92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 6,769
- 15,298
akili ndogo kama hizi ndio ccm wanazipendas
i ukamkamate huyo mwenye namba zako unalalamika nini sasa
akili ndogo kama hizi ndio ccm wanazipendas
i ukamkamate huyo mwenye namba zako unalalamika nini sasa
Kumbe yeye ndiye mwenye mamlaka ya kukamata si ndio?s
i ukamkamate huyo mwenye namba zako unalalamika nini sasa
MsukuleTundu Lissu anafanya kile wataalamu wanaita "exposure therapy" Kupigwa risasi sio mchezo.
Badala ya CHADEMA kumtumia kama kivutio cha kura za huruma, wamlipie therapy yake. Ndio maana anadai alipwe. Kuhudumia mtu kama Lissu na PTSD ni gharama kubwa sana.
Nawashauri wamuanzishie nyuzi za kuombewa ama za kumchangia kwa therapy na sio za kutengenezea gari. V8 lakini!
Hivi wewe umeshawahi kumiliki hata Vitz?Siyo kuishia kuongea tu ilitakiwa akatae kuchukua gari mpaka apewe na kurudishiwa plate Namba yake.
Inasikitisha sana. Sasa fikiria ukiwa mikononi mwao haki itatendeka?Kumbe ndio maana wanayaacha yanafanya vurugu barabarani. Nchi hii inasikitisha, aliyepewa jukumu la kusimamia sheria ndio namba moja kwenye kuvunja.
Haya magari ya hivi karibuni yenye namba A yanamilikiwa na akina nani?
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu. Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni...www.jamiiforums.com
Kwa Mchungaji Matsahi KKKT Kimara 🐼Msukule
Huyu anatumia baiskeli ya babu yake mpaka leoHivi wewe umeshawahi kumiliki hata Vitz?
Kadi si anayo ataliachaje?Jamaa anapenda ligi na show-off balaa
Sasa alikubali vipi kuchukua gari halina namba?
Nb: Ndio wanasheria wetu hawa
Simple things wqnashindwa kuliona daa
Kwani kipindi wanaichukua hiyo gari kuna mtu aliwaletea hiyo plate number?Sasa kwanini hakudai apewe plate Namba ikiwa lilikwenda na plate namba? .kwanini asingehoji palepale?
Kwani namba ndo zilipigwa risasi?Kwani ilifikishwa police ikiwa na plate number?
Hii kitu bhana
16 ni nini? 🐼Kwani namba ndo zilipigwa risasi?
akaripoti kweye mamlaka husika ndio hekimaSio kazi yake kumkamata ni kazi ya polisi, na polisi wametoaje hiyo number?
forum imevamiwa na upinde sana, saaa hii nayo ni coment?Kwani ilifikishwa police ikiwa na plate number?
Hii kitu bhana 😂😂😂
Wewe umeshirikisha akili kiwango gani? Taifa limejaa Pimbi sanaKazi ya kumkamata mtumiaji ni ya Polisi wakati mwingine shirikisha AKILI bro
Aisifuye mvua imemnyeshea 🐼forum imevamiwa na upinde sana, saaa hii nayo ni coment?
Wewe ni mjinga kweli. Yaani Lissu akamate? Huoni hao polisi wametenda jinai?