Acha kujidanganya ww ufuska siku hizi huwa unaku mobilized na mitandao saña, usichukulie mfano wa dar, dar kunamchanganyiko wa watu tofauti tofauti, lakini mbona hata mwanza kumechafuka tuu, tatizo ni mitandao ambayo sisi tunaiita maendeleoNa pia maeneo yenye wahislam wengi ndo ufuska kibao
Kanda ya ziwa hamna hufuska mwingi kwasababu waislam wachache saana
Labda ni mkeo tu haieshimu ndoa,sisi wetu wanaheshimu ndoa tena sana.Aibu yako umeoa malaya.Hahahaah mi ni mkristo bwana naitwa Bernard tena Anglican lakini ni maoni yangu baada ya kuchunguza na kuangalia familia nyingi acheni uwoga hakuna uchochezi hapa ni mawazo tu hahahahaha
mmmmh muda sio mrefu kuna mmoja ameniambia ananipa 0713 kesho,rudia uafiti wakoKatika chunguza chunguza yangu nimekuja kugundua kuwa wadada wa kiislamu wanaheshimu zaid ndoa yao kuliko ambavyo wadada wa kikristo hufanya katika ndoa zao.
Ifahamike kuwa uchunguzi huu ni wa kijumla si wa mtu mmoja mmoja, haimainishi kuwa hakuna wadada wa kikristo wanaoheshimu ndoa zao la hasha wapo tena wengi sana, na pia wapo madada wa kiislamu wasioheshimu ndoa zao lakini katika takwimu za ujumla madada wa kiislamu hujali ndoa zao kuliko wa kristo.
Sababu kubwa niliyobaini ni ule upendeleo waliopewa wa waume zao kuweza kuoa wanawake mpk wanne. Hali hiyo huwafanya wanawake wa kiislamu kujali na kuheshimu ndoa yao kwa kiwango kikubwa lengo lao kubwa ni kuwavutia waume wao wasipate hamu wala wazo la kutafuta mwingine.
Hali hii huwa tofauti kwa madada wa kikristo walioambiwa na imani ya dini kuwa mme wake haruhusiwi kuoa tena hivyo mara nyingi hujibweteka na kutoifanyia ndoa yake vyema
Maelezo ya juu kuwa si wote kisha takwimu ya ujumla mbona hapo mkuu huhitaji mpk uwe na degree kuelewa hata ambaye hajosoma hata darasa moja anaelewe we umesoma kwa pupa na mihemko tuliza akili soma kama unasoma kitabu tu utaelewa.Labda ni mkeo tu haieshimu ndoa,sisi wetu wanaheshimu ndoa tena sana.Aibu yako umeoa malaya.
Tabia haitazami diniKatika chunguza chunguza yangu nimekuja kugundua kuwa wadada wa kiislamu wanaheshimu zaid ndoa yao kuliko ambavyo wadada wa kikristo hufanya katika ndoa zao.
Ifahamike kuwa uchunguzi huu ni wa kijumla si wa mtu mmoja mmoja, haimainishi kuwa hakuna wadada wa kikristo wanaoheshimu ndoa zao la hasha wapo tena wengi sana, na pia wapo madada wa kiislamu wasioheshimu ndoa zao lakini katika takwimu za ujumla madada wa kiislamu hujali ndoa zao kuliko wa kristo.
Sababu kubwa niliyobaini ni ule upendeleo waliopewa wa waume zao kuweza kuoa wanawake mpk wanne. Hali hiyo huwafanya wanawake wa kiislamu kujali na kuheshimu ndoa yao kwa kiwango kikubwa lengo lao kubwa ni kuwavutia waume wao wasipate hamu wala wazo la kutafuta mwingine.
Hali hii huwa tofauti kwa madada wa kikristo walioambiwa na imani ya dini kuwa mme wake haruhusiwi kuoa tena hivyo mara nyingi hujibweteka na kutoifanyia ndoa yake vyema
Hali ya hela?=hali ya hewa?Hali ya hela inachafuka sasa hivi! Inaelekea mleta mada wewe ni mwalimu wa madrasaunapigia debe unachokiamini!
Hali ya hela?=hali ya hewa?
Kuna tofauti kati ya heshima na woga.Ukijua hv vitakusaidia.
Kwahiyo tufanyeje?Katika chunguza chunguza yangu nimekuja kugundua kuwa wadada wa kiislamu wanaheshimu zaid ndoa yao kuliko ambavyo wadada wa kikristo hufanya katika ndoa zao.
Ifahamike kuwa uchunguzi huu ni wa kijumla si wa mtu mmoja mmoja, haimainishi kuwa hakuna wadada wa kikristo wanaoheshimu ndoa zao la hasha wapo tena wengi sana, na pia wapo madada wa kiislamu wasioheshimu ndoa zao lakini katika takwimu za ujumla madada wa kiislamu hujali ndoa zao kuliko wa kristo.
Sababu kubwa niliyobaini ni ule upendeleo waliopewa wa waume zao kuweza kuoa wanawake mpk wanne. Hali hiyo huwafanya wanawake wa kiislamu kujali na kuheshimu ndoa yao kwa kiwango kikubwa lengo lao kubwa ni kuwavutia waume wao wasipate hamu wala wazo la kutafuta mwingine.
Hali hii huwa tofauti kwa madada wa kikristo walioambiwa na imani ya dini kuwa mme wake haruhusiwi kuoa tena hivyo mara nyingi hujibweteka na kutoifanyia ndoa yake vyema
Duu unaijua Mbeya? Ndio mkoa unaongoza kwa madhehebu na makanisa mengi tz lakin fuatilia ufuska na mambo mengine ya ajabu so hoja yako haina mashiko.Na pia maeneo yenye wahislam wengi ndo ufuska kibao
Kanda ya ziwa hamna hufuska mwingi kwasababu waislam wachache saana
Ukwel kasoro robot.......Na pia maeneo yenye wahislam wengi ndo ufuska kibao
Kanda ya ziwa hamna hufuska mwingi kwasababu waislam wachache saana