Free content, libre content, or free information is any kind of functional work, work of art, or other creative content that meets the definition of a free cultural work.
Wakuu mko vyedi?
Watengeza maudhui hawa walikaa chini wakafikiria wakaona hii ndio content inafaa na inachekesha kabisa?! Hapana jamani hii siyo sawa.
Kwanza ni hatari kwao na hata kwa magari na watumizi wengine wa barabara. Mtu anatoka huko breki zimefeli anakuja kukuvaa utamlaumu nani, tena...
We miss out alot of contents from other lower teams. my thoughts is less information is shared about these teams leading to fewer fans, and unknown good players.
My advice to Tanzania league board is to make mandatory, to have a media team which functions and give out daily content, ie...
Me Sina hela ila naishi na watu wema na wenyewe kiuchumi hawako vizuri nyie wa huko dar mna magari na majumba najua wengi hamuwezi kushindwa kufungua redio Jina LA redio nakupa mimi iitwe 45 fm vipindi nakupangilia mimi wewe utaboresha tu ila ni redio Kwa ajili ya vijana tu wa 45 Namba hio...
Aaah wakuu naomba kusaidiwa katika hili kama Kuna mtu mwenye uelewa juu ya content yenye faida. Nimesoma prospectus zote lakin nimefeli kuelewa ipi ipo Nondo na ipi ipo unga 🙂
Ndomana nime kuja kuomba msaada Kwa wanaojua kuhusu hili...
"Always say less than nessesary"
Meneja wa Barrick nchini Tanzania, Melkiory Ngido akisalimiana na Waziri wa Madini, Antony Mavunde alipotembelea banda la Barrick akiongoza ujumbe wa viongozi mbalimbali wa Serikali.
Na Mwandishi Wetu.
Waziri wa Madini, Mh.Antony Mavunde, ameipongea kampuni ya dhahabu ya Barrick nchini kwa...
Ushawahi kusikia watu wanaolipwa kwa kutazama na kureview maudhui ya mtandaoni? Ushawahi kutamani kupata kazi ya aina hiyo?. Je vipi kuhusu faida na hasara zake? shuka nayo
Mapema mwishoni mwa mwaka jana nilipata kazi kwenye moja ya jukwaa la freelancing ninalolitumia kwa kipindi kirefu.Wakati...
Kuna Jamaa ana kipaji ila anauliza ata create account Kwa njia gani ili zikalink zote akawa anapata hela Kwa views anachotaka kujua account ili ulipwe hela Kwa views lazima atengenezewe na watalaam wa IT au hata yeye anaweza kukamilisha mchakato wote. Iwe fb iwe Instagram iwe Twitter iwe...
Nahitaji simu ya kawaida kabisa bajeti yangu laki na 30.
Kikubwa iwe ina uwezo wa kutoa audio inayo sikika vizuri. Iwe Type C ambayo inaweza kutumia vile vi microphone vya sh elfu 25.
Nakumbuka mwaka 2017 nilinunua kisimu cha promotion pale Mlimani City cha VODAFONE. Nilikinunua sh elfu...
Kama wiki mbili hivi sikuwa online kwenye social media hivyo nilipata wasaa wa kusikiliza redio zetu hapa nchini.
Katika wiki zote hizo mbili nilikua natune almost radio zote , ila vipindi vingi vya radio zetu vinafanana na sio elimishi, burudani imechukua sehemu kubwa na hasa uchambuzi wa...
Huu ni ukweli mchungu, zama zimebadilika
Vijana mnaomaliza chuo mjifunze kutengeneza content zitakazotrend hasa za kuelimisha, kufundisha, kuburudisha na kuchekesha watu..
huko ndipo kuna fursa za dili nyingi zama hizi
Listen up fellow carbon-based content wordsmiths! I know times seem strange and scary with all these robots running amok. You can't scroll two lines on LinkedIn without some AI "guru" ominously proclaiming that machine learning will replace human jobs. Apparently, creative professions aren't...
Nasikitika sana sijui wanakosea wapi, hawapo kama wenzao wa Clouds Radio! Sijui wanafeli wapi?
Au ni bahati mbaya kwangu kila nikiingia kuiangalia nakuta vipindi visivyoeleweka.
Kama usiku wa Jana manyimbo TU yasiyoeleweka.
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu nishafanyaga baadhi ya sehemu kama vile Africa Swahili TV, Dizzim TV and Online, Bongo5.
Naomba kama Kuna mtu atahitaji mtu wa kufanyakazi kama hizo kwenye Television au Online Media hata moja wapo tuwasiliane kwa 0714525809 nina uzoefu...
Ukristo wageuka dini huria, kila mtu afanya atakalo, uongozi wa kiroho umegeuka biashara.
Content za minyanduo zavamiwa na waimbaji wa Injili. Dunia uwanja wa Fujo.
Yes apewa character ya kunyanyua na kunyandua mchana kweupe Yesu mwamba anaelekezwa afanye kuwanyandua waimbaji.
Toba Toba...
In today's digital era, children and teenagers encounter an unprecedented volume of digital content. Positive youth engagement yields numerous benefits, ranging from enhanced academic performance to diminished risk-taking behaviors, heightened social and emotional development, and an increased...
Organizational Unit: FRURT - FAO Representation in Tanzania Job Field Category: Co
Job Type: Non-staff opportunities
Type of Requisition: NPP (National Project Personnel)
Grade Level: N/A
Primary Location: Tanzania, United Republic of-Dar Es Salaam
Duration: March 2024 until 30th September 2024...
Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan.
Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto?
https://twitter.com/abasmas/status/1740720706110038506?s=19
Mac Pro mpya ni game changer Kwa all creaters, 3D Animations, graphics designers, videos production .
Apple wamekuja na chip Yao wenyewe from silicon na upanuzi wa PCIe kwa workflows Kazi za production.
Chip ya M2 Ultra mpya - chipu yetu yenye nguvu na uwezo zaidi kuwahi kutokea.
24-core...
WASAFI FESTIVAL kwa content package mnayodeliver kuna muda mpaka nahisi Teni halitoshi.. package ni kubwa kwakweli.. sema kwa upande wetu mimi na mwanagu tuna enjoy kinoma kwa sababu uwezo wetu ni hiyo teni.. sema kama ya Dar sidhani kama nitakosa ... Sema msipandishe bei bongo.. uzi imeisha
Mwigulu na Makamba wamegeuka kuwa Content Creator (mengine siyasemi hapa kama Mwigulu kuwa Coach na Mmiliki wa ile timu ya Singida na kumiliki kampuni ya betting, na pia Makamba kumpa dada yake deal za tender kubwa kubwa wasifikiri hatuwaoni) sasa hii ya kutembea na wapiga picha shazi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.