Hivi shida ni nini? Kila mahusiano nikiingia nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza mpenzi wangu anakubali

Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
KUNA MAWILI HAPA,
1.KUNA SIFA FALNI UNAKOSA KIASI WANAKUWEKA KWENYE "WA AKIBA"
2. KWANI HAO WATE UNAKUTANA NAO WAPI? KWENYE MDUNDIKO? VILABU VYA POMBE? UNAJUA MARAFIKI WANAFANANA TABIA.
 
KUNA MAWILI HAPA,
1.KUNA SIFA FALNI UNAKOSA KIASI WANAKUWEKA KWENYE "WA AKIBA"
2. KWANI HAO WATE UNAKUTANA NAO WAPI? KWENYE MDUNDIKO? VILABU VYA POMBE? UNAJUA MARAFIKI WANAFANANA TABIA.
Sio club mtaani tu wengine kweny biashara
 
Hapo kuna mawili.

1. Unajua sana kutongoza kiasi kwamba demu kuchomoa inakuwa ngumu.

2. Mademu unaotongoza ni vilaza hawana uwezo wa kuchomoa wakitongozwa.
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Hebu acha mambo ya kitoto bhana, ulitegemea mpenzi wako atongozwe halafu akatae? Una umri gani?
 
Hahahahah! Wewe jamaa fala kinyama! Why ufanye hivyo sasa? Wewe ukipata, piga alafu pita kushoto. Circle inaenda hivyo. Huwezi miliki mtu binafsi na kitobo chake.

Wewe jifanye kuwekeza kwenye videmu vya chuo kama movie za kikorea uje ujinyonge kwenye dabodeka.
 
Hapa nadhan tatzo n unafahamu weakness zao..... Kwahyo inakuwa n vyepesi kuwashawishi sababu unajua wanapenda story zipi, tamaa zao n zp N.k

Mfano mbinu ulotumia kumnasa binti flani..... Akitokea mtu mwingine akaitumia in a more advanced way uwezekano wa kumshawishi huyo bint n mkubwa sana...... Labda bnt anatamaa san na pesa pia anapenda maisha ya anasa na kujionesha then kipindi unamtongoza ulimuigizia umarecan mwng mpk ukamnasa... Amini kwamba akija msela mwngne mweny ndinga kali swag na pesa za kuzugia lazima alambe asali sabb ndio udhahifu wa manzi wako!!!!!
 
Hapa nadhan tatzo n unafahamu weakness zao..... Kwahyo inakuwa n vyepesi kuwashawishi sababu unajua wanapenda story zipi, tamaa zao n zp N.k

Mfano mbinu ulotumia kumnasa binti flani..... Akitokea mtu mwingine akaitumia in a more advanced way uwezekano wa kumshawishi huyo bint n mkubwa sana...... Labda bnt anatamaa san na pesa pia anapenda maisha ya anasa na kujionesha then kipindi unamtongoza ulimuigizia umarecan mwng mpk ukamnasa... Amini kwamba akija msela mwngne mweny ndinga kali swag na pesa za kuzugia lazima alambe asali sabb ndio udhahifu wa manzi wako!!!!!
Sahihi bro
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
kama anaweza kukupenda wewe ,elewa kabisa hata mtumwingine yeyote atapendwa
 
Demu wako wa sasa ni demu wa zamani wa mshikaji fulani...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom