Kuelekea 2025 Wasomi na wahitimu wa vyuo mtaani, nafasi za uongozi Serikali za mitaa na udiwani 2025 zinawahitaji sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
9,639
13,004
Kuna wasaka fursa za ajira wenye zaidi ya miaka mitano mijini wanapambana, lakini kwa bahati mbaya hakijaeleweka mpaka sasa hivi.

Poleni sana, na pongezi nyingi kwa bidii, ustahimilivu, subra na moyo wa kutokukata tamaa katika kutimiza ndoto zako.

Hebu tafadhali vijana ndugu zangu, changamkieni fursa hii muhimu ya wazi kabisa, mjitokeze na kujipambanua uwezo, ubunifu, bidii, umahiri na umakini wenu kisomi katika kuchochea mabadiliko ndani ya jamii zinazo wazunguka vijijini au mijini...

Jitokezeni kwa wingi bila woga, wala hofu kugombea nafasi za uongozi katika mitaa na vijiji huko vijijini kwenu mlikotoka, na wale wa mijini nao fanyeni vivyo hivyo. Town pagumu sana hivi sasa na si vizuri ujilazimishe kujibana na kupoteza muda sana huko uliko na fursa kama hizi ukazilazia damu.

Lakini pia baadae 2025, upo uchaguzi mkuu. Hapa nako ipo fursa ya wazi kabisa ya udiwani kwaajili yako. Umahiri wenu wa kisomi unahitajika sana katika kupanga na kuamua uelekeo wa halmashauri nchini.

Mwende mkazisimamie halmadhauri, mwende mkazijenge halmashauri, mwende mkaziongoze halmashauri.

Inahitajika baraza la madiwani la wasomi.

Nimewasanua mapama ili muanze kwenda kujipanga mapema pia huko vijijini kwenu mlikotoka. Achana aibu, wala usione haya. Hata mbuyu ulianza kama mchicha 🐒

Mambo mengine tutasasidiana kadiri inavyowezekana.

Nawapenda sana vijana wenzangu 🐒
 
Hawa vijana wa mlegezo suruali zimebana mkanda makalioni ndo wataweza kazi za serikali za mitaa? Hizi ni nafasi za wanaojua kutumia kamati za ufundi! Ndo maana wengi ni wakongwe au ushikwe mkono na kamati ya ufundi! Vinginevyo tafuta kazi nyingine!
 
Hawa vijana wa mlegezo suruali zimebana mkanda makalioni ndo wataweza kazi za serikali za mitaa? Hizi ni nafasi za wanaojua kutumia kamati za ufundi! Ndo maana wengi ni wakongwe au ushikwe mkono na kamati ya ufundi! Vinginevyo tafuta kazi nyingine!
Wazo zuri mkuu hakika umenena vizuri kutukumbusha vijana sehemu yetu katika jamii hasa sie vijana wasomi kuwa chachu ya mabadiliko katika mfumo wa uongozi.

Ni vizuri vijana welevu kuongeza chachu,tija katika taasisi hii.

Ni vyema vijana wengi kujitokeza katika chaguzi zijazo kwa wingi kugombea nafasi hizo
 
Hawa vijana wa mlegezo suruali zimebana mkanda makalioni ndo wataweza kazi za serikali za mitaa? Hizi ni nafasi za wanaojua kutumia kamati za ufundi! Ndo maana wengi ni wakongwe au ushikwe mkono na kamati ya ufundi! Vinginevyo tafuta kazi nyingine!
vijana wanaweza sana tu, licha ya mapungufu machache ya ujana walio nayo,

lakini taratibu wanaweza kubadilika na kua viongozu wazuri sana sasa , na wakati ujao bungeni na serikalini pia, wakiwa tayari wanauzoefu, wanajua kazi na majukumu wanayopaswa kufanya kwa weledi na maslahi mapana kwa waTanzania wote :whatBlink:
 
Kuna wasaka fursa za ajira wenye zaidi ya miaka mitano mijini wanapambana, lakini kwa bahati mbaya hakijaeleweka mpaka sasa hivi.....

Poleni sana, na pongezi nyingi kwa bidii, ustahimilivu, subra na moyo wa kutokukata tamaa katika kutimiza ndoto zako....


Hebu tafadhali vijana ndugu zangu, changamkieni fursa hii muhimu ya wazi kabisa, mjitokeze na kujipambanua uwezo, ubunifu , bidii, umahiri na umakini wenu kisomi katika kuchochea mabadiliko ndani ya jamii zinazo wazunguka vijijini au mijini...

Jitokezeni kwa wingi bila woga, wala hofu kugombea nafasi za uongozi katika mitaa na vijiji huko vijijini kwenu mlikotoka, na wale wa mijini nao fanyeni vivyo hivyo. Town pagumu sana hivi sasa na si vizuri ujilazimishe kujibana na kupoteza muda sana huko uliko na fursa kama hizi ukazilazia damu...

Lakini pia baadae 2025, upo uchaguzi mkuu. Hapa nako ipo fursa ya wazi kabisa ya udiwani kwaajili yako. Umahiri wenu wa kisomi unahitajika sana katika kupanga na kuamua uelekeo wa halmashauri nchini.
Mwende mkazisimamie halmadhauri, mwende mkazijenge halmashauri, mwende mkaziongoze halmashauri...
Inahitajika baraza la madiwani la wasomi ....

