Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,551
Wakileta mbwembwe wanajua kuwa mzee lazima atafute plan B is unajua tena tuna option mpaka 4 za kuongeza mke
Duhhhhhhhhhhh! Niliuliza mama mmoja hivi ni kwanini wanne akajibu eti quran inasema ni ili huyo mwanaume akifa apate kulalia pande zote 4 mbele nyuma ubavu wa kushoto na kulia
Nasio kulalia upande mmoja atachoka
Khaa!!