M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 2,898
- 4,838
KUNA MAWILI HAPA,Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
1.KUNA SIFA FALNI UNAKOSA KIASI WANAKUWEKA KWENYE "WA AKIBA"
2. KWANI HAO WATE UNAKUTANA NAO WAPI? KWENYE MDUNDIKO? VILABU VYA POMBE? UNAJUA MARAFIKI WANAFANANA TABIA.