Huyu Dereva wa Gari la Toyota Landcruiser Hardtop Nyeupe lenye Plate Number ya T216 DHH ya Tundu Lissu uthubutu wa Kuitumia kautoa wapi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,509
Yaani mwenye Gari kapigwa risasi ambazo zilitaka Kumuua halafu bila hata huruma bado kuna Mtu sijui kwa Jeuri yake au Jeuri anayopewa kaona haitoshi akaamua kabisa kwenda na Kung'oa Plate Number ya Gari la Tundu Lissu ya T216 DHH na kuamua Kuitumia kama yake Dodoma hadi kuwa na Deni ya Kuegesha la Tsh 12,500/ sasa.

Hivi huyu Mtu ikitokea akahisiwa kuwa huenda Yeye ndiyo alikuwa anataka Kumuua Tundu Lissu atakataa na kubisha?
 
Polisi na vyombo vingine vya dola walishindwa kumkamata maana ni kosa la jinai,inafikirisha sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom