tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. NALIA NGWENA

    TFF na Bodi ya ligi Tanzania hakuna watu wa mpira bali ni kikundi cha watu kinachotafuta mkate wa kila siku

    kufuatia utumbo huu (mistakes) uliofanywa na TFF na Bodi ya ligi inaonesha dhahiri kabisa hakuna watu weledi na wanaojua uongozi wa mpira kitu kama 1) kuamuru mechi ya fainali ya FA kuchezewa Zanzibar wakati mwanzo timu ya TFF ikiongozwa na Karia walikwenda kujiridhisha na kukagua uwanja na...
  2. TUKUSWIGA MWAISUMBE

    SoC04 Tanzania tuitakayo na mfumo wa malezi katika lishe

    TANZANIA TUITAKAYO NA MFUMO WA MALEZI KATIKA LISHE Mimi ni mwanachama wa Jamii Forums, Jina langu ni mchechemuzi. Ushahidi wa tafiti za kisayansi umeonyesha kwamba msingi wa Taifa lolote lile unategemea sana uwekezaji kwa binadamu katika umri wa awali wa maisha ya mwanadamu hususani umri 0 -2...
  3. P

    SoC04 Nafasi za Mawaziri zinazohitaji ridhaa ya Wananchi

    Habari wadau, Kulingana na taratibu, sheria na kanuni mbalimbali za nchi hii nafasi za mawaziri huteuliwa na mheshimiwa raisi. Lakini siku ya leo napenda kutoa maoni yangu juu ya nafasi tano za mawaziri ambazo zinahitaji umakini wakati wa uteuzi na ikiwezekana uanzishwe utaratibu wa kupata...
  4. Shining Light

    Government addresses mobile voucher price hike and communication issues in the country

    During a parliamentary session on May 29, 2024, Special Seats Member of Parliament Tunza Malapo questioned the government's stance on the price hike, noting that a voucher previously costing Sh500 now sells for Sh600. She stressed the confusion among citizens regarding this price increase. The...
  5. Old Suspender

    Tanzania.

    Unaijuaje Tanzania?
  6. BARD AI

    Is Makonda imagining an unthinkable future for Tanzania?

    𝗣𝗥𝗘𝗦𝗜𝗗𝗘𝗡𝗧 𝗣𝗔𝗨𝗟 𝗠𝗔𝗞𝗢𝗡𝗗𝗔? ◾It's almost laughable to fathom the thought that the abrasive and pseudo-populist Arusha Regional Commissioner could even be considered as a future President of Tanzania ◾A chequered past, questionable education background, authoritarian streak and unhinged personality...
  7. J

    SoC04 Vita dhidi ya uraibu wa kamari na vilevi vikali, kuinusuru Tanzania tuitakayo

    Utangulizi Nchi yetu Tanzania, kama ilivyo katika mataifa mengi, vita dhidi ya uraibu wa kamari na vilevi vyenye kemikali maarufu kama "Visungura" imekuwa changamoto kubwa. Tatizo hili limekua na kuwa janga la kitaifa, likiwaathiri zaidi vijana, ambao ni tegemeo la taifa kwa maendeleo ya...
  8. Damaso

    SoC04 Tanzania We Want: Future of Tanzania in Solar Energy, Lighting Up the Nation with International Partnerships

    Tanzania, a land bathed in sunshine, holds immense potential to harness the power of the sun. "Future of Tanzania in Solar Energy" is not just a hopeful vision, but a call to action. By embracing solar energy through strategic partnerships with international energy companies, Tanzania can...
  9. Damaso

    SoC04 TANZANIA WE WANT: My Tanzania, My Responsibility: Living in Harmony and Peace

    Tanzania, a land woven with vibrant cultures, breathtaking landscapes, and a rich curtains of history. Tanzania is a nation we all call home, your home, my home its our home. Yet, the true beauty of Tanzania lies not just in its physical attributes, but in the spirit of its people, most...
  10. E

    SoC04 "KULETA MAPINDUZI YA DIJITALI: Safari ya Tanzania kuelekea Mawasiliano ya Ufanisi

    Kukuza Sekta ya Habari na Mawasiliano kwa Tanzania Ijayo Sekta ya habari na mawasiliano ina jukumu muhimu katika maendeleo ya jamii, uchumi, na demokrasia katika Tanzania. Kwa kuangazia mabadiliko na fursa zinazoendana na zama za dijitali, hapa chini tunajadili hatua muhimu zinazoweza...
  11. N

    SoC04 Tanzania ya Kijani inawezekanaYafuatayo yaweza fanyika katika Sekta ya Mazingira

