kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 938
- 1,526
Sasa hapo kwa shetani ni Dom au Iringa! 😀
Hii barabara lami yake ni ile ya kihuni ile unatanguliza udongo halafu lami ujiuji flan hivi halafu wanamwagia Kokoto zile ndogo mnaruhusiwa kupita pita inajishindilia.
Dodoma kikugu na Iringa kuanzia Nduli ndio kuna lami ile lami tunayoijua
Hii barabara lami yake ni ile ya kihuni ile unatanguliza udongo halafu lami ujiuji flan hivi halafu wanamwagia Kokoto zile ndogo mnaruhusiwa kupita pita inajishindilia.
Dodoma kikugu na Iringa kuanzia Nduli ndio kuna lami ile lami tunayoijua