Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,305
- 2,876
Super Cup ipi unaongelea wewe hujui mpira wa Afrika kaa utulieSuper cup wamechukuwa timu gani? Tanzania imejaa mashabiki uchwara na wachambuzi mavi.
Bingwa wa Super cup ni USM Alger ya Algeria walimfunga Al Ahly ya Misri.
Huyo Mamelod wako ana uhusiano gani na Super cup na yeye sio bingwa wa Africa wala shirikisho?