MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
Hawa walishajikana wakasonga mbele, hawakutaka kushiriki unafiki huu wa Bw.Magufuli.Mnafiki kama Lowasa na Sumaye
Wangekuwa wanafiki wangebaki CCM. Lakini wameamua kuwa sehemu ya wapambanaji.