Zumaridi ni mungu asiye na mbingu yake hadi anaenda kwenye mbingu ya Mungu mwingine

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Jul 19, 2021
2,797
8,039
Zumaridi ameudhihirishia umma wa Watanzania kuwa yeye ni mhitaji wa tiba ya afya ya akili.

Zumaridi amekuwa akijibasibu kwamba yeye ni mungu na amekuwa akipata wafuasi ambao wanamuamini na kumheshimu. Pia wapo ambao wamediriki kuachia shughuli zao zote za kimaendeleo ili tu wamtumikie Zumaridi mungu wao.

Hamna mungu asiye na maskani. Yahwe au Jehova maskani yake ni mbinguni, sakafu za dhahabu na huko ni kusifu na kuabudu.

Allah, maskani yake ni peponi, kwenye wanawake wazuri, mito ya pombe tamu na starehe za kila aina.

Shiva maskani yake ni mlima mtakatifu wa Keilash. Mlima ambao hamna kiumbe ambaye amewahi kuukwea..

Zumaridi yeye ni mungu wa namna gani asiye na maskani? Anaenda kutembea kwa Mungu wa mbinguni?

Sifa kuu ya mungu yeyote ni wivu. Kila mungu anataka aabudiwe yeye tu na si mwingine, ndio maana vita za kidini hazikomi kila mtu kumtetea mungu wake.

Zumaridi apelekwe haraka Mirembe. Asije akawachoma waumini wake kama Kibwetere.
 
Ona wafuasi wake wanavyosujudu kwa kubong'oa mungu wao akipita

Hawa akiwaambia wanywe sumu ili waende mbinguni kama Jim Jones alivyofanya kule Guyana au wajichome moto kama Kibwetere wa Uganda mara moja wanatekeleza.

Serikali itabidi wamwangalie kwa ukaribu maana ana potential kubwa ya kuleta maafa makubwa huko mbele ya safari.

Screenshot_20230317_074423_Chrome.jpg
Screenshot_20230317_074503_Chrome.jpg
 
Ona wafuasi wake wanavyosujudu kwa kubong'oa mungu wao akipita

Hawa akiwaambia wanywe sumu ili waende mbinguni kama Jim Jones alivyofanya kule Guyana au wajichome moto kama Kibwetere wa Uganda mara moja wanatekeleza....

Serikali itabidi wamwangalie kwa ukaribu maana ana potential kubwa ya kuleta maafa makubwa huko mbele ya safari.
View attachment 2561243View attachment 2561244
Serikali isikalie kimya mambo haya, mwisho wake ni vifo vya halaiki
 
Acha kupotosha, Allah hakai peponi, pepo na moto ameziumba kwa ajili ya wanadamu na majini, Allah yupo juu ya Arshi yake tukufu juu ya mbingu ya saba
 
Ona wafuasi wake wanavyosujudu kwa kubong'oa mungu wao akipita

Hawa akiwaambia wanywe sumu ili waende mbinguni kama Jim Jones alivyofanya kule Guyana au wajichome moto kama Kibwetere wa Uganda mara moja wanatekeleza.

Serikali itabidi wamwangalie kwa ukaribu maana ana potential kubwa ya kuleta maafa makubwa huko mbele ya safari.

View attachment 2561243View attachment 2561244
Hawa wafuasi ni wajanja,itakuwa wanapata kula ya bure na kulala bure,bila kujua gharama za maji na umeme.
 
Acheni kumuandama Zumaridi, kama anatakiwa kwenda Mirembe basi na kina Mwamposa, Geor Davie, Mzee wa Upako, Gwajima n.k nao wapelekwe kwani hawatofautiani naye sana.
Kila mtu ana uhuru wa dini nchi hii.
 
🤣🤣 mama D kuja uku

HESABU 24:17
Namwona, lakini si sasa; Namtazama, lakini si karibu; Nyota itatokea katika Yakobo Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli; Nayo itazipiga-piga pembe za Moabu, Na kuwavunja-vunja wana wote wa ghasia.

ISAYA 9:6
"Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani."



KUMBUKUMBU LA TORATI 13:1-5
1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
3 wewe usiyasikize maneno ya nabii yule, au yule mwotaji wa ndoto, kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, yuawajaribu, apate kujua kwamba mwampenda BWANA, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na roho zenu zote.
4 Tembeeni kwa kumfuata BWANA, Mungu wenu; mcheni na kushika maagizo yake na kuisikia sauti yake, nanyi mtumikieni na kushikamana naye.
5 Na yule nabii, au yule mwotaji wa ndoto, na auawe, kwa kuwa amesema yaliyopotoka juu ya BWANA, Mungu wenu, aliyewatoa katika nchi ya Misri, akakukomboa katika nyumba ya utumwa, apate yule mtu kukupotoa katika njia aliyokuamuru BWANA, Mungu wako, uiendee. Ndivyo utakavyouondoa uovu utoke katikati yako.
🤣🤣 mama D kuja uku
 
KUMBUKUMBU LA TORATI 13:1-5
1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
3 wewe usiyasikize maneno ya nabii yule, au yule mwotaji wa ndoto, kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, yuawajaribu, apate kujua kwamba mwampenda BWANA, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na roho zenu zote.
4 Tembeeni kwa kumfuata BWANA, Mungu wenu; mcheni na kushika maagizo yake na kuisikia sauti yake, nanyi mtumikieni na kushikamana naye.
5 Na yule nabii, au yule mwotaji wa ndoto, na auawe, kwa kuwa amesema yaliyopotoka juu ya BWANA, Mungu wenu, aliyewatoa katika nchi ya Misri, akakukomboa katika nyumba ya utumwa, apate yule mtu kukupotoa katika njia aliyokuamuru BWANA, Mungu wako, uiendee. Ndivyo utakavyouondoa uovu utoke katikati yako.
😁😁😁😍
 
KUMBUKUMBU LA TORATI 13:1-5
1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
3 wewe usiyasikize maneno ya nabii yule, au yule mwotaji wa ndoto, kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, yuawajaribu, apate kujua kwamba mwampenda BWANA, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na roho zenu zote.
4 Tembeeni kwa kumfuata BWANA, Mungu wenu; mcheni na kushika maagizo yake na kuisikia sauti yake, nanyi mtumikieni na kushikamana naye.
5 Na yule nabii, au yule mwotaji wa ndoto, na auawe, kwa kuwa amesema yaliyopotoka juu ya BWANA, Mungu wenu, aliyewatoa katika nchi ya Misri, akakukomboa katika nyumba ya utumwa, apate yule mtu kukupotoa katika njia aliyokuamuru BWANA, Mungu wako, uiendee. Ndivyo utakavyouondoa uovu utoke katikati yako.
Barikiwa sana
 
Back
Top Bottom