Yaani mwenye Gari kapigwa risasi ambazo zilitaka Kumuua halafu bila hata huruma bado kuna Mtu sijui kwa Jeuri yake au Jeuri anayopewa kaona haitoshi akaamua kabisa kwenda na Kung'oa Plate Number ya Gari la Tundu Lissu ya T216 DHH na kuamua Kuitumia kama yake Dodoma hadi kuwa na Deni ya Kuegesha...
Habari wakuu.. Natafuta Toyota landcruiser station wagon au pickup kwa ajili ya kuifanyia conversion kuwa safari car ya kubeba watalii. Tuma picha za nje, ndani na engine pamoja na details za gari kwa whatsapp 0656388678. Iwe model ya kuanzia mwaka 2000 na kuendelea. Bei isizidi milioni 40...
Bei za Toyota LandCruisers zenye uwezo wa 1VD zimepanda hivi karibuni wakati Toyota ilipotangaza aina ya 2024 LandCruiser 70 Series itakayoendeshwa na injini ya dizeli ya 1GD 2.8-lita yenye cylinder nne inayoungwa automatic gear box, lakini habari njema ni kwamba V8 inabaki kwa ajili ya wakati.
Toyota landcruiser 2003
Ni Manual inatumia diesel
Mileage 169,000
Bei ni Milioni 28 (fixed)
Ipo mikocheni dar es salaam
Haihitaji dalali
Mawasiliano 0782780980
Single Unit Remain
LandCruiser Double Cabin
Currently Registration EAE
DashBoard Kubwa
Mwaka 2015/2016
Gold In Colour
Low Milage OG
Manual Drive
1HZ Engene
Cc 4164
Diesel Engene
Gear 6 Reverse ya 7
Five Seater
Full Leather Seat Cover
4WD
Rim'sport & 4 New Tyres
Cd Radio
Price 128ml
Exchange...
Mzuka Wanajamvi,
Akilihutubia bunge la Ukraine leo kupitia video link, Waziri mkuu wa uingereza Boris Johnson ameahid atatuma msaada wa pauni za uingereza million 350 pamoja na magari, silaha na mawani ya kuonea gizan
Pamoja na hayo pia ameahid atatuma Toyota Landcruiser (Specializes Toyota...
KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU
**************
♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️
***************
🔅VEHICLE DESCRIPTION
Make : TOYOTA
Model ...
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha...
Meya wa manispaa ya Moshi Juma Raibu aliingia ofisi na Toyota Landcruiser ila baada ya wajumbe 18 kumkataaa huku 10 wakitaka aendelee na kazi idadi kubwa ikashinda kutokana na tuhuma kadhaa zinazomkabili ilibidi akubali kuvuliwa wadhifa wake na kurudi nyumbani na "toyo" a.k.a bodaboda huku...
Tukiwa safarini na wadau.. Tukasema tupime mwendo na Landcruiser.. Matokeo ndio kama hayo..!
Hii test tumeifanya kwa kipande kifupi.. Then tukapunguza mwendo Landcruiser ikapita.. Rpms kwetu zilikuwa zinacheza kwenye 6k..V8 yeye engine kubwa stamina ya kutosha.
Tahadhari spidi kali ni...
Modification=TURBO na INTERCOOLER kwa 1HZ.
FAIDA MBILI KUU ZA TURBO
1. Kuongeza nguvu ya engine
-Turbo huongeza msukumo wa hewa safi kuingia katika engine na hivyo kupelekea uchomaji wa haraka wa mafuta kisha kuiongezea engine uwezo wa kufanya kazi kubwa kwa muda mfupi,hapo ni katika...
Ndugu wanaJF naomba kufahamu kuhusu gharama za sasaivi za bei ya gari ya kwenda mbugani (Landcruiser). Kutokana na kushuka kwa safari za utalii kwa sasa bei za kukodi gari zimepungua?
Gharama kwa siku ni kiasi gani?
Nipo Arusha, natanguliza shukrani.
1991 model Japanese specs
Leaf flatted spring
Low mileage
New tyres by BF-GOODRICH TRIANGULAR MARKS MUD TERRAIN
Dashboard ndogo
PRICE IS 77 MILLION TSHS PLUS REGISTRATION
CALL/ WHATSAPP 0784225000
Recently registered number DT
Pick up single cabin African specs from Toyota Tanzania special for Africa
2010 model year
1hz diesel power with black top 16-valve
New four tires by GT-RADIAL mounted with original cruiser rims
Wide screen dashboard
The car is clean with a very immaculate condition...
Baadhi ya madiwani wa Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam wamedai Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Lusubilo Mwakabibi ametumia ubabe kuilazimisha kamati ya zabuni kununua gari la mkurugenzi, Toyota Land Cruser XVR, kwa TZS milioni 470, huku manispaa ikikabiliwa na changamoto nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.