Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 15,602
- 38,035
Kwani Manyanza ukisema ww ndio saidia fundi mwenyewe nani atakupiga?? 🤣🤣🤣Watu huwa tuna kunywa eneji na kulia Chapati kabisa, Mimi kila asubuhi lazima ninywe eneji Kwanza. Kuna vijana saidia fundi kwenye site za ujenzi huwa wanakula eneji na ugali kabisaa 😂😂😂