Nimewasanua mapama ili muanze kwenda kujipanga mapema pia huko vijijini kwenu mlikotoka. Achana aibu, wala usione haya. Hata mbuyu ulianza kama mchicha 🐒

Mambo mengine tutasasidiana kadiri inavyowezekana .
Nawapenda sana vijana wenzangu 🐒
Mtaani hawachagui watu wenye vyeti ila ni wajinga.

Mtaani wanachagua watu wenye hekima na wengi wao ni darasa la saba.

Mimi ni mmjawapo ambae siwezi pigia kura Vijana wenu wenye vyeti ila akili hawana.

Jamaa yangu ni std 7 ila Kijiji kinampigania awe Mwenyekiti wao.
 
Vijana wamewezeshwa na serikali ya ccm sasa ni bodaboda
hiyo iwe ni sehemu kudogo tu....

but ukitaka kupata wabunge na viongozi wazuri zaidi serikalini, ni muhimu sana kua na msingi....

ukianzia hapa chini mtaani na kwenye kata,
utaaminika na utakua na uelewa na uzoefu wa kutosha juu ya matatizo na changamoto za wanainchi ukiwa kuonhozi hapo juu, kuliko yule alieanzia uongozi kwenye uwaziri hali ya kua hana uzoefu wa huku chini...... :whatBlink:

na itasaidi kuondokana na madharau na kejeli za mitandaoni dhidi ya viongizi flani flani nchini, kumbe tatizo kiongozi huyo hana uzoefu na wala hajui matatizo halisi ya mwananchi wa chini kwasababu hajawahu kuishi wala kuongoza watu wa huko ground:NoGodNo:
 
Hawa vijana wa mlegezo suruali zimebana mkanda makalioni ndo wataweza kazi za serikali za mitaa? Hizi ni nafasi za wanaojua kutumia kamati za ufundi! Ndo maana wengi ni wakongwe au ushikwe mkono na kamati ya ufundi! Vinginevyo tafuta kazi nyingine!
Ndio nimemwambia mtoa mada, makaratasi hayafanyi mtu kuwa na akili,uwezo Wala hekima,huo ujinga watafanya huko vyuoni kwao.
 
Mtaani hawachagui watu wenye vyeti ila ni wajinga.

Mtaani wanachagua watu wenye hekima na wengi wao ni darasa la saba.

Mimi ni mmjawapo ambae siwezi pigia kura Vijana wenu wenye vyeti ila akili hawana.

Jamaa yangu ni std 7 ila Kijiji kinampigania awe Mwenyekiti wao.
vijana webgi wasomi wanaishi mtaani, hawajitokezagi kwenye nafasi hizi lakini ukweli ni kwamba wanahitajika sana....

wito wangu waache uoga, waache aibu, wanainchi wasipokuelewa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, lazima watakuelewa uchaguzi wa udiwani 2025. muhimu usipotee wala usiwatupe :DisGonBGud:
 
vijana webgi wasomi wanaishi mtaani, hawajitokezagi kwenye nafasi hizi lakini ukweli ni kwamba wanahitajika sana....

wito wangu waache uoga, waache aibu, wanainchi wasipokuelewa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, lazima watakuelewa uchaguzi wa udiwani 2025. muhimu usipotee wala usiwatupe :DisGonBGud:
Labda huko kwenu Daslaam ila sisi kwetu mtaani tunachagua mwenye hekima sio majobless ambao kutwa kucha wanawaza Yanga na Simba na wamepanga.

Yaani umepanga chumba nani akuchague?
 
Ndio nimemwambia mtoa mada, makaratasi hayafanyi mtu kuwa na akili,uwezo Wala hekima,huo ujinga watafanya huko vyuoni kwao.
msisutizo wangu uko palepale,

vijana wajitokeze kwa wingi na hayo makaratasi yao,
na ndio yatakua chanzo na msibgi wa mabadiliko ya fikra na maamuzi ya wanainchi mitaani na vijijini. Mitaa na kata zinaendelea, lakini polepole sana, kwasababu zinanazoongoza mitaa ai halomashauri ni flat, hakuna hoja wala maswali magumu dhidi ya waliopo madarakani huko mtaani, na kwahivyo bora liende tu....

No.
we cant go that way any more, we must start somewhere in transforming social, political and economic status of mwanainchi, from kule chini by hawa wasomi huku mtaani kwa kuchangamkia fursa hizi mtaani, na taratibu tutabadilisha mindeset na imani ya kwamba makaratasi sio issue na kwamba vijana hawawezi kitu :NoGodNo:
 
Labda huko kwenu Daslaam ila sisi kwetu mtaani tunachagua mwenye hekima sio majobless ambao kutwa kucha wanawaza Yanga na Simba na wamepanga.

Yaani umepanga chumba nani akuchague?
mie dar es salamu nilishaga ondoka nipo jimbobi nimejaa tele muda huu,
na niliwahi kua balozi wa nyumba kumi na mjumbe wa mtaa kwa kipindi kirefu kidogo hapo dar nikiwa nyumba ya kupanga na i was very powerfull na nilishawahi kua endorsed kua mwenyekuti wa mtaa but hekima ikanielekeza nimalize kwanza shule ....

na wajumbe wengi tu walikua wakiishi nyumba za kupanga mbona na wengine walikua wakiishi kwenye nyumba za wazazi:pedroP:
 
Back
Top Bottom