Nampongeza Nape kwa kuleta technology ya AI bungeni, kituo kifuatacho Wabunge Viti Maalum na CHAWA wawe Robot tupunguze gharama!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,660
145,432
Kimsingi Wabunge wa Viti maalum kazi yao kubwa ni kupiga makofi na kutoa sauti kubwa ya " NDIO" wakati wa kupitisha vifungu na kazi hii inaweza kufanywa kwa Ufanisi na Robot kwa sababu atakuwepo bungeni muda wote

Pili badala ya kualika CHAWA bungeni ambao Spika hutumia muda mwingi wa Walipakodi kuwatambulisha na kuwasifia basi awe anaalikwa Robot mmoja mmoja kwa niaba ya CHAWA wote wa Lumumba na Vyama vya Upinzani

Nawatakieni Sabato Njema😂
 
KAMA ROBOT HALIWEZI KUSASAMBUA HALINA MAANA WATULETEE ROBOTS INAYOWEZA KUTUTOA STRESS MAJOBLES
 
Kimsingi Wabunge wa Viti maalum kazi yao kubwa ni kupiga makofi na kutoa sauti kubwa ya " NDIO" wakati wa kupitisha vifungu na kazi hii inaweza kufanywa kwa Ufanisi na Robot kwa sababu atakuwepo bungeni muda wote

Pili badala ya kualika CHAWA bungeni ambao Spika hutumia muda mwingi wa Walipakodi kuwatambulisha na kuwasifia basi awe anaalikwa Robot mmoja mmoja kwa niaba ya CHAWA wote wa Lumumba na Vyama vya Upinzani

Nawatakieni Sabato Njema😂
Akili leo imekaa sawa.

Hapana; hayo 'marobot' yasiishie kwa hao.
Tunataka hadi mkuu wetu wa nchi liwe 'robot' la AI, itakuwa ni bora zaidi Mawaziri karibu wote, kazi zao zitafanyika kwa ufanisi na ma-'robot'.
 
Kimsingi Wabunge wa Viti maalum kazi yao kubwa ni kupiga makofi na kutoa sauti kubwa ya " NDIO" wakati wa kupitisha vifungu na kazi hii inaweza kufanywa kwa Ufanisi na Robot kwa sababu atakuwepo bungeni muda wote

Pili badala ya kualika CHAWA bungeni ambao Spika hutumia muda mwingi wa Walipakodi kuwatambulisha na kuwasifia basi awe anaalikwa Robot mmoja mmoja kwa niaba ya CHAWA wote wa Lumumba na Vyama vya Upinzani

Nawatakieni Sabato Njema😂
Kama Watanzania baadhi ndiyo akili zao hizi kupongeza hata mambo ya hovyo na ya kitapeli nchi hii itakombolewa lini? Una sifu mtu aliyeleta roboti bungeni? Hilo roboti litasaidia Nini katika kuondoa Shida ya uhaba wa dawa hospitalini, kilimo duni,shule mbovu,barabara mbovu,Shida ya maji, na rushwa na ufisadi. Kama nchi kweli tulipaswa kutambia roboti ili Hali Bado tunajitafuta. ? Aliyeleta roboti bungeni ni mjinga, anayesifu ni mjinga mno
 
Kama Watanzania baadhi ndiyo akili zao hizi kupongeza hata mambo ya hovyo na ya kitapeli nchi hii itakombolewa lini? Una sifu mtu aliyeleta roboti bungeni? Hilo roboti litasaidia Nini katika kuondoa Shida ya uhaba wa dawa hospitalini, kilimo duni,shule mbovu,barabara mbovu,Shida ya maji, na rushwa na ufisadi. Kama nchi kweli tulipaswa kutambia roboti ili Hali Bado tunajitafuta. ? Aliyeleta roboti bungeni ni mjinga, anayesifu ni mjinga mno
We tutusa ukienda MOI kupasuliwa utashughulikiwa na Robot

Dunia ya kidigitali hii 😂😂
 
Back
Top Bottom