snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,216
- 1,658
Ni jambo la kushangaza kidogo, kwasabu ni jambo ambalo halipo kisheria, hata katika makubaliano wakati unasajili laini laini za Tigo.
Hii Leo nimepokea ujumbe unaonilazimisha kuweka Salio ndani ya siku tatu, ikiwa Leo ni tarehe 2 mwisho tarehe 5.
Na naambiwa laini yangu itafungiwa kupiga simu kwasabu sijaweka Salio muda mrefu, na kawaida Huwa naweka kupitia tigopesa na hata ninavyopokea ujumbe wao namba yangu Ina Salio. Na kawaida muda mwingi namba inakuwa hewani Sasa wanasema watanifungia, na hakuna lolote zaidi ya ubabe wakijinga kwenye soko,
Huwezi kumfungia mtu namba kama account ya benki, kwanini mteja alazimishwe kuweka Salio hata kama ni kweli haweki, Tigo umekuwa mtandao wa hovyo sana.
Hii Leo nimepokea ujumbe unaonilazimisha kuweka Salio ndani ya siku tatu, ikiwa Leo ni tarehe 2 mwisho tarehe 5.
Na naambiwa laini yangu itafungiwa kupiga simu kwasabu sijaweka Salio muda mrefu, na kawaida Huwa naweka kupitia tigopesa na hata ninavyopokea ujumbe wao namba yangu Ina Salio. Na kawaida muda mwingi namba inakuwa hewani Sasa wanasema watanifungia, na hakuna lolote zaidi ya ubabe wakijinga kwenye soko,
Huwezi kumfungia mtu namba kama account ya benki, kwanini mteja alazimishwe kuweka Salio hata kama ni kweli haweki, Tigo umekuwa mtandao wa hovyo sana.
Ndugu Mteja, namba yako itazuiliwa huduma ya kupiga simu 05/04/2024 kwasababu hujaongeza salio muda mrefu. Ongeza salio mara kwa mara kuiweka laini hewani