Encryption
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 996
- 1,339
Jamaa alikua waziri, na nasikia alikataa kuizindua hiyo Barabara kwasababu hakuridhishwa na kiwango cha ujenzi. Lakini boss wake akaenda kuzindua.Marehemu alitupiga sana
Jamaa alikua waziri, na nasikia alikataa kuizindua hiyo Barabara kwasababu hakuridhishwa na kiwango cha ujenzi. Lakini boss wake akaenda kuzindua.Marehemu alitupiga sana
Kuna Ile ya Lindi.....dahJamaa alikua waziri, na nasikia alikataa kuizindua hiyo Barabara kwasababu hakuridhishwa na kiwango cha ujenzi. Lakini boss wake akaenda kuzindua.
Pia barabara ya makambako njombe , barabara ya mwanza[nyerere road](nyanguge hadi lamadi)Habari wana JF, hii video nimeirekodi kwa mikono yangu mwenyewe, inaonesha Barabara ya Dodoma to Iringa jinsi ilivyo hatarishi kwa maisha ya watu wanaotumia, barabara ina viraka vingi na mahandaki mengi sana.
Nimeiangalia kwa jina la kizalendo na kugundua kuwa hii barabara inahitaji matengenezo makubwa.
Barabara hii ni mzigo kwa Serikali na walipa kodi.
Mbaya zaidi Wakala wa Barabara - TANROADS Dodoma wao wanachimba wanajaza udongo wanaondoka, tofauti na upande wa Iringa ambao wao wanaziba mashimo na wanajitahidi ku-maintain barabara.
Wananchi tumelalamika sana kuhusu hii changamoto, ukiangalia hapo kwenye video utaona jinsi gani ambavyo dereva unahitaji kuwa makini, la sivyo unaweza ajali ni nje-nje au kuharibu magari.
Aliizindua Magufuli mwenyewe akiwa Rais. Sasa kama yeye ndiyo alikuwa Rais, bosi wake alikuwa nani!?Jamaa alikua waziri, na nasikia alikataa kuizindua hiyo Barabara kwasababu hakuridhishwa na kiwango cha ujenzi. Lakini boss wake akaenda kuzindua.
upo sahihi mkuu... barabara bora sana ileIla yule mkandarasi aliyejenga barabara ya Uyole Mbeya hadi Malawi ni mkandarasi bora kuliko wote katika barabara zote nilizopita,barabara ina zaidi ya miaka 25 lakini iko fresh
Mkuu, Fuatilia vizuri. Jiwe la msingi lipo pale Dodoma Maghorofani. Alizindua Boss wake Magufuli na sio yeyeAliizindua Magufuli mwenyewe akiwa Rais. Sasa kama yeye ndiyo alikuwa Rais, bosi wake alikuwa nani!?