Dadakidoti
Member
- Jul 26, 2024
- 32
- 136
Natamani kuongea ila nikikumbuka kuwa ni single mother na mwanangu hana yeyote wa kumwegemea naamua kufunga domo languHakika hili la Ngorongoro,ni DOA KUBWA kwenye utawala huu wa Awamu ya 6!
Natamani kuongea ila nikikumbuka kuwa ni single mother na mwanangu hana yeyote wa kumwegemea naamua kufunga domo languHakika hili la Ngorongoro,ni DOA KUBWA kwenye utawala huu wa Awamu ya 6!
Wamasai wana haki ya kuishi kwa amani katika "nchi" yao!Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.
Pia soma: Wamasai wa Ngorongoro watoa tamko kunyang'anywa haki ya kupiga kura 2024 na 2025
Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.
Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.
Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.
Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.
Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.
Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana
Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
Hakika halipingiki hili.Hakika hili la Ngorongoro,ni DOA KUBWA kwenye utawala huu wa Awamu ya 6!