HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,516
- 94,969
Siku hizi viwanda vyote vimefungwa mashine kila chupa hurekodiwa, TRA wanapata chao mapema kabla.Ni kweli anauza 3 million bottles kwa siku ?
TRA inabidi wamfanyie assesment, maana moja kwa moja inaashiria anafanya TBL numbers, ila cha ajabu haongozi kwa kulipa kodi .
Vilevile energy drinks zote zina caffeine, hii caffeine ndio inaleta addiction kama kwa wale watumiaji wa kahawa.
Vijana tujitahidi tunywe maji ya kutosha,huyu mhindi unakuta yeye hanywi energy anazoziuza.
Afu hawezi danganya sababu atajiumiza kwenye kodi