The best_of _me
Member
- Jun 7, 2017
- 82
- 97
Kukuunga mkono maana zimetelekezwaHazina mvuto ila umekuja!
Kukuunga mkono maana zimetelekezwaHazina mvuto ila umekuja!
Nani anayemuomba hela mwenzake hapo? ๐Magharibi ni wapi? Maana huyu kila siku yuko Dar tu, huko Magharibi anakaaga lini? Akina Malisa wamemzunguka tu wanamuomba hela
Wanaogopana ๐๐Yohana Mbatizaji naomba unisaidie kidogo; mbona jina linatoka Moja Moja kama CCM ya Mwalimu Nyerere?
Usilie sio mimi...Hakuna lolote.
Mmeamua kuonesha picha halisi ya Dick Matata,ikiwa ccm inageuka nongwa,mnachekesha sana.Usilie sio mimi...
Jo wewe tukuteuwe kwa kanda ya Lumumba,hapo vipi๐ซฃTumeshayapata Kitambo sana kwa kamanda Pambalu ๐
Ulitumia remote au ulitoa rasilimali fweza๐คชUtushukuru kwa kuratibu kikao ๐
Kwani naye unataka kumweka kwenye orodha ya wale mawakala wabaya๐คชMmeamua kuonesha picha halisi ya Dick Matata,ikiwa ccm inageuka nongwa,mnachekesha sana.
Kwa hiyo hata mpango wa kuzichukua fomu zile mda ukiwadia mnesha upanga,au kutoroka ufisi zile za kupokea fomu๐คชKinondoni kufanya nini wakati taarifa zote zipo kiganjani Mwetu juu ya majina yote yaliyopitishwa katika kanda zote Tangia muda tu? CCM ipo mbele ya wakati. Hata ningetaka kuyaweka hadharani humu jukwaani ningefanya hivyo lakini mimi huwa sikurupuki kwa kila jambo.
Na kufadhiri pia ๐๐Utushukuru kwa kuratibu kikao ๐
Kumbe!!!Wanaogopana ๐๐
NdioKwani naye unataka kumweka kwenye orodha ya wale mawakala wabaya๐คช
Warudishe pesa ya AbdulJina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.
Dickson Lucas Matata
Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.
===
Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .
Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa
View attachment 2993148View attachment 2993149
John Pambalu ateuliwa kugombea Kanda ya Victoria
View attachment 2993198
Na kiherehere chako ungeacha kuyaleta humu?Yameanzaje kuwekwa hadharani mara ya pili wakati mimi nimetumiwa majina yoote kwa kanda zote? Kweli Upo nyuma sana ndugu yangu na rafiki yangu Erythrocyte. Mimi ninayo yote na kila kitu ila sijataka kuandika wala kuingilia jambo hilo.
Huyu Lucas Mwashambwa huwa akiamua kumwaga pumba zake huandika makala ndefu balaa..Na kiherehere chako ungeacha kuyaleta humu?
๐๐๐๐Kanda ya nyasa ,lazima mmoja ajitoe
nimenusa kitu
๐๐๐๐ DaaahHuyu Lucas Mwashambwa huwa akiamua kumwaga pumba zake huandika makala ndefu balaa..
Cha ajabu hajawahi kuwa acknowledged kwa kupewa hata ukatibu tarafa tu.
Huyu Lucas Mwashambwa anapitia route ya Pascal Mayalla ya kusifu, kulamba viatu vya watawala na mwishowe rafiki yetu huyu kazeeka bila kupata uteuzi wowote..
Hii ya kutegemea kuabudu watu ili uishi hapa duniani, ni fedheha na hatari sana aisee..
Mimi sitashangaa ikitokea Lucas Mwashambwa akapotea ghafla hapa jukwaani au akabadili ID kabisa na kuanza kuiponda CCM yake na kuisifu CHADEMA..
Hii itakuwa ni kwa sababu ya disappointment atakayoipata huko CCM kwa matarajio yake kutofikiwa..
Leo mwenzake Pascal Mayalla hajulikani ni wa moto, baridi au vuguvugu..
Hata hivyo, nampenda Pascal Mayalla kwa sifa moja nzuri. Ni jasiri. Huwa habadili ID yake bila kujali amepata au kakosa. Utamgundua yuko wapi kwa hoja zake tu, basi..๐ถ๐ป๐ถ๐ป๐ถ๐ป๐ถ๐ป๐ถ๐ป๐ถ๐ป
Na kuna Chawa wa CCM humu miaka ile, walikuwa hatari kuliko Lucas Mwashambwa. Baada ya kuwa disappointed na CCM, hata haijulikani wako wapi leo..
Ukisikia kurazangu zooote mpeni๐๐๐๐