Kampuni ya tiGO kutumia Nguvu kubwa kulazimisha Watanzania kuweka salio kwenye namba zao za simu

snipa

JF-Expert Member
Dec 10, 2013
4,216
1,658
Ni jambo la kushangaza kidogo, kwasabu ni jambo ambalo halipo kisheria, hata katika makubaliano wakati unasajili laini laini za Tigo.

Hii Leo nimepokea ujumbe unaonilazimisha kuweka Salio ndani ya siku tatu, ikiwa Leo ni tarehe 2 mwisho tarehe 5.

Na naambiwa laini yangu itafungiwa kupiga simu kwasabu sijaweka Salio muda mrefu, na kawaida Huwa naweka kupitia tigopesa na hata ninavyopokea ujumbe wao namba yangu Ina Salio. Na kawaida muda mwingi namba inakuwa hewani Sasa wanasema watanifungia, na hakuna lolote zaidi ya ubabe wakijinga kwenye soko,

Huwezi kumfungia mtu namba kama account ya benki, kwanini mteja alazimishwe kuweka Salio hata kama ni kweli haweki, Tigo umekuwa mtandao wa hovyo sana.

Ndugu Mteja, namba yako itazuiliwa huduma ya kupiga simu 05/04/2024 kwasababu hujaongeza salio muda mrefu. Ongeza salio mara kwa mara kuiweka laini hewani
 
Ni sawa kukaa na line unatumia minara yao bila wao kupata faida si poa. Ni mitandao yote hata safaricom ya kenya
Mbona unavyosajili hakuna hizo terms.
Kwani ninavyopigiwa simu hawapati faida ?
Na kumbuka namba ya simu sio kama CR/DB
 
kila mfanya kazi pale kwenye hiyo kampuni uloitaja na zile zingine ambazo hujazitaja amepewa target ya activation kwa dormant accounts mathalani hiyo ya kwako na wengine ambao hawajaricharge line zao kwa kipindi fulani kirefu mathalani miezi4, 3 au 3.

meseji kama hizo ni hatua za kampuni kupushi kazi ngumu sana ya wafanyakazi wao kupambana na wateja ambao wengine ni wanishi na wanatukana mbaya sana 🐒

these companies needs money,na hiyo ni Miongoni mwa namna zao za kugenarate income ili wakuboreshee wew huduma ya mawasiliano 🐒
 
kila mfanya kazi pale kwenye hiyo kampuni uloitaja na zile zingine ambazo hujazitaja amepewa target ya activation kwa dormant accounts mathalani hiyo ya kwako na wengine ambao hawajaricharge line zao kwa kipindi fulani kirefu mathalani miezi4, 3 au 3....

meseji kama hizo ni hatua za kampuni kupushi kazi ngumu sana ya wafanyakazi wao kupambana na wateja ambao wengine ni wanishi na wanatukana mbaya sana 🐒

these companies needs money,na hiyo ni Miongoni mwa namna zao za kugenarate income ili wakuboreshee wew huduma ya mawasiliano 🐒
Kama njaa za kampuni ndio zinaleta haya yote ni hatari sana, kwasabu wanajichukulia maamuzi ambayo hayapo kwenye t&C,

Leo unamfungia mtu kupiga simu kwasabu hajaweka Salio muda mrefu, na namba anaitumia Kila siku, na inaeleweka kuweka Salio sio lazima, kwasabu Kila mtu ana matumizi yake na namba za simu. Na in my case napokea ujumbe ikiwa namba Ina Salio la kawaida.

Na kama ni Moja ya njia za kugenerate income kutumia force sio suluhisho maana hata kama napigiwa wao pia wanaingiza income sio mpaka nipige.

Inakuaje kwa bibi/Babu kijijini uliyemwelekeza kupokea simu tu na hawezi kupiga Wala kusoma meseji yeye aweke Salio la Nini ?
 
Sidhani kama ushasoma terms kasome utaona. Faida ni wewe kuweka salio pia. Mitandao yote karibu iko hivyo. Lazima uweke salio lisilopungua nadhani 1000 ndani ya miezi 6
Terms on customer side ni hizi hapa hakuna unayosema blah blah za kuweka sijui buku ndani ya miezi sita, ndiomana nasema wanatumia Nguvu zakijinga.

