Ongezeko la wanywaji wa Mo Extra (energy drink) limesababishwa na nini?

Maelezo mazuri But meharibu tu kumuita Mo "Muhindi"
Hiyo ni racism.
Huyo jamaa Si muhindi au ,??? Usilete censorship jf ,Wacha mwamba atoe point yake atakavo , you either affirm or avver ,political correctness hamna hapa ,kila mtu awe huru,mie ni mwafrika hasa mweusi ,kuniita black itakuwa crime vp ???yule ni mhindi at the end of the day
 
Ukweli upi?Wewe kinachokusumbua nini?Wewe sio mwanachama wala mpenzi wa Simba.Kinachokuuma ni nini haswa?Kuna pesa yako inatumika?Wanachama na wapenzi wanamkubali wewe kiherehere cha nini kama sio chuki?
Vijana wa Mwamedi mna hasira sana, pale anapoguswa bosi wenu! Yaani hamtaki kabisa watu kujadili ishu yoyote ile inayomgusa.
 
Vijana wa Mwamedi mna hasira sana, pale anapoguswa bosi wenu! Yaani hamtaki kabisa watu kujadili ishu yoyote ile inayomgusa.
Si umjadili anayekusaidia wewe.We kazi kuhangaika na mtu ambaye hata hakujui.Petty minds discuss people. Hiyo nguvu unayotumia ku discuss Mo ungetumia kutafuta pesa usingekuwa bado maskini.Au alikunyima kazi ?This is too personal.
 
Kama unashinda ofcin kwenye viyoyozi ,unatoka ofcin unapanda gari mpaka nyumbani ,...

Hujawahi kutembea Kwa mguu ..

Mazoezi hufanyi ...

Kazi ngumu hufanyi,kulima ,kupalilia ,kutengeneza bustani ...

Mpira huchezi ...


HUWEZI JUA UMUHIMU WA MO ENERGY HIVYO BASI TULIA .......

Sisi tunaopiga kazi ngumu daily ,tunapoteza maji mengi , energy kubwa inapotea ,kiasi kwamba mwili unahitaji sukari ,maji ,na chakula Kwa wingi ukipiga mo extra unajihisi safii kabisa

Nyie wazee mnaokula Kwa kasain makaratasi ofcin ,endeleni kunywa juici za maembe na chip's mayai,soseji maana hata uwezo wa kula ugali Dona hamuwezi , mwili hauna huo uwezo ...
 
Uo uchafu sijawahi kunywa na siji kuunywa kamwe, watu wenye kiharusi watakuwa wengi miaka ijayo na vifo vya gafla
 
Kama unashinda ofcin kwenye viyoyozi ,unatoka ofcin unapanda gari mpaka nyumbani ,...

Hujawahi kutembea Kwa mguu ..

Mazoezi hufanyi ...

Kazi ngumu hufanyi,kulima ,kupalilia ,kutengeneza bustani ...

Mpira huchezi ...


HUWEZI JUA UMUHIMU WA MO ENERGY HIVYO BASI TULIA .......

Sisi tunaopiga kazi ngumu daily ,tunapoteza maji mengi , energy kubwa inapotea ,kiasi kwamba mwili unahitaji sukari ,maji ,na chakula Kwa wingi ukipiga mo extra unajihisi safii kabisa

Nyie wazee mnaokula Kwa kasain makaratasi ofcin ,endeleni kunywa juici za maembe na chip's mayai,soseji maana hata uwezo wa kula ugali Dona hamuwezi , mwili hauna huo uwezo ...

Mtu anaitisha chipsi mishikaki anabugia,akimaliza anakaa tena anaendelea na kazi,jioni akitoka anapitia bar anashtua bia kadhaa,anajiona salama na kumkandia anayekubywa energy huku anabeba mbao na kusukuma matoroli.

Watu mili iko active kama majiko ya nyama,hakuna kinachobaki kwa sababu ya kazi ngumu.
 
Hao wa huko kwenu mnawaita "washihiri" au wana majina yao?.Kwa nini utumie asili yake kama jina huku unajua jina lake?
Kwani kumuita mtu kwa asili yake ni makosa?

Wewe ukiitwa muafrika unakasirika ?
 
Kifupi sijawahi kutumia energy drink ya namna yoyote,na hata sijui ladha yake,ila kuna kijiji kimoja nilipita nikashangaa,kuna mtaro chupa zilizotupwa na wapita njia 80% ni enegy drinks za MO...
 
Kuna mahali nje ya mji wanazinywa mby, mtaa mzima umechafuka makopo ya energy na mo exra wateja ni vijana
Wakifanya kazi kidogo hao dukani
Energy 💪
IMG_20230210_194640.jpg
 
Habari zenu wakuu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanini hiki kinywaji ukinywa kinaleta hali fulanj ya kutamani kuendelea kunywa mara kwa mara (addicted)

MO Dewji anasema bidhaa inayofanya vizuri Sokoni kwasasa ni MO EXTRA (energy drink) anauza JUMLA YA CHUPA BILION kwa mwaka wastani wa chupa milion 3 Kwa siku. Malengo yake ni kuuza CHUPA BILION 3.5 kwanzia mwaka 2024. Kwahyo Kwawasitani anapata 1 bilion Kwa siku includes production cost & Marketing cost.

Swali langu, je hiki kinywaji hakina madhara yoyote nje na kuwa na ununuaji mwingi kwa Watanzania?
Watu wanajiendekeza na wanaita sana upumbavu.
 
Back
Top Bottom