Ongezeko la wanywaji wa Mo Extra (energy drink) limesababishwa na nini?

Kinywaji kizuri kwanza ladha ya sukari ni ndogo ukilinganisha na azam energy.
Kina uchachu fulani na hakina tatizo ukilinganisha na azam energy ukinywa hiyo presha mpaka kichwa.

Jamaa wa mo mkemia wake ni mzuri na sijaona tatizo nikinywa ukilinganisha na energy nyingine.

Uzuri sio hatari kwa afya kama unakunywa kistaarabu
 
Kunyweni kunyweni Simba yetu isonge mbele
Mhindi wenu janja janja ataendelea kuwapiga mpaka mnyooke kama rula. Hamuendi kokote nyinyi mbumbumbu.

Na mkumbuke pia kuacha kunywa mara moja hizo takataka zake. Maana mtakufa kabla ya wakati wenu. Huwezi mtu kuwa na akili zako timamu, halafu ukanywa energy drink. Ni wendawazimu pekee ndiyo wanaokunywa hizo takataka.
 
Ni kweli anauza 3 million bottles kwa siku ?

TRA inabidi wamfanyie assesment, maana moja kwa moja inaashiria anafanya TBL numbers, ila cha ajabu haongozi kwa kulipa kodi .

Vilevile energy drinks zote zina caffeine, hii caffeine ndio inaleta addiction kama kwa wale watumiaji wa kahawa.

Vijana tujitahidi tunywe maji ya kutosha,huyu mhindi unakuta yeye hanywi energy anazoziuza.
Vijana tujitahidi tunywe maji ya kutosha,huyu mhindi unakuta yeye hanywi energy anazoziuza.
Pigia mstari. Unadhan anakunywa mavitu hayo.tunapoelekea ni kubaya siku hizi unakuta nimeshuhudia kwa macho yangu vibint viwili vina mo extra na mihogo ya kukaanga.kweli? Asubuhi asubuh nikajisemaa hiiii. Elimu ya utambuzi ndio shida.watoto vijana na watu leo sio wenye kusoma mambo
Sisi kaz yetu kujua mwijakuw leo kafanya nin bas
 
Habari zenu wakuu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanin...
Umaarufu wake umeongezwa na utumiaji wa kinywaji hicho kama mixer ya pombe kali kama double kick, smart gin, k Vant, gongo etc. Mtu anapiga hiyo mchana kweupe haumshtukii kabisa, wateja wakubwa boda2, daladala operators, mafundi, mateja.
 
Mhindi wenu janja janja ataendelea kuwapiga mpaka mnyooke kama rula. Hamuendi kokote nyinyi mbumbumbu.

Na mkumbuke pia kuacha kunywa mara moja hizo takataka zake. Maana mtakufa kabla ya wakati wenu. Huwezi mtu kuwa na akili zako timamu, halafu ukanywa energy drink. Ni wendawazimu pekee ndiyo wanaokunywa hizo takataka.
Mbona povu kama umekamata ugoni? Kisa umeona jina Simba umechefukwa..nani anakunywa sasa hapo unaemwambia?? Mm sijawahi na sitakuja kunywa hayo madudu..wanaokunywa wacha wanywe kwa their own risks..mimi nimeongea kwa kuwabeza tuu wanaotumia...sasa naona unanipovukia kama mm ndo nimekosa nguvu za kiume ebooo....
Kweli umekosa hata akili moja ya kutambua naongea nini hapo...
Halafu kila kitu kina risk zake unajiona mjanja kuwatukana wanywa energy wakati ww kwa siku unamaliza soda 3...
Kila kitu kinahitaji moderation..wangekua wanakunywa atleast moja kwa siku mtu anapiga hata 4....that's nonsense...
Sijui zinanogaje aisee akili imegoma hata kutaste kun vinywaji vinauzwaga mpk leo sijui ladha zake...
 
Ni kweli anauza 3 million bottles kwa siku ?

TRA inabidi wamfanyie assesment, maana moja kwa moja inaashiria anafanya TBL numbers, ila cha ajabu haongozi kwa kulipa kodi .

Vilevile energy drinks zote zina caffeine, hii caffeine ndio inaleta addiction kama kwa wale watumiaji wa kahawa.

