Habari za Uzima Ndugu zangu.
Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye Umri wa Miaka 26 Nina Usikivu Hafifu. Hali hii imenifanya Nakosa Kazi / Mishe.
Juzi Niliitwa kwenye Usaili Kwenye Kampuni Ya Ulinzi Ya
"Ws insight Security" iliyopo Msasani. Usaili Nilifanya Vizuri Lakini walipogundua Nina Usikivu...
HabarI za Leo Ndugu zangu.
Anayejua Dawa ya Maumivu ya Kiuno Na Mgongo.
Nafahamu hili ni suala la Ku- Sex Lakini Bado Sijapata MCHUMBA.
Nipo Busy sana na kazi Jumatatu Mpaka Jumamosi hivyo Nakosa Muda Mzuri wa Kuwasaka Wachumba.
Nimemeza sana Dawa Za Kutuliza Maumivu Lakini Naona imeanza...
Habari Za Leo Ndugu Zangu.
Mimi ni Mwanaume
Natafuta MCHUMBA Ambaye baadaye Tunaweza Kuwa Mume na Mke.
SIFA ZANGU.
1. Elimu Chuo
2. Umri Miaka 28
3. Nimeajiriwa
SIFA ZA MCHUMBA
1. Awe Anajitambua
2. Mkristo
3.Umri Asizidi Miaka 35
4. Elimu Yoyote Aliyonayo.
#MUNGU AWABARIKI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.