Wanajeshi wa Rwanda wanakufa kwa wingi, Pamoja na Serikali ya Rwanda kukana uwepo wa majeshi yake DRC

The mission 2017

JF-Expert Member
Aug 14, 2017
1,683
3,110
Habari wana bodi.

Kutoka Vyanzo vya habari vya The guardian, Wanaandika yakua Rwandan troops wanakufa kwa wingi, wanasafirishwa na kuzikwa kwa siri sana hapo Rwanda.

Pia kinaeleza kua wazazi wa hao wanajeshi hawapewi taarifa za kina juu ya vifo vya watoto wao ila wanaambiwa "they died in a battle field"

The guardian inaeleza pia, Kuna wakati inakua ngumu ku rudisha miili hyo ya wanajeshi rwanda kwa familia zao, Ambapo wanafamili wanapewa empty coffin wazike, kwa usimamizi wa jeshi na hakuna kuaga mwili.

Pia troops zinakua deployed DDC kwa siri sana, Ambapo The guardian ina quote simu moja wapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda kwenda kwa familia yake ikisema "Tomorrow we are deployed to DRC play for me"

Pia wametoa Satellite image, ya one millitary cementary ikionyesha kuongezeka kwa makaburi kati ya 2022 na 2024 kufikia mara mbili ya makaburi yaliokuwepo 2022.

Kwa taarifa hizi, Inasikitisha kumsikia kagame akisema They have nothing to loose in this fight, Haoni kama hawatendei haki familia zilizo poteza wapendwa wao kwenye hii vita yake.

Source The guardian Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role
 
Wapiganaji wanakufa pande zote.....mnaoelewa historia mtaelewa kwamba watutsi hawataki kuondolewa madarakani kama walivyowaondoa wahutu.

Kagame akiskia FDLR nywele zinamsisimka. Bado wana makovu ya kuteswa. Kupoteza wanajeshi kwake si kitu....nani anajua, huenda anawaambia Congo mkapigane tusije tukarudi msituni.

Kushinda kwa DRC kwenye hii vita ni pigo kwa Rwanda....genocideires walikimbilia DRC. Na siku Kagame anafariki Rwanda inarudi kwenye vita...mauaji yanaweza kuwa mengi kuliko yaliwahi kushuhudia.....
 
Acheni propaganda zenu, habari hizi hazina ushahidi.
Habari wana bodi.

Kutoka Vyanzo vya habari vya The guardian, Wanaandika yakua Rwandan troops wanakufa kwa wingi, wanasafirishwa na kuzikwa kwa siri sana hapo Rwanda.

Pia kinaeleza kua wazazi wa hao wanajeshi hawapewi taarifa za kina juu ya vifo vya watoto wao ila wanaambiwa "they died in a battle field"

The guardian inaeleza pia, Kuna wakati inakua ngumu ku rudisha miili hyo ya wanajeshi rwanda kwa familia zao, Ambapo wanafamili wanapewa empty coffin wazike, kwa usimamizi wa jeshi na hakuna kuaga mwili.

Pia troops zinakua deployed DDC kwa siri sana, Ambapo The guardian ina quote simu moja wapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda kwenda kwa familia yake ikisema "Tomorrow we are deployed to DRC play for me"

Pia wametoa Satellite image, ya one millitary cementary ikionyesha kuongezeka kwa makaburi kati ya 2022 na 2024 kufikia mara mbili ya makaburi yaliokuwepo 2022.

Kwa taarifa hizi, Inasikitisha kumsikia kagame akisema They have nothing to loose in this fight, Haoni kama hawatendei haki familia zilizo poteza wapendwa wao kwenye hii vita yake.

Source The guardian Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role
Hizi ni propaganda tu!
 
Wapiganaji wanakufa pande zote.....mnaoelewa historia mtaelewa kwamba watutsi hawataki kuondolewa madarakani kama walivyowaondoa wahutu.

Kagame akiskia FDLR nywele zinamsisimka. Bado wana makovu ya kuteswa. Kupoteza wanajeshi kwake si kitu....nani anajua, huenda anawaambia Congo mkapigane tusije tukarudi msituni.

Kushinda kwa DRC kwenye hii vita ni pigo kwa Rwanda....genocideires walikimbilia DRC. Na siku Kagame anafariki Rwanda inarudi kwenye vita...mauaji yanaweza kuwa mengi kuliko yaliwahi kushuhudia.....
Paulo ameyatimba anapoteza nguvu kazi ya nchi yake kirahisi mno
 
M23 na makundi walioungana nao are marching towards Bukavu as the meeting is taking place in Tanzania.! Askari wangekuwa wamekufa kiasi hicho wasingekuwa na hayo mafanikio!
Hakuna Mbabe wa Vita.

Hatakama wana advance, Madhara ya Vita lazima wayapate, Ni kwa vile hakuna open journalism kwa upande wao.

Rejea vita ya kagera na athari za kiuchumi tulizo lata Tamzania pamoja na kushinda Vita.

Pia rejea Alichokipata Ukraina Urusi na Israeli Gaza.

Hii yote inakupa picha kua hakuna Mbabe wa Vita, Wether utashinda au utashindwa ni lazima utalipa gharama ambayo ni peoples lives and money
 
Propaganda tulitarajia haya baada ya kichapo anachotoa m23🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wapiganaji wanakufa pande zote.....mnaoelewa historia mtaelewa kwamba watutsi hawataki kuondolewa madarakani kama walivyowaondoa wahutu.

Kagame akiskia FDLR nywele zinamsisimka. Bado wana makovu ya kuteswa. Kupoteza wanajeshi kwake si kitu....nani anajua, huenda anawaambia Congo mkapigane tusije tukarudi msituni.

Kushinda kwa DRC kwenye hii vita ni pigo kwa Rwanda....genocideires walikimbilia DRC. Na siku Kagame anafariki Rwanda inarudi kwenye vita...mauaji yanaweza kuwa mengi kuliko yaliwahi kushuhudia.....
Ukiangalia kwa undani zaidi. Kagame et-al, wanachokitafuta DRC ni zaidi ya intarahamwe/FDRL.
 
Wapiganaji wanakufa pande zote.....mnaoelewa historia mtaelewa kwamba watutsi hawataki kuondolewa madarakani kama walivyowaondoa wahutu.

Kagame akiskia FDLR nywele zinamsisimka. Bado wana makovu ya kuteswa. Kupoteza wanajeshi kwake si kitu....nani anajua, huenda anawaambia Congo mkapigane tusije tukarudi msituni.

Kushinda kwa DRC kwenye hii vita ni pigo kwa Rwanda....genocideires walikimbilia DRC. Na siku Kagame anafariki Rwanda inarudi kwenye vita...mauaji yanaweza kuwa mengi kuliko yaliwahi kushuhudia.....
huelewi unachoongea
 
Back
Top Bottom