Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Hafai kwasababu yupo na diamond mbona hii hoja ni dhaifu wewe ulitaka awe na nani ili aonekane mwema?
Ngano na Magugu haviwezi kuhifadhiwa pamoja, vile vile mpunga na pumba haviwezi wekwa pamoja. Usifunge nira na wasioamini.
 
Ngano na Magugu haviwezi kuhifadhiwa pamoja, vile vile mpunga na pumba haviwezi wekwa pamoja. Usifunge nira
Hakuna binadamu ambao hawafanyi dhambi hata mchungaji unakuta anakula waimba kwaya na anaiba kanisani sadaka.Sema kinachowatesa nyie mnatoa hukumu kwa macho wewe unayemsema diamond unaweza kukuta wewe ndio unadhambi kuliko hata sema hujulikani.Yesu angekuwa anawabagua watu kungekuwa na wokovu
 
Malaya haachi asili yake yule anataka afanye umalaya kwa uhuru hana la kujitetea bora angesema mme wake anamnyanyasa ila kusema Mungu kampa maono ni upuuzi
 
Wanaume tuliojazwa ujinga eti hakuna kama mama,mama ni mama? Mkeo ni mama Yako? Acha watunyooshe tumejaa ujinga sana
 
Yani huyu dada ananikera sana hakuna hata mtu wa kumshauri afunge huo mdomo wake
Tunapopenda mara nyingi hatuangalii ubongo wa muhusika umebeba nini, macho ni kwenye sura na umbo lake,ukishamuweka ndani ndio sasa kilichoko kwenye ubongo kinafumka hapo ndio sasa vurugu linapoanzia...
 
Wanaume tuliojazwa ujinga na. eti hakuna kama mama,mama ni mama? Mkeo ni mama Yako? Acha watunyooshe tumajaa ujinga sana
Bora kumuita mana kuliko rais,cheo cha urais kimempyaya mama yetu
 
Inasikitisha sana sweetheart, ila mara zote kwenye mambo kama hayo best option ni kukaa kimya kama jamaa anavyofanya...
Sisi wazaramo ndio maana hatufi kwa presha ,n8ngemsingizia kitu kizito mpska nchi ingetikisika
 
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.

Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi

Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalilisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.
when God want to destroy someone,make him or her mad,mwache shusho afanye atakalo,maana anguko lake laja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom