Yupo wapi Rais Samia?

Kindus

JF-Expert Member
May 14, 2014
3,423
2,113
Uko wapi mama yangu kwenye vilio na misibani hatukuoni

Mbwa wako wakali uliowapa mafunzo huko ulaya ambao unawalisha kwa fedha ulizotuchangisha kwa maguvu mbona Sasa wanawang'ata na kuwaparura wenetu!!

Nilifikiri utaitikia Ile milio mikali ya kengele za kanisa zilizotishia kupasua Ngoma za sikio la bi mkubwa Tanganyika umejificha hata hatukukuona ukiungana nasi kwenye masononeko ya mateso ya mwanakondoo ubaoni

Mama Abduli shikamoo huko kuliko msalimie yule mkwe wetu mpe TAARIFA kuwa Mrisho wa Kule Arusha ni mtu wa kulalamikalalamika kama kitindamimba

Mama fungia mbwa wako wasitung'ate eti kwa sababu tu tuliamua kuhama nyumbani.
 
Uko wapi mama yangu kwenye vilio na misibani hatukuoni

Mbwa wako wakali uliowapa mafunzo huko ulaya ambao unawalisha kwa fedha ulizotuchangisha kwa maguvu mbona Sasa wanawang'ata na kuwaparura wenetu!!

Nilifikiri utaitikia Ile milio mikali ya kengele za kanisa zilizotishia kupasua Ngoma za sikio la bi mkubwa Tanganyika umejificha hata hatukukuona ukiungana nasi kwenye masononeko ya mateso ya mwanakondoo ubaoni

Mama Abduli shikamoo huko kuliko msalimie yule mkwe wetu mpe TAARIFA kuwa Mrisho wa Kule Arusha ni mtu wa kulalamikalalamika kama kitindamimba

Mama fungia mbwa wako wasitung'ate eti kwa sababu tu tuliamua kuhama nyumbani.
Huyu mbibi hatufai kabisa!
 
Uko wapi mama yangu kwenye vilio na misibani hatukuoni

Mbwa wako wakali uliowapa mafunzo huko ulaya ambao unawalisha kwa fedha ulizotuchangisha kwa maguvu mbona Sasa wanawang'ata na kuwaparura wenetu!!

Nilifikiri utaitikia Ile milio mikali ya kengele za kanisa zilizotishia kupasua Ngoma za sikio la bi mkubwa Tanganyika umejificha hata hatukukuona ukiungana nasi kwenye masononeko ya mateso ya mwanakondoo ubaoni

Mama Abduli shikamoo huko kuliko msalimie yule mkwe wetu mpe TAARIFA kuwa Mrisho wa Kule Arusha ni mtu wa kulalamikalalamika kama kitindamimba

Mama fungia mbwa wako wasitung'ate eti kwa sababu tu tuliamua kuhama nyumbani.
She is nodding her head for the well-done job! as it was for Kibao! She has never demanded the report. what conclusion can be drawn from there?
 
Back
Top Bottom