Vijana tujitahidi tunywe maji ya kutosha,huyu mhindi unakuta yeye hanywi energy anazoziuza.
Maelezo mazuri But meharibu tu kumuita Mo "Muhindi"
Hiyo ni racism.
 
Mbona povu kama umekamata ugoni? Kisa umeona jina Simba umechefukwa..nani anakunywa sasa hapo unaemwambia?? Mm sijawahi na sitakuja kunywa hayo madudu..wanaokunywa wacha wanywe kwa their own risks..mimi nimeongea kwa kuwabeza tuu wanaotumia...sasa naona unanipovukia kama mm ndo nimekosa nguvu za kiume ebooo....
Kweli umekosa hata akili moja ya kutambua naongea nini hapo...
Halafu kila kitu kina risk zake unajiona mjanja kuwatukana wanywa energy wakati ww kwa siku unamaliza soda 3...
Kila kitu kinahitaji moderation..wangekua wanakunywa atleast moja kwa siku mtu anapiga hata 4....that's nonsense...
Sijui zinanogaje aisee akili imegoma hata kutaste kun vinywaji vinauzwaga mpk leo sijui ladha zake...
Na wewe umepaniki, na wakati nakuzingua tu. Nothing serious at all.
 
Habari zenu wakuu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanini hiki kinywaji ukinywa kinaleta hali fulanj ya kutamani kuendelea kunywa mara kwa mara (addicted)

MO Dewji anasema bidhaa inayofanya vizuri Sokoni kwasasa ni MO EXTRA (energy drink) anauza JUMLA YA CHUPA BILION kwa mwaka wastani wa chupa milion 3 Kwa siku. Malengo yake ni kuuza CHUPA BILION 3.5 kwanzia mwaka 2024. Kwahyo Kwawasitani anapata 1 bilion Kwa siku includes production cost & Marketing cost.

Swali langu, je hiki kinywaji hakina madhara yoyote nje na kuwa na ununuaji mwingi kwa Watanzania?
madhara yapo
 
Habari zenu wakuu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanini hiki kinywaji ukinywa kinaleta hali fulanj ya kutamani kuendelea kunywa mara kwa mara (addicted)

MO Dewji anasema bidhaa inayofanya vizuri Sokoni kwasasa ni MO EXTRA (energy drink) anauza JUMLA YA CHUPA BILION kwa mwaka wastani wa chupa milion 3 Kwa siku. Malengo yake ni kuuza CHUPA BILION 3.5 kwanzia mwaka 2024. Kwahyo Kwawasitani anapata 1 bilion Kwa siku includes production cost & Marketing cost.

Swali langu, je hiki kinywaji hakina madhara yoyote nje na kuwa na ununuaji mwingi kwa Watanzania?
Vijana wengi wa siku hizi mnaendekeza urojorojo mno, embu acheni kujilainisha kama mlenda. Mtu akisikia uchovu kidogo anakimbilia energy drink! Huu utamadumi mbovu kabisa. Wakati wetu mtu ukisikia uchovu unakwenda uwanjani kucheza mpira unatoka hapo unaoga, unakula ugali, unakwenda prepo au kwingineko. Vijana wa siku hizi acheni mdebwedo.
 
Habari zenu wakuu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanini hiki kinywaji ukinywa kinaleta hali fulanj ya kutamani kuendelea kunywa mara kwa mara (addicted)

MO Dewji anasema bidhaa inayofanya vizuri Sokoni kwasasa ni MO EXTRA (energy drink) anauza JUMLA YA CHUPA BILION kwa mwaka wastani wa chupa milion 3 Kwa siku. Malengo yake ni kuuza CHUPA BILION 3.5 kwanzia mwaka 2024. Kwahyo Kwawasitani anapata 1 bilion Kwa siku includes production cost & Marketing cost.

Swali langu, je hiki kinywaji hakina madhara yoyote nje na kuwa na ununuaji mwingi kwa Watanzania?
achana na vinywaji vya energy blah blah bla...si mo enenrgy tu, hata za kutoka nje kama redbull ni majanga matupu. ukisoma ile chemical composition tu inakuashiria hatari!
 
Naona mitaani zinanywewa kama maji tu, nafikiri hizo zinafaa kunywewa mara chache na watu ambao wanakuwa wametingwa na kazi nyingi za kuchosha mwili na akili.
 
Back
Top Bottom