Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewaagiza Takukuru kumkamata DED wa Arusha na Watendaji wake wanaotuhumiwa kufisadi tsh 19 million za mwekezaji wa sekta ya Utalij Chamburo
Aidha RC Makonda amepiga Marufuku tabia ya maafisa wa TRA kupeleka Demand Notice za madai ya Kodi wakiwa...
Duh
Kama Wanaume ndio Wanamuziki wa Jazz band, Wanamuziki wa Kizazi kipya, Wachekeshaji, Waimba Gospel, maBank teller, Wahasibu na Shughuli nyingine soft soft ulitaka Wanawake wafanye kazi gani ilhali Zao mmezichukua ๐ผ
Ndio wameshapindua Meza hivyo bado Ngome na Pilato ๐
Ukifika Mafinga...
Ni ushauri tu kwa sababu kwa Sera za Chadema na hata sera za madhehebu fulani ya Wagalatia Zanzibar ni Jimbo
Muungano wa Kweli ni Ule wa Serikali 1 tukishindwa tuitafakari sera ya Chadema
Zanzibar ni Jimbo la KKKT wakiwa DMP
Zanzibar ni Jimbo la Anglican church nk nk na wanaokwenda vizuri tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.