Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,255
- 34,421
Inashangaza sana, Makoloni kuna matatizo lukukiYamekuwa hayo tena jamani? Mara hii mmesahau Ubuntu Botho?
Inashangaza sana, Makoloni kuna matatizo lukukiYamekuwa hayo tena jamani? Mara hii mmesahau Ubuntu Botho?
Mkuu hata mimi nafahamu kwamba Mamelodi Sundowns ni timu bora, ila kwa sasa hasa msimu huu tukubali tu kwamba imeshuka kiwango, ndio maana nikasema ni either wachezaji wameanza kuchoka au kocha kuna mahali anakosea
Mkuu nisome tena sijaidharau ligi ya ndani, ila kumbuka kuwa yanga wanajiona ni bora na kikosi chao kimekamilika, lakini kwenye ligi ya mabingwa wameishia robo fainali sawa na simba tu ambao ni wabovu kwa sasaHakuna timu kubwa ambayo haija dominate ndani tuache kujazana ujinga na hilo ndio tatizo la mashabiki wenzangu wa simba na viongozi wanapitia humo humo kwenye huu ujinga angalia timu zote zilizo kua robo final CAF CL hakuna timu ambayo haifanyi vizuri kwenye ligi ya ndani sasa hivi unaidharau local league utaona umhimu wake tukikosa nafasi ya pili
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mkuu hapo kwenye style wanayotumia Mamelodi kucheza nakuunga mkono kwa asilimia mia hiyo style yao ya kucheza possession football ili timu pinzani ifunguke huwa inawasaidia kwa timu dhaifu ila wakikutana na timu kubwa huwa inawacost, lakini hapo uliposema wachezaji weusi wa kiafrika ndio wanafaa kwenye mpira kuliko wachezaji weupe wa mabara mengine kwa sababu ya nguvu za asili sidhani kama uko sahihi, kwa sababu mpira wa sasa unahitaji akili zaidi kuliko nguvu maana ingekuwa unahitaji zaidi nguvu basi timu za afrika ndio zingekuwa zinaongoza kwa ubora duniani lakini wote tunajua hali halisi tena kama hiyo Brazil uliyoisema ndio inajulikana kwa kuwa moja ya nchi zenye vipaji vikubwa vya sokaNilikuwa natazama African soccer show kwenye supersports pundits ambao ni wachezaji wengi wa zamani kina mark fish wanasema mamelodi sundowns inakosea kwa kutaka kucheza possession football kwenye knock out stage za caf champions league.
Wakatoa mfano timu kama esperence ni timu yenye uzoefu mkubwa. In last 5 season imebeba ubingwa wa champions league mara mbili. Huku mamelodi hata fainali haijawai kufika in last 5 season. Hivyo ilikuwa ni idea mbaya kwa mamelodi kucheza na esperence kwa same style kama wanayocheza na weak teams. Kosa moja tu esperence anafunga goli sababu ya uzoefu wao wa kucheza mtoano kila msimu.
Pia wakalaumu usajili wa wachezaji wa mamelodi wanaotoka latin america.
Wale wachezaji ni walaini sana kucheza mpira wa ligi ya mabingwa africa. Wakatoa mfano hata waarabu wamelijua hilo ndio maana wanasajili watu weusi kutoka west africa ndio wanawaweka kwenye midfield. Mfano esperence mid field yao bwana mdogo wa miaka 20 wamemtoa nigeria. Ana nguvu kweli kweli kiasi cha kumfanya m chile wa mamelodi asifanye chochote mechi zote 2.
