Wanawake wa Kichagga na Kihaya mtatumaliza

Status
Not open for further replies.
Hao jamaa wanatesa ndugu, acha kabisa. Unakuta wazazi wake walimsomesha kwa kujinyima, cha ajabu jamaa anafanikiwa, kumnunulia mama yake japo kanga tu hakuna, wadogo zake wanahitaji ada hata elfu 20, au hela ya kununua tu uniform za shule hawapati, lakini upande wa mke wa kichagga au kihaya anasomesha ndugu zake hata 3, tena private schools! Hili swala ni kama hati ya dharura bungeni![/QUOTE


ni ukweli zamani wanawake wa kichaga walikuwa wanaendeleza kwao,, lakini sasa wameshtuka kuona wanatumika tu huko mwakao, maana wazazi hupendelea watoto wa kiume...wamejirudi sana na wanalea vizuri sana sana familia zao na hata wakwe zao...
 
Ukweli ni kwamba wachaga, wahaya na wahehe na wanawake wa makabila mengine wachache wa kubahatisha ndio wife materials kwa hapa Tanzania.

Ukiwa mwanaume uliye pevuka, unajielewa akilini uwezi kuoa msambaa, mgogo, mrangi, mnyaturu, mzaramo, mmakonde na makabila mengineo.

Sasa hivi watu tunaoa makabila yanayojishughulisha, wenye kupenda maendeleo.

Sababu ya kurestishana in peace sii kweli, ni dhana potofu.

Ila kama wewe ni mwanaume dhaifu, mvivu, una mfume dume, huna future, una wivu,mariao kamwe achana kuoa hayo makabila wachaga na wahaya, utakimbia wewe mwenyewe familia yako. Bora muhehe anauvumilivu
Nani mvivu kati yako na hayo makabila mengine?mwanaume unapaswa kutafuta kwa nguvu na juhudi kuanza kutafuta mwanamke eti msaidiane ni ulofa kama sio ukihio,mwanaume rijali anatafuta sio kusaidiana.
 
ukiwa mtafutaji ukipatamwanamke wa kichaga oa, wanaforce na wako very strategic ktk kutafuta maendeleo hasa akiwa na shule kichwani

wana financial discipline ya hatari. shuhuda mi mwenyewe mke wangu mchaga wife anamchango mkubwa sana ktk mafanikio ya familia yetu kuanzia nyumba, viawanja, mashamba mpaka kampuni ananipa mzuka wa kupambana kila siku

Na mimi ningependa kuona mtu anaoana na mchgga wakiwa wote hawana kitu na kupigana mpaka wafanikiwe, wachagga na wahaya ninaowaongelea hawako hivyo, naongelea wale ambao wananyatia wanaume wenye mafanikio, atakutafuta kwa mbinu zote ilimradi una kitu anachokitafuta mpaka akutie mkononi, halafu kwenye maisha anakuwa na umimi wa kujiangalia yeye au kwao tu!
 
poleni zenu mwanamke si kabila ni tabia. kuna watu wanavyooa wanaangalia mengi. kuna wengine wanaangalia mpk quality ya watt kuanzia akili mpk sura. any way mimi ni mchanganyiko wa makabila manne na niko very proud. watu wakichanganya damu ni vizuri kuna somebad characters tunaziondoa na our physical features zinabadilika hata ukiangalia watt wengi wa sasa hivi hawana yale mapua makubwa ya kibantu yaani kabla hujaona uso unaona puathanks to kuchanganya damu.
hahahaha :D :D

halafu sio wanaume tu wanaoangalia quality ya watoto itakuwaje.
ngoja na mimi nitafute wa kupoteza huu mpua wangu kwenye ukoo
 

Mkuu mimi bado nashuhudia tabia za wanawake wa kichagga tena Dar, wanaume wanaendeshwa kama maguta hadi vichwa vinauma. Ni wababe na mabaunsa, hata kama kimwanamke ni kidogodogo kinajitutumua kama nini wkati kinaolewa kilionekana kipole!
 
Mkuu mimi bado nashuhudia tabia za wanawake wa kichagga tena Dar, wanaume wanaendeshwa kama maguta hadi vichwa vinauma. Ni wababe na mabaunsa, hata kama kimwanamke ni kidogodogo kinajitutumua kama nini wkati kinaolewa kilionekana kipole!
Pilipili usiyoila yakuwashia nini? Kila mmoja ana vipaumbele vyake kwenye kutafuta mwenza, kama wewe huwataki hao wachagga na wahaya kuna wenzio wanawatafuta kwa udi na uvumba. Usitake watu wafuate hayo unayotaka wewe... Wewe una chuki na husda baada ya kuona misaada ya ndugu na marafiki imekatika baada ya kuoa hayo makabila. Una kila dalili za kuwa mchawi uzeeni
 
Nimeikataa kwa sababu sio kweli kwamba kila anayefanikiwa ana mwanamke, au ana mwanamke mwema, kuna watu kwenye ndoa zao kila siku ni ngumi lakini ni matajiri mno, ukiwaona kwa nje lazima uamini wanaishia kwa amani na upendo, lakini looooh!
Ndio ukatae kwa kutokwa mipovu miiingi kama unakufa leo vile
 
Mbona wamedodea hapo home mpaka wakutie hasira kiasi cha kuponda wa wenzako?

Akina nani wamedodea? Nimeandika wanawake wa kichagga na kihaya wanapenda kuwinda wanaume wenye mafanikio, kwa maana hiyo wao hawaangalii upendo au ndoa, wanataka kujiattach na hela, elimu au vitu vingine. Wanawake wa kabila langu wanaolewa na mtu kwa kuangalia maadili yake zaidi na sio rasilimali.
 
Pilipili usiyoila yakuwashia nini? Kila mmoja ana vipaumbele vyake kwenye kutafuta mwenza, kama wewe huwataki hao wachagga na wahaya kuna wenzio wanawatafuta kwa udi na uvumba. Usitake watu wafuate hayo unayotaka wewe... Wewe una chuki na husda baada ya kuona misaada ya ndugu na marafiki imekatika baada ya kuoa hayo makabila. Una kila dalili za kuwa mchawi uzeeni

Yaani hujaona utapeli unaofanywa na hao wanawake au unajifanya kichwa ngumu? Mfano kuna mtu ameoa mwanamke wa kichagga, anasomesha ndugu wa mkeo wakati wadogo zake hawasaidii hata senti moja, wewe unaona ni sawa? Au mme wa mtu kutelekeza familia na kuwa na mchepuko wa kichagga au kihaya? Wewe unaona ni sahihi? Acha mambo hayo ndugu yangu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom