Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 1,829
- 4,969
Kwa hiyo wanataka hayo malori yapite wapi??Wenyewe wanakwambia malori makubwa ya kubeba makaa ya mawe kutoka Songea kwenda Rwanda ndio yanaharibu hiyo barabara ...lakini cha ajabu hayaharibu barabara ya kutoka Songea hadi Iringa😀😀