👇👇👇
  1. THE CUSTOMER’S OBLIGATIONS
The CUSTOMER agrees and covenants:

4.1 Not to assign or transfer the service, SIM card or personalized telephone number to any person without the prior written consent of MIC.

4.2 That the CUSTOMER acknowledges that the SIM card and the rights therein shall at all times remain the inalienable and non-transferable property of MIC.

4.3 That the CUSTOMER shall at all times be responsible and accountable to MIC for the proper use and preservation of the SIM card and the PIN code. In the event the CUSTOMER continuously neglects to use the SIM card or the number provided for a period of 90 days MIC may suspend the number and re-allocate the number for use by any other CUSTOMER.

4.4 That the CUSTOMER shall at all times remain responsible for confidentiality of any information or data received or transmitted by the CUSTOMER using the Network and the CUSTOMER agrees to notify MIC immediately of any or any suspected unauthorized use of other SIM card or the Services. Unless caused by technical failure, the CUSTOMER acknowledges that MIC shall not be liable for any loss the CUSTOMER may incur as a result of the unauthorized use of the Service or SIM Card without the CUSTOMER’s knowledge.

4.5 That in the event of loss or theft of the SIM card whether or not the SIM card was inserted in a handset at the time of such loss or theft the CUSTOMER shall notify MIC using the designated telephone number or visit the MIC outlets requesting that the subscription be suspended or deactivated and shall immediately thereafter confirm the report of loss or theft in writing to MIC accompanied by an original police abstract to verify the loss or theft.

4.6 That the CUSTOMER shall, until such time MIC is notified as per clause 4.5 above, be fully liable and shall pay MIC for all calls made using the SIM card whether or not the SIM card has been stolen or lost and the CUSTOMER hereby undertakes to indemnify MIC in full and hold it blameless for any liability fees costs charges or expenses it may suffer or incur by reason of any fraudulent use of the SIM Card or by reason of the SIM Card being stolen or lost.

4.7 The CUSTOMER shall in the event of loss or theft of the SIM card as aforesaid remain responsible and accountable to MIC for use of the SIM Card up to the time MIC is notified in accordance with clause 4.5 above.

4.8 To indemnify MIC in full for all the charges that MIC may incur or suffer by reason of re-activating the SIM card arising as a result of any fraudulent claim.

4.9 The CUSTOMER confirms and warrants that the CUSTOMER has capacity to enter into this contract and to perform the CUSTOMER’s obligations as herein set out.

4.10 The CUSTOMER further warrants and confirms that information and particulars of the CUSTOMER given to MIC are true and the CUSTOMER shall notify MIC immediately in writing of any changes and the CUSTOMER undertakes to provide MIC with information or documents required by MIC from time to time.

4.11 The CUSTOMER confirms that the CUSTOMER’s liability under the contract shall be joint and several in cases where the CUSTOMER is more than one person.

4.12 The CUSTOMER confirms that he/she shall not use the Services for any criminal or immoral purposes and shall be solely responsible for any consequences arising from such criminal or immoral use of the Services or the Network.

4.13 unless occasioned negligently, The CUSTOMER indemnifies and holds MIC harmless against all and any loss, liability, actions, suites, proceedings, costs, demands and damages of all and every kind, (including direct, indirect, special or consequential damages), arising out of or in connection with the failure or delay in the performance of Services offered or the use of Services.

4.14 For Services that requires password such as Tigo Pesa, the CUSTOMER undertakes to keep all passwords secure and warrant that no other person shall use Services utilizing the CUSTOMER’S password, and the CUSTOMER further acknowledges responsibility for ensuring that no unauthorized access to Services is obtained using the CUSTOMER’S password, and that the CUSTOMER shall be liable for all such activities conducted pursuant to such use, whether authorized or not.

