Mimi nataka fungua nafaka jumla ila nashangaa wenzangu kila kona wana mzanii ile mikubwa kama hii.
Sas nilikuwa nauliza ya digital haifai kwani kama hii kupimia magunia ya kilo mia.
Habrin wanajf,
Swali langu ni kama hivo lilivyo naomba tujuzane kwa mwenye uelewa.
ZINGATIENI NATAKA KUFUNGUA DUKA LA NAFAKA.
Kwa hizo location ipi itafit hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.