Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

Basi waambie mashabiki wenzio wa yanga waache kujiita wakubwa, sisi simba tunajijua kwamba ni wa kawaida sana wala hatuna ukubwa wowote, ila ninyi kutinga tu hatua ya makundi mkaanza kujiona wakubwa sana
Yani leo Simba imekua ya kawaida?! Rejea kauli zenu kipindi Yanga anacheza shirikisho. Kumbe kuna muda akili huwa zinarudi.
 
Yani leo Simba imekua ya kawaida?! Rejea kauli zenu kipindi Yanga anacheza shirikisho. Kumbe kuna muda akili huwa zinarudi.
Mkuu simba na yanga kimataifa ni timu za kawaida ila ukizilinganisha zenyewe simba ni bora kuliko yanga, bora sisi tunaojijua kabisa kwamba tumeshuka kiwango kwa sababu kwa sasa hatuna washambuliaji na mabeki, kuliko ninyi mnaojiona timu bora na mmekamilika kisa mmechukua ubingwa misimu mitatu mfululizo huku klabu bingwa mkiishia robo kama sisi tu mnaotuita wabovu..simba huwa tunajipima kimataifa ila ninyi mkishazifunga timu kadhaa za hapa nyumbani goli tano tayari mshajiona mna kikosi cha kufika mbali klabu bingwa
 
De Tunis wametufundisha kitu

Unapopata nafasi weka chuma
Sisi kina mzize walikuwa wanaruka ruka tu yaani wale tangu kwa mkapa ilikuwa wafe
Sisi Wala Mamelody tusiwalaumu aliyetuua ni Mzize we kwenye mechi zote mbili kapata nafasi si chini ya nne na team tulipata nafasi 6 clear na bado tukakosa hakuna utulivu ni kuruka ruka halafu tuwalaumu wao yes ni kidogo sana shida ilikuwa kwetu
 
Mkuu simba na yanga kimataifa ni timu za kawaida ila ukizilinganisha zenyewe simba ni bora kuliko yanga, bora sisi tunaojijua kabisa kwamba tumeshuka kiwango kwa sababu kwa sasa hatuna washambuliaji na mabeki, kuliko ninyi mnaojiona timu bora na mmekamilika kisa mmechukua ubingwa misimu mitatu mfululizo huku klabu bingwa mkiishia robo kama sisi tu mnaoutuita wabovu..simba huwa tunajipima kimataifa ila ninyi mkishazifunga timu kadhaa za hapa nyumbani goli tano tayari mshajiona mna kikosi cha kufika mbali klabu bingwa
Tumechukua miwili wa 3 ndio tunafukuzia
 
Watu wanaangalia performance yao ya hivi karibuni msifikiri wanaropoka tu, msimu uliopita tu hapo walimpiga Al Ahly goli 5 na msimu huu wamechukua kombe la AFL, huku wakimtoa Al Ahly kwenye semi finals

Bado hatujaongelea AFCON iliyoisha mwaka huu, timu ya SA ilivyoperform vizuri hasa ilipoitoa Morocco tena huku ikiondoka na clean sheet, na zaidi ya nusu ya first eleven ya SA walikuwa ni Mamelodi Sundowns

Sema basi tu kwa vile walikutana na Nigeria ambayo wachezaji karibu wote wanachezea vilabu vikubwa Ulaya, ndio wakatolewa wakaishia kuwania na kushinda nafasi ya tatu, kwahiyo siyo kwamba ni timu ndogo inawezekana labda imeanza tu kushuka viwango au kocha kuna mahali anakosea
Kocha Kuna mahali anakosea au wachezaji wamechoka maana kule kwao vikombe vyote wamechukua kabla hata msimu kuisha wamechukua AFL wamefika nusu final Caf na kuwa 3 pia wamefika nusu final hapa Cafcl japo walibebwa lakini hili ni kosa la refa sio wao
Binafsi nadhani wamechoka au kocha sio mzuri maana team ya taifa walimpelekea moto Algeria pale kwao akawa anafanya kazi ya kuchomoa goli
 
Wadau Mwenye uelewa anifahamishe jinsi ambavyo goli la TP Mazembe lilivyokataliwa.Bado sijaelewa Wadau.

VAR wanadai kabla ya goli, yule mfungaji aliporuka kupiga mpira kwa kichwa, ni kwamba mpira uligusa mkono...
 
1. Misimu wa mwaka 2024 mamelodi katolewa nusu fainali na esperence

2. Msimu wa mwaka 2023 mamelodi alitolewa nusu fainali na Waydad

3.Msimu wa mwaka 2022 mamelodi alitolewa robo fainali na Petro Atletico.

Kwa ujumla Katika miaka 10 iliyopita.

Mamelodi kafika nusu fainali mara 3.

Kafika fainali mara 1.

Na kombe amebeba mara 1 mwaka 2016.

Hiyo ndio CV ya mamelodi inatangazwa ni timu kubwa sana ya kutisha
Ila mwaka jana Mamelodi walionewa, ilikua wanaenda Final kabisaa.
 