    Tanzania ya Kijani inawezekana Yafuatayo yaweza fanyika katika Sekta ya Mazingira: Tanzania ina ukubwa wa takribani Km za mraba 945,087. Ni moja ya nchii liyojaliwa kwa ukubwa ardhi yenye rasilimali nyingi, maliasili na hifadhi nyingi za wanyama, misitu, maziwa na maeneo asili ambayo yote...
  12. E

    SoC04 Ubunifu katika sekta ya uvuvi kunaweza kuleta maendeleo makubwa kwa Tanzania ijayo

    TEKNOLOJIA INAVYOBADILISHA SEKTA YA UVUVI NA KUJENGA TANZANIA IJAYO. Sekta ya uvuvi inashuhudia mabadiliko makubwa yanayotokana na Matumizi ya teknolojia katika shughuli zake.kupitia Matumizi ya drones,vifaa vya kiotomatiki sensors na IoT, teknolojia ya satellite ,uvuvi wa mbali...
  13. Yoda

    Script ya makocha wazawa wa Tanzania katika tathimini ya mechi

    Kila baada ya mechi ikiisha makocha wazawa wakiohojiwa huwezi kukosa kuyasikia haya mambo manne. 1. Kwanza kabisa tunamshukuru Mwenyezi Mungu..... 2. Mpira ni mchezo wa makosa, tumefanya makosa tumeadhibiwa..blah blah 3. Mpira una matokeo matatu... 4. Tunajiandaa kwa mechi ijayo...
  14. Mkalukungone mwamba

    Aziz Ki amevunja rekodi ya ufungaji bora misimu mitatu iliyopita afikisha magoli 21 na kuibuka top score wa msimu

    Aziz Ki amevunja rekodi ya ufungaji bora misimu mitatu iliyopita afikisha magoli 21 na kuibuka top score wa msimu. --- Kiungo Stephan Aziz Ki amemaliza kinara wa ufungaji kwenye ligi kuu soka Tanzania Bara baada ya kumaliza msimu akiwa na mabao 21 na kumuacha mpinzani wake wa karibu kiungo...
  15. kilio

    SoC04 Hisabati ndiyo kesho ya watoto wetu na Tanzania yetu

    Kwa dunia ya leo ya ulimwengu wa kidigitali, ni lazima somo la hisabati lipewe kipaumbele kwakuwa ni msingi wa program nyingi za teknolojia ya kisasa. Mifumo mingi ya kidigitali tutanyotumia leo katika shughuli mbalimbali ina chembechembe za hisabati katika utengenezaji wake na utumiaji wake...
  16. Mwl.RCT

    SoC04 Empowering Tanzania: A Strategic Shift Towards Off-Grid Renewable Energy

    Empowering Tanzania: A Strategic Shift Towards Off-Grid Renewable Energy Introduction In the heart of Tanzania, young Amina studies by the dim light of a kerosene lamp, her aspirations of medical school shadowed by the reality of energy poverty. Her family’s struggle is shared by over 65% of...
  17. LOLO KALOLO

    SoC04 Reducing Traffic Jams in Tanzania: A case of Dar es Salaam

    Traffic congestion is a major challenge in Dar es Salaam, Tanzania's largest and most economically significant city. With its rapid population growth and urbanization, the city's infrastructure struggles to keep pace with increasing vehicular traffic. To address this pressing issue, a...
  18. N

    SoC04 Mfumo wa Madaraka Tanzania

    Tanzania ni nchi inayotambulika kama nchi ambayo inafuata misingi ya kidemokrasia africa na duniani,ni jambo la kupongezwa na kuendelezwa pia kulindwa vizazi na vizazi Uongozi na viongozi wamekuwa wakipatikana kwa njia ya kuchaguliwa na kuteuliwa, suala la kuchaguliwa halina mashaka wala shida...
  19. C

    Huduma za Vivuko Kigamboni janga linaloenda kusababisha maafa nchini

    Nimeona Bashungwa kajitokeza fasta kusafisha anga baada ya Mwananchi kuja na makala hii, kweli uongozi mtamu! Malamiko kibao juu ya vivuko hivi hayaoni au? Ripoti ya CAG nayo ilieleza jinsi kivuko cha Azam kinavyolipwa baada vivuko hivi kuwa vichomi, leo anakuja kutuambia ni chuki binafsi? --...
  20. D

    SoC04 Haya yafanyike ili kuifikia Tanzania tuitakayo

    Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi kiasi cha kuweza kuihudumia dunia katika mambo mbalimbali kama chakula, sekta ya madini na hata mavazi endapo zitatumika vema. Tangu kipindi cha uongozi wa Rais na Baba wa taifa J.K Nyerere maneno haya yamekuwa yakisemwa na viongozi na wanamapinduzi...
Back
Top Bottom