wachekeshaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ncha Kali

    Kwa Tanzania, wachekeshaji wengi wameenda shule kuliko waimbaji na waigizaji

    Ukiachana na 'wadudu', wachekeshaji wengi wameenda shule. Hii tasnia imeonekana kustawi vema miaka ya hivi karibuni. Ni katika kutelekeza kaulimbiu ya Serikali yetu ya kuwataka wasomi wajiajiri. Wasomi wetu baada ya kukosa michongo ya maana wameangukia kwenye vichekesho, wengine wakienda...
  2. Ncha Kali

    Kwanini tasnia ya ushereheshaji imehodhiwa na wachekeshaji?

    Hili swali nimeulizwa na huyu mtoto wangu mdogo! Kila mcheshi anadhani anaweza kuwa MC na wengi wamevamia huko, cha ajabu ni wachache sana kati yao wenye angalau. Japo lengo lao kujipatia chochote kitu ila wengi wao ni hovyo kabisa, sherehe sio jukwaa la vichekesho. Washereheshaji mahiri wala...
  3. Kalamu Nzito

    Wako wapi wachekeshaji wa Serious Funny TZ?

    Kulikua na wachekeshaji wanajiita Serious Funny TZ ambao walianza takribani miaka 7 iliyopita. Hawa jamaa walikuwa na content za uchekeshaji kuliko comedy tunazoziona sasa hivi. Sikuhizi siwaoni tena. Wako wapi?
  4. Leak

    MwanaCCM huyu ni nani? Anaitaka Serikali kutowaruhusu wachekeshaji kuongelea suala la bandari kwa niaba ya watanzania au Serikali! awataja Kitenge

    Mwana CCM huyu ameng’aka kabisa kuwa nimakosa makubwa Serikali kuruhusu hawa comedian(wachekeshaji) kuongelea suala la bandari Anasema hawa wengi ndio wanasababisha mjadala kuwa mgumu na kuonekana na upotoshaji kwakuwa hawajui vitu muhimu vya kuongelea Ameiomba serikali kuto ruhusu kila mtu...
  5. Kiboko ya Jiwe

    Hawa jamaa ndio wameongozwa kutazamwa Facebook 2022 kiulimwengu. Wachekeshaji wetu wajifunze kitu kutoka kwao

    Habari! Mwaka jana nilizungumza kitu kuhusu hawa comedians jinsi wanavyotisha. Wachekeshaji wetu waache kupoteza muda kuropoka. Mimi wachekeshaji wetu wanabiboa, kazi yao ni kuropoka majukwaani tu, wakizidi zaidi basi wataiga kazi za wenzao. Hawana ladha kabisa. Soko lao linaishia ndani tu...
  6. C

    Nikiangalia Bunge letu naona wachekeshaji na sio watetezi wa wananchi

    Wakuu, Mimi hua nikiangalia bunge letu naona wachekeshaji tu na watu wenye vioja na mzaha mwingi yaani ile dhana ya wawakilishi inafia hapo. Hua najiuliza hawa jamaa wanaenda mule ndani na mawazo yao au mawazo ya wananchi? Haiwezekani tozo ipitie kwao wapitishe sheria baadae wananchi...
  7. Mufti kuku The Infinity

    Orodha yangu binafsi ya wachekeshaji bora wa muda wote Tanzania

    Hii ni orodha yangu. Tafadhali iheshimiwe Ubora umepangwa kwa mfuatano wa namba:- 1. King Majuto (Pumzika Kwa Amani) 2. Mpoki 3. Joti. Nimemaliza, prove my list wrong. Orodha tayari Uzi tayari Over & out Bye...
  8. S

    Wachekeshaji wetu wafunzwe diplomasia

    Kuna umuhimu mkubwa wa kufundishwa diplomasia kwa kila mzungumzaji kwenye hadhira iliyo na watu wa mataifa mbalimbali. Unaweza kudhani unachekesha watu kumbe unaharibu. Public speaking is an art, the untrained need to be trained before being given platform.
  9. YEHODAYA

    Wakati nchi nyingine duniani hutafuta wasanii wachekeshaji Japani wanahitajika wasanii wanaoweza kumfanya mtu aangue kilio sio kicheko!

    Duniani hakuishi vituko Japani watu wanalipwa madola kibao kwa kufanya mtu alie machozi kuondoa stress wanaamini mtu akilia stress zinaondoka.Wasanii Muwezao kuliza watu mpo? Asipolia hulipwi Jionee video mwenyewe
  10. dvj nasmiletz

    Kuna nini kati ya wachekeshaji Ringo na Tin White?

    Tulizoea kuwaona hawa wawili wakiigiza comedy zao pamoja...lakini sasa hivh namuona Tin white yuko bize sana na Mkojani..kuna nini kati yao? Ilipendeza sana wakiwa vile pamoja Ringo na Tin White kama ilivyo kwa. Bambo na Kingwengu Senga na Pembe Sharo milionea na Kitale Joti na Mpoki Kiwewe...
Back
Top Bottom