YATOKANAYO na taarifa za kamati mbili za makinikia ni kusaka fidia!

Kwamba ACACIA, wamekuwa wakiendesha shughuli zao illegally tangu 1998. Maswali ya kujiuliza hapa ni haya: Kwa nini wamekuwa wakiendesha shughuli zao bila kusajiliwa kwa kipindi chote hicho, ilihali vyombo vinavyohusika na usajili vipo, na wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu? Na serikali imekuwa inapokeaje tozo mbalimbali toka ACACIA, yaani kwa vipi serikali imekuwa inapokea malipo/pesa toka kwa watu wasiojulikana?
Naweka kalamu yangu chini.
 
Tatizo hawa viongozi wemekuwa panya wanang'ata na kupuliza wanajionyesha sanaa ni wema kwa wananchi kumbe bora hata hao ACACIA
 
Tume au Kamati ya Rais inasema hiyo inaweza kutoka Tanzania tu.

Barrick na Sasa Acacia walitumia Mgongo wa kampuni za hiyo migodi ambazo zenyewe zimesajiliwa.

Ambazo ni Bulyanhulu Gold mine,Buzwagi Gold mine na North Mara Gold mine
 
Kwamba ACACIA, wamekuwa wakiendesha shughuli zao illegally tangu 1998. Maswali ya kujiuliza hapa ni haya: Kwa nini wamekuwa wakiendesha shughuli zao bila kusajiliwa kwa kipindi chote hicho, ilihali vyombo vinavyohusika na usajili vipo, na wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu? Na serikali imekuwa inapokeaje tozo mbalimbali toka ACACIA, yaani kwa vipi serikali imekuwa inapokea malipo/pesa toka kwa watu wasiojulikana?
Naweka kalamu yangu chini.
Sasa kama tume ya wataalam wa sheria na uchumi imefanya search.....imekuja na majibu hayo..kwamba accacia hawakusajiliwa ....ww unabisha nini ......siajabu hata Brela hupajui.....ubishi mwingine ni wa kitoto sana...
 
Utasikia ni upinzani ndio ulisababisha.
Tena kuna wimbo wao wanauimba kuwa waliosababisha ni hao mliowapokea na chama chao kimebaki kisafi.

Ila cha kushangaza kila ufisadi unaoibuliwa wanatajwa waliobaki.
Jinsi inavyoonyesha uchunguzi huru ukifanyika viongozi wote wa ccm ukiwajumlisha nao waliokimbia wanapaswa kunyongwa
Maana hata magu nae huko nyuma anamachafu mengi ambayo hayaelezeki
 
Tume au Kamati ya Rais inasema hiyo inaweza kutoka Tanzania tu.

Barrick na Sasa Acacia walitumia Mgongo wa kampuni za hiyo migodi ambazo zenyewe zimesajiliwa.

Ambazo ni Bulyanhulu Gold mine,Buzwagi Gold mine na North Mara Gold mine
Well said Mkuu, ACACIA wao walitumia mgongo wa Makampuni ya awali yenye usajili baada ya kubadili jina hawakupata "certificate of compliance" ndio shida ilipo mkuu
 
Kwamba ACACIA, wamekuwa wakiendesha shughuli zao illegally tangu 1998. Maswali ya kujiuliza hapa ni haya: Kwa nini wamekuwa wakiendesha shughuli zao bila kusajiliwa kwa kipindi chote hicho, ilihali vyombo vinavyohusika na usajili vipo, na wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu? Na serikali imekuwa inapokeaje tozo mbalimbali toka ACACIA, yaani kwa vipi serikali imekuwa inapokea malipo/pesa toka kwa watu wasiojulikana?
Naweka kalamu yangu chini.
Huo Ni ujanja wa chama tawala,tukisema ovyooo,haina ladha,Ni ujinga wa mwisho,imekuwa kama mama,anaezaa watoto nje ya ndoa.huo Ni ukweli,na ukweli Mara nyengine unauma,mtanisaidia hapo kwa wenye fahamu zao.
 
sasa kama ACACIA hawana usajiri, tunasubiri nini?????????? situwakamate au kufunga migodi yao?? mbona tunawaomba tena??
 
Hatari sana inamaana watawala wote wa wanachukua hongo inauma sana alafu wanajifanya wazarendo kuliko wengine taifa letu sote nchi nimaliyetu sote sio ccm wala cdm inatosha sasa
 
Tuache kutumika wametuibia sana haiwezekani mzungu atoke ulaya aje tanzania achimbe dhahabu akaachwa tu kunakitu kinaendelea
 
Akina Karamagi watasumbuliwa tu ila mwisho wa siku wataachwa waendelee kuenjoy fedha walizotupiga . Unadhani hii haitawagusa JK na Ben Mkapa?Bahati mbaya sana JPM alishasema "waachwe wajipumzikie tu na atawalinda"

Nadhani kuliko kupoteza muda kutafuta nchawi, tuelekeze nguvu kwenye kuifumua mikataba yote ya kinyonyaji kwa kunegotiate terms mpya. Tuanze na huu wa IPTL.
Makaburi yote yafukuliwe tu. tusichague makaburi ya kufukua na Watanzania sote tuwe tayari kusaidiana kuyafukia
 
Back
Top Bottom