Wameshauri mamelodi iachane na kutumia non african player kwenye mechi za mtoano za caf bali isajili watu weusi kama wakina aziz kii. Ambao wana nguvu ya asili ya mtu mweusi
Si ndio hapo mkuu yani ndio maana nikasema mashabiki wengi wa yanga wana vigezo vyao wanavyovijua wenyewe vya timu kuitwa bora au mbovu, yani wao wanataka timu ili iwe bora basi isifungwe kabisa sasa jiulize ni timu gani duniani haijawahi kufungwa kama hadi real madrid wenyewe wanaweza kufungwa tena magoli mengi tu na bado hawaitwi timu mbovu, je hawa huku kwetu ni kina nani hadi wasifungwe tatizo watu hawajui kutofautisha kati ya timu mbovu na kushuka kiwango au wanajua ila wanajitoa ufahamu tuHivi wewe akili za wabongo kwa ujuaji umezisahau?.Hapo wamekariri tu wanataka hao mamelodi ili wakibali ni timu bora basi wasiwe wanafungwa kabisa.Yaan ili mradi tu tuwe wajuaji hakuna la maana.Mtu anashindwa kuelewa hakunaga timu ambayo haishuki kiwango,na sababu ni nyingi.Kazi tunayo.
Kama kibu kukimbia na mpira bila impactsAcha kufananisha Bayern na vitu vya ajabu. Bayern ana ndoo kibao za UEFA, huyu mpuuzi ameingia fainali mara moja tu. Anachoweza yeye ni kupasiana tu muda wote.
Huu ugoro tukaupeleke wapi ulioandika?Oohh kwahiyo mara hii ninyi mmeshakuwa wabovu siyo bora tena
Ndio sasa kwani hayo yote ni uongo si ni ukweli yani hiyo mbinu mliyoitumia ya kupaki basi timu yoyote hata ihefu wangeitumia wasingefungwa, mshukuru hata watu walivyokuwa wanawahype hao mamelodi iliwasaidia kucheza kiuogauoga, vinginevyo mngerelax mngefunguka mngekula nyingi
Hao Esperance wana wabrazil wawili, Marcelo Allende ni mtu kazi haswa cheki mechi alizocheza na Al Alhy alivyowasumbua viungo wakina Niang. Lucas Ribeiro ni top scores ligi kuu ya Africa kusini.Nilikuwa natazama African soccer show kwenye supersports pundits ambao ni wachezaji wengi wa zamani kina mark fish wanasema mamelodi sundowns inakosea kwa kutaka kucheza possession football kwenye knock out stage za caf champions league.
Wakatoa mfano timu kama esperence ni timu yenye uzoefu mkubwa. In last 5 season imebeba ubingwa wa champions league mara mbili. Huku mamelodi hata fainali haijawai kufika in last 5 season. Hivyo ilikuwa ni idea mbaya kwa mamelodi kucheza na esperence kwa same style kama wanayocheza na weak teams. Kosa moja tu esperence anafunga goli sababu ya uzoefu wao wa kucheza mtoano kila msimu.
Pia wakalaumu usajili wa wachezaji wa mamelodi wanaotoka latin america.
Wale wachezaji ni walaini sana kucheza mpira wa ligi ya mabingwa africa. Wakatoa mfano hata waarabu wamelijua hilo ndio maana wanasajili watu weusi kutoka west africa ndio wanawaweka kwenye midfield. Mfano esperence mid field yao bwana mdogo wa miaka 20 wamemtoa nigeria. Ana nguvu kweli kweli kiasi cha kumfanya m chile wa mamelodi asifanye chochote mechi zote 2.
Wameshauri mamelodi iachane na kutumia non african player kwenye mechi za mtoano za caf bali isajili watu weusi kama wakina aziz kii. Ambao wana nguvu ya asili ya mtu mweusi
Hao Esperance wana wabrazil wawili, Marcelo Allende ni mtu kazi haswa cheki mechi alizocheza na Al Alhy alivyowasumbua viungo wakina Niang. Lucas Ribeiro ni top scores ligi kuu ya Africa kusini.
Temba Zwane "Mshishi" Tabia yake ya kutaka kupiga chenga kila sehemu ndio inafanya mipira mingi ipotee miguu kwake hata sehemu za maamuzi yeye anapiga chenga, Shalulile ushambuliaji wake wa kuvizia mabeki wakimkamata anakosa hata ontarget. Mamelod ana kikosi kizuri ni mwalimu kutumia wachezaji na mbinu zake
Ndio sasa kwani hamkupaki basiHuu ugoro tukaupeleke wapi ulioandika?
