Wewe Sheikh Ponda uanze kwanza kwa kuwaambia Hamas wawaachie vijana wetu waliowateka

Sawa lakini mashoga wenzako watakula kichapo , hatutaki mashoga kwenye mji mtakatifu





Welcome to Tel Aviv, the gayest city on earth - The Boston Globe
FB_IMG_1699796994928.jpg
 
Huyu jamaa Ponda ni janga kwa taifa letu, hivi hawezi kuvuliwa uraia na kupelekwa Palestina kuishi huko na nduguze?
Propaganda za ccm zimewakaa vichwani mwenu ndio maana wanafanya kila ujinga na hamuwezi kuwahoji, mkiogopa kupelekwa Burundi. Haki mlizo nazo katika Katiba mnajinyima wenyewe, na wajibu wenu hamuujui, ccm wanakazia hapo hapo kwenye udhaifu wa WaTz.
Kama Sheikh anaandamana kupinga upande mmoja, na wewe andamana kupinga kwengine. Ni kuandamana tu, hamna vurugu labda waaandamanaji wakubwa ccm, polisi waamue kuanzisha vurugu.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Kuna songi moja linaitwa “Maalim Ponda” la msanii wa hiphop wa Tanzania bwana Theobald Mutalemwa au Nash MC au Maalim Nash.

Nalisikiliza huku namtafakari Sheikh Ponda anavyotumia uhuru wake wa kikatibana sheria za nchi akitafsiri misimamo yake.

“Niponde nisiponde!?”, watu wanaitikia “maalim Ponda”
 
Cha msingi, Israel(Nina mashaka kama ni wale taifa teule), warudishe ardhi ya Palestine, wajiondoe West Bank, na Gaza, ili wapalestina wajitawale wenyewe,na wapalestina wasaidiwe kuwekewa mfumo mzuri wa siasa,sio hawa islamic fundamentalist, Islamic jihad, Fatah, na Hamas,
Hivi vikundi vinapewa msaada na Iran, na Qatar ili kuchafua Hari ya hewa mashariki ya kati,
U tawala kama wa Taliban kule Afghanistan, ni balaa kwa mustakabali wa middle East,
Wala mfumo kama wa Hezbollah kule Lebanon, haufai, nchi moja majeshi mawili, una jeshi la nchi secural, harafu unakuwa na chama cha siasa chenye mlengo wa kidini, tena kina military wing! Hii hapana,
Palestina iwe kama Turkey, Qatar, au, Pakistan, Mambo ya political islam hayafai nai balaaa tupu,
Kule Libya, kulikuwa na mtaa mmoja, maarufu Sana na umeendele wa kiyahudi, Magaidi walipomuua ghadafi, wakatangsza Sharia!
Na Sharia sio rafiki kabisa wa Imani zingine, haziwezi, kuishi, pamoja,jews wote ilibidi wakimbie Libya, na kwenda ughaibuni, richa ya kwamba waliahiriki katika kupambana kumuondoa Ghadafi.
Yanayotokea Sudan mko kimyaa

Nywiiii

Ova
 
Back
Top Bottom