chomchomsy
Member
- Apr 21, 2015
- 39
- 74
Hahahaha
Me nataka Noah yanguAisee raha kama kugawana makinikia
Nishakupea pia(In pemba sound)
Mama nanii Nishakupea nami nasubiri unipe
Akuu kama unataka like njoo kapuku bana huku like zao hazifiki tano..Acha uchoyo,nipe like bana
Ushamjaza huyuHahaha jaza ujazwe
Yakhe mie roho yatepeta pale napoona kalike ka kina mwanaasha na mwajuma.Name nimekupea yakhe
Yakhe like ni like tu sio kama makenikia yao huko bara mpaka yafanye kuchunguzwa. Sie twatoa tu like kama tende!Yakhe mie roho yatepeta pale napoona kalike ka kina mwanaasha na mwajuma.
Nyie kina Abdul kichwa wazi mwanitia chefu yakhee