Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,449
- 4,359
Siku ya Leo Chadema walitangaza kuonyesha dunia wao ni nguvu ya Umma na waliripoti wanachama zaidi ya 10,00 kusafiri kutoka mikoa mbali mbali kuja mahakamani Kisutu
Cha Kushangaza wale tuliombiwa walijaza Hotel za Kariakoo, Posta awakuonekana Kisutu
Niendelee kutoa Rai Chadema endeleeni kujidanganya mnakubalika
Wananchi walikua wanaendelea na shughuli zao kama kawaida na hawa Time na upumbavu wenu
GM
Kisutu Dsm
Cha Kushangaza wale tuliombiwa walijaza Hotel za Kariakoo, Posta awakuonekana Kisutu
Niendelee kutoa Rai Chadema endeleeni kujidanganya mnakubalika
Wananchi walikua wanaendelea na shughuli zao kama kawaida na hawa Time na upumbavu wenu
GM
Kisutu Dsm