namba yao, je hawakupigii kusikia sauti. Ushauri wangu badili aina ya wanawake unao date nao. Mm wa kwangu huwa wananipuuuza nikitumia namba ngeni kuwatongoza
 
Kwani wewe sehemu za ku-invest umekosa hadi ukainvest kwa wanawake wenye wazazi wao?

Dizain yako ndiyo hupeleka wanawake shule kwa gharama zenu kama jamaa yangu 2017 alinifata ananiambia ameamua amsomeshe mkewe mambo ya afya juzi tumekutana msibani ananiambia mkewe wametengana baada ya kumletea mimba asiyoielewa kumbana akamwambia ni ya mwanafunzi mwenzake
Inanikumbusha kitambo tuko chuo, demu anasomeshwa na jamaa yake mfanyabiashara toka Mbeya. Siku jamaa ghafla anaingia campus kumsalimia mchumba, aliambulia za uso asijue zinakotoka, sema jamaa alikuwa stable sana. Akaachana na yule demu, hadi leo amekuwa jamaa yangu sana na kanipa ramani za kutosha hapa Mbeya.
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Mimi Demu wangu simu ngeni hapokei na halibu sms, nilishawahi kutumia namba ngeni hakupokea wala kujibu sms miezi 3 nikachoka nikaacha kumtafuta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom