Recent content by johnthebaptist

  1. J

    Makonda anafanya kila jitihada kuikoa CCM na amegundua Watanzania wa Leo siyo wa jana lakini viongozi Wengine wako Usingizini!

    Kichwa cha thread kinajieleza Ukifuatilia utendaji wa Makonda kwa sasa utatambua Kuwa ameujua Ukweli Watanzania hadi vijijini wameshaamka ila bado Watu wa DSM ndio wamekariri maisha ya Uchawa Makonda atarudi kuiongoza CCM muda si mrefu Ili Chama kipate Mtu wa kumkabili Ni Yeye, mwenyekiti...
  2. J

    Balozi wa Marekani: Ni dhambi na aibu kuchukua rasilimali za Nchi nyingine

    Balozi wa Marekani amesema ni dhambi na aibu kwa Nchi yoyote kuruhusu mtu mwingine yoyote bila kujali ni America, China au Pluto kuja Nchini kwako kuchukua Rasilimali zako kisha kutengeneza fedha zote za Rasilimali hizo nje ya nchi Yako halafu iseme inakutendea Wema. Source Jambo TV
  3. J

    Kura za Maoni na mchujo ndani ya CCM zitakua na ushindani mkali zaidi ya Uchaguzi Mkuu ujao

    Itakuwa kama uchaguzi wa Kanda ya Nyasa Chadema 😂😂
  4. J

    RC Makonda aagiza Takukuru kumkamata DED na Watendaji wake wanaotuhumiwa kwa Ufisadi wa tsh million 19 mara Moja na wasirudi Ofisini!

    Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewaagiza Takukuru kumkamata DED wa Arusha na Watendaji wake wanaotuhumiwa kufisadi tsh 19 million za mwekezaji wa sekta ya Utalij Chamburo Aidha RC Makonda amepiga Marufuku tabia ya maafisa wa TRA kupeleka Demand Notice za madai ya Kodi wakiwa...
  5. J

    Nampongeza Nape kwa kuleta technology ya AI bungeni, kituo kifuatacho Wabunge Viti Maalum na CHAWA wawe Robot tupunguze gharama!

    We tutusa ukienda MOI kupasuliwa utashughulikiwa na Robot Dunia ya kidigitali hii 😂😂
  6. J

    Serikali imvue uraia Maria Sarungi arudi zao Hungary

    Civics......Civics 🐼 Mbunge wa BMK
Back
Top Bottom