4.15 The CUSTOMER undertakes to immediately notify MIC in case of defective SIM Card or Services.
 
Kama njaa za kampuni ndio zinaleta haya yote ni hatari sana, kwasabu wanajichukulia maamuzi ambayo hayapo kwenye t&C,

Leo unamfungia mtu kupiga simu kwasabu hajaweka Salio muda mrefu, na namba anaitumia Kila siku, na inaeleweka kuweka Salio sio lazima, kwasabu Kila mtu ana matumizi yake na namba za simu. Na in my case napokea ujumbe ikiwa namba Ina Salio la kawaida.

Na kama ni Moja ya njia za kugenerate income kutumia force sio suluhisho maana hata kama napigiwa wao pia wanaingiza income sio mpaka nipige.

Inakuaje kwa bibi/Babu kijijini uliyemwelekeza kupokea simu tu na hawezi kupiga Wala kusoma meseji yeye aweke Salio la Nini ?
actually, sio kuifunga paseeei, ingawa ni kweli baada ya muda fulani usipoitumia line yako wanaifunga, lakini pia anaweza pewa mtu mwingine aitumie kwa kusitisha usajili wako na akamilikishwa msajiliwa mwingine 🐒

lakini pia sio force, ni mbinu ya kuchochea uricharge dormant line yako. Na kuna kipindi huzizima kweli kwa muda ili tu uwatafute, na ukiwapata watakachokushauri ni kununua vocha waweza kuapdate line yako kwa system zao otherwise unaweza pata tena changamoto ya kutokua hewani 🐒
 
actually,
sio kuifunga paseeei, ingawa ni kweli baada ya muda fulani usipoitumia line yako wanaifunga, lakini pia anaweza pewa mtu mwingine aitumie kwa kusitisha usajili wako na akamilikishwa msajiliwa mwingine 🐒
Usipoitumia laini kwa muda flani ni kweli wanaweza kuifungia, na mara nyingi ni kama endapo huiweki kabisa hewana ikawa dormant for more than 3 months+

Hii hata kisheria ni sahihi kwasabu wameweka kwenye terma zao hapa nanukuu 👇👇👇👇

The CUSTOMER shall not be entitled or have a right to any specific mobile phone number(s) and MIC reserves the right with justifiable reasons to offer, withdraw and change such mobile phone number(s) as may be allocated upon giving adequate notice to the CUSTOMER.

na hapa

That the CUSTOMER shall at all times be responsible and accountable to MIC for the proper use and preservation of the SIM card and the PIN code. In the event the CUSTOMER continuously neglects to use the SIM card or the number provided for a period of 90 days MIC may suspend the number and re-allocate the number for use by any other CUSTOMER.






lakini pia sio force,
ni mbinu ya kuchochea uricharge dormant line yako. Na kuna kipindi huzizima kweli kwa muda ili tu uwatafute, na ukiwapata watakachokushauri ni kununua vocha waweza kuapdate line yako kwa system zao otherwise unaweza pata tena changamoto ya kutokua hewani 🐒
Hii Sasa ndio haipo kisheria, na ni janja janja za kijinga, na uhuni.
 
Tigo niliacha kutumia kwa sababu zifuatazo

1. Network yao ni shida sana hasa upande wa internet

2. mara nyingi kuna changamoto kwenye meseji mtu anaweza kuambia nimekutumia meseji hujaona, kumbe meseji yenyewe haujapata unaingia kwenye lawama

Tangu nimehamia Airtel mambo ni mswano. Laini ya tigo ninayo na walishanitumia meseji ya kufungiwa hata wakifunga sina presha Airtel yupo
 
Si uweke tu mkuu ujiunge hata kifurushi cha Jumbe we kila siku unataka upigiwe tu.
Em nikuulize kama hiyo line unaitumia mtu akikutumia ujumbe unamjibu na nini?

Nampigia au kumtext kwenye mtandao mwingine.
 
Sasa we tumia huo mtandao mwingine hiyo line ya tigo waachie wampe mtu ambae atanufaisha mtandao mana huna matumizi nayo..
Mbona matumizi ni mengi mkuu mbali na kuweka vocha. Na naitumia mara nyingi tu
 
Back
Top Bottom