Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,062
- 32,207
Nimefikishiwa taarifa kuwa kuna Group la vijana leo kutwa nzima wanajadili historia ya Bibi Titi.
Mpashaji habari wangu kaniuliza maswali mengi kuhusu historia ya Bibi Titi na kama nilimfahamu wakati wa uhai wake.
Ukweli ni kuwa hakuna aliyemwandika Bibi Titi kama anavyostahili kuandikwa.
Historia ya Bibi Titi imekuwa kitendawili kama ilivyokuwa kitendawili kwa wazalendo wengi katika historia ya TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Historia zao ni kitendawili kinachosubiriwa kuteguliwa.
Nilimjua Bibi Titi toka udogo wangu kwa kumuona.
Ukubwani nilibahatika kuzungumzanae nyumbani kwake Upanga na kabla ya hapo nilifika nyumbani kwake Temeke alipokuwa akiishi baada ya kutoka kifungoni.
Bibi Titi aliwajua wazee wangu cha kiasi ya kuwatania aliponieleza kuwa akiwafahamu vyema wakiishi mitaa ya Gerezani, Dar-es-Salaam.
Naweka hapa video chache vipande vifupi, vifupi kuwezesha watu lau kwa kiasi kuifahamu historia ya Bibi Titi Mohamed na mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika:
View: https://youtu.be/ja_cL5te4Lw?si=WEuF3XiyW-AaMNjF
View: https://youtu.be/tZtKiNdaiz0?si=6x4oy2p1jov5hFyY
View: https://youtu.be/MTO6IDmiSfU?si=GTkpa1jKO_levFyH
View: https://youtu.be/tZtKiNdaiz0?si=KskGajWl7rm5iJk-
View: https://youtu.be/j2_JpqAXeBs?feature=shared
View: https://youtu.be/H-lKHxRvBXM?feature=shared
View: https://youtu.be/EGlJS8PwzoA?si=-R20dx-_PyhHmp9x
Mpashaji habari wangu kaniuliza maswali mengi kuhusu historia ya Bibi Titi na kama nilimfahamu wakati wa uhai wake.
Ukweli ni kuwa hakuna aliyemwandika Bibi Titi kama anavyostahili kuandikwa.
Historia ya Bibi Titi imekuwa kitendawili kama ilivyokuwa kitendawili kwa wazalendo wengi katika historia ya TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Historia zao ni kitendawili kinachosubiriwa kuteguliwa.
Nilimjua Bibi Titi toka udogo wangu kwa kumuona.
Ukubwani nilibahatika kuzungumzanae nyumbani kwake Upanga na kabla ya hapo nilifika nyumbani kwake Temeke alipokuwa akiishi baada ya kutoka kifungoni.
Bibi Titi aliwajua wazee wangu cha kiasi ya kuwatania aliponieleza kuwa akiwafahamu vyema wakiishi mitaa ya Gerezani, Dar-es-Salaam.
Naweka hapa video chache vipande vifupi, vifupi kuwezesha watu lau kwa kiasi kuifahamu historia ya Bibi Titi Mohamed na mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika:
View: https://youtu.be/ja_cL5te4Lw?si=WEuF3XiyW-AaMNjF
View: https://youtu.be/tZtKiNdaiz0?si=6x4oy2p1jov5hFyY
View: https://youtu.be/MTO6IDmiSfU?si=GTkpa1jKO_levFyH
View: https://youtu.be/tZtKiNdaiz0?si=KskGajWl7rm5iJk-
View: https://youtu.be/j2_JpqAXeBs?feature=shared
View: https://youtu.be/H-lKHxRvBXM?feature=shared
View: https://youtu.be/EGlJS8PwzoA?si=-R20dx-_PyhHmp9x