Hivi shida ni nini? Kila mahusiano nikiingia nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza mpenzi wangu anakubali

Kwa namna moja upo sahihi chakufanya embu jaribu umuelekeze na hotel ulipo je atakuomba hela wewe wa nyumbani na akikuomba mpe alafu mwache aende akirudi mwambie humtaki tena bado nikupe mwingine kaka
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Kila mtu hupata anachokitaka
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Sasa kwanini umtongoze tena mchumba wako, unategemea nini? Toa pesa za kutosha za matumizi halafu mtongoze tena, utakuja kunishukuru
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Sasa wangekuwa wanakataa wewe ungewapataje? Kwani toka umeanza kutongoza kuna mwanamke aliwahi kukukataa? Unafikiri hawana wanaume wengine?
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
WE JAMAA SIPATI PICHA SIKU UKICHAPIWA ITAKUWAJE.....

PUNGUZA INSECURITY
 
😂😂😂😂😂😂 kikubwa mda usogee tuu mana kwa hii swaumu hapana jamani..
Eeeh kwahiyo kila namba yee anakubali tuu...
Sasa fanya serious ishu tuma namba kwa wajuba hapa ili tuone inakuaje kuaje hadi anakubali
 
Hutoi matunzo demu anayegharamiwa hacheat hata ukiwa na cash kiasi gani na hujui kupiga kitu ikaacha cheche unachafua tu k zawatu unawaacha na hamu zao. Kila kitu huwezi. Piga tu pungetoo
 
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Km hutaki kutwa stimu,acha huo mchezo! Af hata anayeenda kununua nguo dukani haendi mtupu!Uckute hao sio rizki Yako ndio maana wanapotea kwny stage ya mwanzo kbs kukuepushia makuu
 
😂😂😂😂😂😂 kikubwa mda usogee tuu mana kwa hii swaumu hapana jamani..
Eeeh kwahiyo kila namba yee anakubali tuu...
Sasa fanya serious ishu tuma namba kwa wajuba hapa ili tuone inakuaje kuaje hadi anakubal
Wote watano na nimejaribu mara tano kila dem mara moja cyo kama mmoja nimemtongoz mara hapan hujanielewa
 
Pig
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo

Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso

Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali

Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Piga chini wote tafuta pesa, rundika pesa ukizihesabu unapata raha zaidi ya kuwa na madem na zaidi ya kula madem
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom