BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Zambia hii iliyokaribu na Zenji?Zambia wamepitia mengi!
Zambia hii iliyokaribu na Zenji?Zambia wamepitia mengi!
Kwamba ukisikia kishindo awamu ya 6 usishangaeHadithi hii ni tamu sana lkn hujatuambia inatufundisha nini.
Kweli wewe umelamba misuaki yote F 3 sio 3000 ni FFF ziwe 3Mimi Nina mia Tano na nimeelewa
Mambo tayari mkuu, ni ku-decode tu. Au kwako hauna DECODER hata ya continental?Kwa hiyo?
Au huku tayari mi bado nimelala?
HUyu alikua mrith wa aliyefariki, Somebody Mutharika yeye aliondolewa kwa uchaNaye alifia madarakani?
KizimkaziJF ipo Zambia pia,au nimfano kwa bibi kiziwa
Uchawa?HUyu alikua mrith wa aliyefariki, Somebody Mutharika yeye aliondolewa kwa ucha
🤣🤣🤣🤣huu ni uzi wa nne wa kukumbushia hali fulani. Fuatilia nyuzi zenye muelekeo wa kutoa taarifa fulani ambayo haiko wazi, waweza sema nusanusa, ila hakuna uthibitisho kitakachojiri. Hapa tumia akili kubwa kung'amua mambo
Nilielewa ila nika-joke. Ilihtaji D 2 kuielewa joke piaKweli wewe umelamba misuaki yote F 3 sio 3000 ni FFF ziwe 3
Dongobesh hukoNilielewa ila nika-joke. Ilihtaji D 2 kuielewa joke pia
Mbona kobaz/magaidi mnaua watu kila siku?Wagalatia na chadema mnaombea viongozi wafe, ni kwann ivi
French Football FederationKweli wewe umelamba misuaki yote F 3 sio 3000 ni FFF ziwe 3
Hapo sijaelewa nisiwe mwongo 😂😂Dongobesh huko
Ivi bado upo ule uzi?Ule wa dark days nao nauona juu juu
Ule mkuu utaendelea kutrend Hadi ukamilifu wa dahaliIvi bado upo ule uzi?