M909Wakome bora watoke tu..
Ubuntu botho wapuuzi sana hawawezi hata kupiga shot on goal
Malengo ya Simba na Yanga yalika sawa? wao lengo lao ilikua makundi sisi nusu fainali domestically bado wapo kwenye race sisi hatumo unaweza kujilingalisha nao?Mkuu nisome tena sijaidharau ligi ya ndani, ila kumbuka kuwa yanga wanajiona ni bora na kikosi chao kimekamilika, lakini kwenye ligi ya mabingwa wameishia robo fainali sawa na simba tu ambao ni wabovu kwa sasa
Hayo yalikuwa ni malengo ya awali sababu walikuwa bado hawajajiamini na sababu ya historia, yani huwezi kumuambia shabiki eti safari hii tunaenda hadi fainali wakati una miaka zaidi ya 20 hujaingia hata makundi kwahiyo wakaweka kwanza malengo ya kufika makundi, ila walipoingia tu robo fainali bila shaka ulisikia kauli zao mara oo "yanga ni kikosi bora huyo mamelodi atapigwa nje ndani", mara oo "tutafika hadi fainali na hili kombe tutachukua", na kauli kama hizoMalengo ya Simba na Yanga yalika sawa? wao lengo lao ilikua makundi sisi nusu fainali domestically bado wapo kwenye race sisi hatumo unaweza kujilingalisha nao?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Acha uongo mamelodi haijaanzishwa mwaka 1996. Mamelodi ipo tangu mwaka 1960s huko.
Weka ushahidi ku prove kama mamelodi ni timu ya mwaka 1996
Mdomo ukiongozwa na rais wa yanga aliyewatabiria kucheza fainaliHawajamaa sio wazuri kama watu wanavyodhani, ila basi tu mdomo mwingi
Nadhani ninyi ndio mlioleta sifa za uongo mitandaoni.Watu wanaangalia performance yao ya hivi karibuni msifikiri wanaropoka tu, msimu uliopita tu hapo walimpiga Al Ahly goli 5 na msimu huu wamechukua kombe la AFL, huku wakimtoa Al Ahly kwenye semi finals
Bado hatujaongelea AFCON iliyoisha mwaka huu, timu ya SA ilivyoperform vizuri hasa ilipoitoa Morocco tena huku ikiondoka na clean sheet, na zaidi ya nusu ya first eleven ya SA walikuwa ni Mamelodi Sundowns
Sema basi tu kwa vile walikutana na Nigeria ambayo wachezaji karibu wote wanachezea vilabu vikubwa Ulaya, ndio wakatolewa wakaishia kuwania na kushinda nafasi ya tatu, kwahiyo siyo kwamba ni timu ndogo inawezekana labda imeanza tu kushuka viwango au kocha kuna mahali anakosea
Hapa anazungumziwa mamelodi sio Yanga SC sawa MkuuMdomo ukiongozwa na rais wa yanga aliyewatabiria kucheza fainali
Ni kweli mkuu nimedanganya sio 1996, ila nawe pia umedanganya sio 1960’s ni 1970.
Al Ahly hafungwi na Mamelodi kwasababu ya mbinu za nje ya uwanja bali kwasababu ya kuzidiwa mbinu na uwezo uwanjani. Laiti kama ingekuwa ni swala la mbinu za nje ya uwanja basi Mamelodi wangekuwa wanafungwa na Al Ahly wakienda Misri. Lakini cha ajabu mara ya mwisho Mamelodi kufungwa na Al Ahly pale Misri ni mwaka 2021 ambako Al Ahly alishinda goli 2:0 hatua ya robo fainali klabu bingwa mkondo wa kwanza.Nadhani ninyi ndio mlioleta sifa za uongo mitandaoni.
Al Ahly kufungwa goli 6 kwa mbinu za nje ya uwanja siyo ajabu.
Hizi zikikuwa figisu tu kama za yanga kwa Simba.Uchawi jumlisha kuchezesha timu kwenye uwanja wenye mazingira magumu haiwezi kuipa sifa mlizokuwa mnatoa