Balozi wa Marekani: Ni dhambi na aibu kuchukua rasilimali za Nchi nyingine

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,660
145,432
Balozi wa Marekani amesema ni dhambi na aibu kwa Nchi yoyote kuruhusu mtu mwingine yoyote bila kujali ni America, China au Pluto kuja Nchini kwako kuchukua Rasilimali zako kisha kutengeneza fedha zote za Rasilimali hizo nje ya nchi Yako halafu iseme inakutendea Wema.

Source Jambo TV
 
Na ni dhambi kuu wananchi wa nchi hiyo kuendelea kusifia viongozi wao huku wakijua kesho yao itakuwa ya mashaka.
 
Mbona nchi yake USA wanaiba mafuta na nafaka ya Syria kila siku bila kulipia chochote? Ni aibu mwizi anapojifanya kuwa msamaria mwema.
Kumbe unajua,vipi wale majizi mashuhuri unaowashabikia,na upo tayari hata usile kuwapigia debe na kuwatetea na kuwalinda🫣
 
Balozi wa Marekani amesema ni dhambi na aibu kwa Nchi yoyote kuruhusu mtu mwingine yoyote bila kujali ni America, China au Pluto kuja Nchini kwako kuchukua Rasilimali zako kisha kutengeneza fedha zote za Rasilimali hizo nje ya nchi Yako halafu iseme inakutendea Wema.

Source Jambo TV
Story hizo tu, bro, share holder wa kubwa wa ma kampuni ya madini,wapo ulaya na America, wanalipa Kodi huko, wakitubamiza vzr hapa, kwenye mirabaha, mpunga mwingi unaingia kwao!
Hata Sera, zetu za, madini na kodi, zinapangwa na, benki ya dunia,
Hao wajomba wanauma na kupuliza
 
Back
Top Bottom