Mkuu simba na yanga kimataifa ni timu za kawaida ila ukizilinganisha zenyewe simba ni bora kuliko yanga, bora sisi tunaojijua kabisa kwamba tumeshuka kiwango kwa sababu kwa sasa hatuna washambuliaji na mabeki, kuliko ninyi mnaojiona timu bora na mmekamilika kisa mmechukua ubingwa misimu mitatu mfululizo huku klabu bingwa mkiishia robo kama sisi tu mnaoutuita wabovu..simba huwa tunajipima kimataifa ila ninyi mkishazifunga timu kadhaa za hapa nyumbani goli tano tayari mshajiona mna kikosi cha kufika mbali klabu bingwa
Hakuna timu kubwa ambayo haija dominate ndani tuache kujazana ujinga na hilo ndio tatizo la mashabiki wenzangu wa simba na viongozi wanapitia humo humo kwenye huu ujinga angalia timu zote zilizo kua robo final CAF CL hakuna timu ambayo haifanyi vizuri kwenye ligi ya ndani sasa hivi unaidharau local league utaona umhimu wake tukikosa nafasi ya pili

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Watu wanaangalia performance yao ya hivi karibuni msifikiri wanaropoka tu, msimu uliopita tu hapo walimpiga Al Ahly goli 5 na msimu huu wamechukua kombe la AFL, huku wakimtoa Al Ahly kwenye semi finals

Bado hatujaongelea AFCON iliyoisha mwaka huu, timu ya SA ilivyoperform vizuri hasa ilipoitoa Morocco tena huku ikiondoka na clean sheet, na zaidi ya nusu ya first eleven ya SA walikuwa ni Mamelodi Sundowns

Sema basi tu kwa vile walikutana na Nigeria ambayo wachezaji karibu wote wanachezea vilabu vikubwa Ulaya, ndio wakatolewa wakaishia kuwania na kushinda nafasi ya tatu, kwahiyo siyo kwamba ni timu ndogo inawezekana labda imeanza tu kushuka viwango au kocha kuna mahali anakosea
Hivi wewe akili za wabongo kwa ujuaji umezisahau?.Hapo wamekariri tu wanataka hao mamelodi ili wakibali ni timu bora basi wasiwe wanafungwa kabisa.Yaan ili mradi tu tuwe wajuaji hakuna la maana.Mtu anashindwa kuelewa hakunaga timu ambayo haishuki kiwango,na sababu ni nyingi.Kazi tunayo.
 
Hivi wewe akili za wabongo kwa ujuaji umezisahau?.Hapo wamekariri tu wanataka hao mamelodi ili wakibali ni timu bora basi wasiwe wanafungwa kabisa.Yaan ili mradi tu tuwe wajuaji hakuna la maana.Mtu anashindwa kuelewa hakunaga timu ambayo haishuki kiwango,na sababu ni nyingi.Kazi tunayo.

Watu wanasema Mamelodi sio timu ya kutisha sababu mamelodi kila msimu hafiki fainali huku wenzake huwa wanafika kila msimu.

Tazama Katika last 5 season. AL ahly kafika fainali misimu yote mitano. Huku mamelodi hajafika hata mara moja

Msimu wa mwaka 2024 - Al ahly ametinga fainali anacheza na esperence.

Msimu wa mwaka 2023 - Al ahly amefika fainali amecheza na waydad na ubingwa akaubeba al ahly

Msimu wa mwaka 2022 - Al ahly kafika fainali akacheza na waydad. Al ahly akawa mshindi wa pili

Msimu wa mwaka 2021 - Al ahly kafika fainali na akabeba ubingwa

Msimu wa mwaka 2020 - Al ahly amefika fainali na akatwaa ubingwa .

Tazama misimu mitano mfululizo Al ahly anafika fainali..

Kwa kigezo cha kushuka mbona Al ahly yeye hashuki
 
Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.

Imepigwa ndani nje

Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10

Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana

Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Kuna nyakati walikuwa on form, msimu wa 2022,2023, walikuwa fire sana. Sasa hiv na wao wanachechemea kama simba fc tu
 
Kocha Kuna mahali anakosea au wachezaji wamechoka maana kule kwao vikombe vyote wamechukua kabla hata msimu kuisha wamechukua AFL wamefika nusu final Caf na kuwa 3 pia wamefika nusu final hapa Cafcl japo walibebwa lakini hili ni kosa la refa sio wao
Binafsi nadhani wamechoka au kocha sio mzuri maana team ya taifa walimpelekea moto Algeria pale kwao akawa anafanya kazi ya kuchomoa goli
Mkuu hata mimi nafahamu kwamba Mamelodi Sundowns ni timu bora, ila kwa sasa hasa msimu huu tukubali tu kwamba imeshuka kiwango, ndio maana nikasema ni either wachezaji wameanza kuchoka au kocha kuna mahali anakosea
 
Mkuu hata mimi nafahamu kwamba Mamelodi Sundowns ni timu bora, ila kwa sasa hasa msimu huu tukubali tu kwamba imeshuka kiwango, ndio maana nikasema ni either wachezaji wameanza kuchoka au kocha kuna mahali anakosea
Mi naamini kocha sio mzuri na ana mbinu za kawaida sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom