Habari,
Tunaomba ushauri ili tupate msaada kutoka kwa mamlaka husika. Mimi ni mmoja wa wakazi wa Block C, Iyumbu West, Dodoma.
Tuna changamoto ya mashimo / makorongo makubwa yaliyochimbwa na kampuni ya Nyanza Roadworks wakitafuta kifusi kwa ajili ya matengenezo ya barabara, na mpaka sasa wameyaacha hivyo hivyo bila kuyafukia / site restoration (Nimeambatanisha picha).
Tumejaribu kwenda NEMC tukakwama na wakasema hawawezi kutusaidia, tulitakiwa kwenda wakati wanachimba ndio wangewasimamisha.
Tunaomba ushauri ili tupate msaada kutoka kwa mamlaka husika. Mimi ni mmoja wa wakazi wa Block C, Iyumbu West, Dodoma.
Tuna changamoto ya mashimo / makorongo makubwa yaliyochimbwa na kampuni ya Nyanza Roadworks wakitafuta kifusi kwa ajili ya matengenezo ya barabara, na mpaka sasa wameyaacha hivyo hivyo bila kuyafukia / site restoration (Nimeambatanisha picha).
Tumejaribu kwenda NEMC tukakwama na wakasema hawawezi kutusaidia, tulitakiwa kwenda wakati wanachimba ndio wangewasimamisha.