Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,453
- 79,770
Una invest uje kuvuna nini?Yeah mambo ya ndoa
Una invest uje kuvuna nini?Yeah mambo ya ndoa
Kila mtu hupata anachokitakaHabari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Sasa kwanini umtongoze tena mchumba wako, unategemea nini? Toa pesa za kutosha za matumizi halafu mtongoze tena, utakuja kunishukuruHabari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Sasa wangekuwa wanakataa wewe ungewapataje? Kwani toka umeanza kutongoza kuna mwanamke aliwahi kukukataa? Unafikiri hawana wanaume wengine?Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
WE JAMAA SIPATI PICHA SIKU UKICHAPIWA ITAKUWAJE.....Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Wewe ndo wakutoa ushuhuda sasa maana kwa uliyopitia..Labda kama mleta mada ni wa huko kigoma ndani ndani
Wadada wa mjini hawana hizo pigo hainiingii akilini kabisa
Alafu kweli et...Sasa ubaya uko wapi
Si anakukubali wewe mwenyewe
Wa mjini ni uongoo wanalika tu tena sanaLabda kama mleta mada ni wa huko kigoma ndani ndani
Wadada wa mjini hawana hizo pigo hainiingii akilini kabisa
Km hutaki kutwa stimu,acha huo mchezo! Af hata anayeenda kununua nguo dukani haendi mtupu!Uckute hao sio rizki Yako ndio maana wanapotea kwny stage ya mwanzo kbs kukuepushia makuuHabari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Hutoi matunzo demu anayegharamiwa hacheat hata ukiwa na cash kiasi gani na hujui kupiga kitu ikaacha cheche unachafua tu k zawatu unawaacha na hamu zao. Kila kitu huwezi. Piga tu pungetoo
Naenda mkuu asanteKanywe Pepsi kwa Mangi ntalipa🤝😂
Wote watano na nimejaribu mara tano kila dem mara moja cyo kama mmoja nimemtongoz mara hapan hujanielewa😂😂😂😂😂😂 kikubwa mda usogee tuu mana kwa hii swaumu hapana jamani..
Eeeh kwahiyo kila namba yee anakubali tuu...
Sasa fanya serious ishu tuma namba kwa wajuba hapa ili tuone inakuaje kuaje hadi anakubal
Piga chini wote tafuta pesa, rundika pesa ukizihesabu unapata raha zaidi ya kuwa na madem na zaidi ya kula mademHabari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.